Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
Huyu jk anafanya kazi ambayo siyo yake, mimi namshauri angeingia kwenye ze comedy search angeshinda hata mimi ningempigia kura kwenye ze comedy search
nukuu,,hata mika nane huo mshahara wa kimachachini haulipiki,,sasa hao wanafunzi hizo comp atpata wapi