Apk ya Dream League soccer 2017

Apk ya Dream League soccer 2017

He he.. hiyo kawaida wanakulaga Kona wakiona maji shingoni
Hata Mimi nakulaga kona Kama kipigo kimezidi

Upo division ya ngapi..?
Kuna tatizo nalipata nikiwa nacheza dls, nkiwa nam move mchezaj nikibonyeza pass iki kijoy cha kumove kinaachia ambapo inapelekea mchezaj kustop msaada pliz
 

Binafsi sina kumbukumbu kama nilishawahi vuka division 7!!! Ndo huwa naishia hapo nakula kisago nafia humohumo au nashuka daraja narudi 8 inategemea na point.... Cha muhimu kaza usiogope
Hahahahaha
nimewapga online
hatimaye nimekuwa bingwa,, cheki
Screenshot_20200506-225131.jpeg
Screenshot_20200506-225013.jpeg
Screenshot_20200506-224016.jpeg
Screenshot_20200506-222031.jpeg
Screenshot_20200506-221007.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna tatizo nalipata nikiwa nacheza dls, nkiwa nam move mchezaj nikibonyeza pass iki kijoy cha kumove kinaachia ambapo inapelekea mchezaj kustop msaada pliz
Mkuu angalia kifaa unachotumia huenda kinazidiwa I mean ma apps na madude ni mengi hivyo hufanya baadhi ya apps ku stuck n.k kama kuna mi files huitumii ipunguze ili space kwenye kifaa chako iweze kumudu then utazima kwa muda halafu unawasha Kama sivyo huenda ikawa ni bugs zimevamia kwenye gemu.. hutokea Mara kadhaa kitu kama hicho so check systems zako..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom