King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 60,419
- 88,753
Kuna kesi ngumu kidogo hapa.
Jamaa yangu amekaa na Mke wake kwenye ndoa miaka 9 sasa. Kumbe Mke alikuwa anatafuta kazi sasa amepata.
Baada ya kumletea mume majibu amemnyima ruhusa kuajiriwa.
Mke anataka kazi, Mume hataki. Sasa Mke anataka talaka ili akafanye kazi. Je! Ampe?
AMpe tu mwana kwenda ,hao watu % kubwa wapo na sisi kwenye ndoa kwasababu hawajajipata ,wakijipata wanataka waishi wenyewe ila wakienda huko wakipigika ndipo wanakumbuka kurudi ila yakiwanyookea huwaoni.
Ukiona mwanamke ana pesa na anaishi kwenye ndoa basi jua huyo mme wake anajiweza kuliko yeye na kuna vitu anampa backup.