Anguko la CHADEMA lipo njiani

Anguko la CHADEMA lipo njiani

Toa maelezo basi ni mambo gani kwa muono wako yanakuonesha kimeanguka,ili tuweze kujadili critically.Ulivyoandika umeandika kishabiki na wachangiaji watachangia kishabiki.
 
Niko mwana ccm hai namba yangu ..........987; na kwa taarifa yako fupi pia ni mwana uwt hai kwa namba.........504.

Nina uhalali wa kuanza na kalenga kwa kuwa watu wenu walitimuka bungeni na kukimbilia huko;
mwisho wa siku hawachelewi kuweka pingamizi kwa maamuzi; sasa ni nini kilichowapeleka huko kalenga.

Hongera kuwa mwanachama hai wa CCM lkn haujasema lini umejiunga na kitengo chenu cha propaganda!!
lkn tukirudi kwenye topic bado haijaniingia kuhusisha ushindi wa CCM Kalenga na kifo cha CHADEMA!
Jimbo la Karatu au Moshi Mjini au Arusha au Mbeya liwe wazi then CCM ichukue hapo ndipo nitaunga mkono kauli yako!
CCM akichukua Chalinze hamna cha ajabu maana ni stronghold yake!
Mtazamo wangu ndiyo huo na nipo tayari kukosolewa!
 
Hivi unaona kama pana ushabiki wowote hapo?
Toa maelezo basi ni mambo gani kwa muono wako yanakuonesha kimeanguka,ili tuweze kujadili critically.Ulivyoandika umeandika kishabiki na wachangiaji watachangia kishabiki.
 
CDM ni imara leo kuliko jana na juzi.
Kushindwa chaguzi ndogo za udiwani na majimbo sio kipimo cha kuanguka kwa CDM.
Tunachofahamu ni kuwa huu ni mkakati wa TISS,TPF, CCM na NEC baada ya mkakati wa dhahiri wa kuiangamiza CDM kushindwa kwa kutumia wasaliti sasa wanataka kutumia propaganda za kisiasa. Ndio maana NEC inafumbia macho ukiukaji wa taratibu za uchaguzi kwa makusudi kabisa. Mathalani uchaguzi wa Kalenga una mapungufu mengi sana tangu uteuzi wa kuteua mwingereza kugombea ubunge n.k.
CDM mwendo mdundo hakuna kulala, shida ya hizo taasisi nne ni baada ya kushindwa kujua bei za Mhe Mbowe, Dr. Slaa na makamanda wengine kama Leme, Wenje, Sugu, Msigwa N.K.
CDM msikate tamaa na matokeo haya hayana maana yoyote wananchi tuanelewa nininkinaendelea na wakati wa uchaguzi mkuu tutawaweka kwenye kona na hatatoka mtu. CDM OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!
 
Mamdenyi na ww umejiunga na CCM's propaganda machine?
Ushindi wa CCM Kalenga ndiyo case study yako kama CHADEMA imesambaratika?Mwaka 2010 nani alishinda Jimbo hilo kwa kura ngapi?
Siku hizi JF kila mtu ni mchambuzi wa siasa ahahaha!

Huyu mamdenyi ni kama light beer vile. Mwana propaganda asiye na uelewa, zaidi ya ushabiki. Huko ccm wako wengi walipelekwa bulgaria na nchi zingine za ulaya mashariki kusomea propaganda za kikomunisti. Wamerudi hapo bongo wamechanganyikiwa.
 
Jitahidi kusema ila kifo chenu mnatembea nacho.
Huyu mamdenyi ni kama light beer vile. Mwana propaganda asiye na uelewa, zaidi ya ushabiki. Huko ccm wako wengi walipelekwa bulgaria na nchi zingine za ulaya mashariki kusomea propaganda za kikomunisti. Wamerudi hapo bongo wamechanganyikiwa.
 
Assalamu Alaikum wana Bodi wote.

Hii kwa ajili ya watu wote wenye mapenzi mema na demokrasia ya hapa nyumbani.

CHADEMA kilikuwa na muonekano wa kuweza hata kuiongoza dola.Tatizo ni nini kimetokea kwa hawa watani zangu hadi kufikia hali hii.

Je, ni kwa ajili ya kuendesha chama kama kikundi cha dini?
Je, ni kwa ajili ya kumtosa yule mheshimiwa dogo wa kule kigoma?
Je, ni kwa ajili ya viongozi kung’ang’ania madarakani?
Au walijisahau wapi?
Najua kabisa watani zangu matusi ndiyo jadi yenu lakini ukweli utaendelea kusimama;

Nawasilisha.

Kama watanzania tungeacha propaganda na kuamua kuibana serikali ili kutimiza wajibu wake Tanzania yetu ingekuwa mbali sana,lakini mpaka leo akili yetu ni kwenye siasa za kipuuzi tu kuijadili CDM badala ya serikali iliyoshindwa kuwaletea wananchi maendeleo.
 
Assalamu Alaikum wana Bodi wote.

Hii kwa ajili ya watu wote wenye mapenzi mema na demokrasia ya hapa nyumbani.

CHADEMA kilikuwa na muonekano wa kuweza hata kuiongoza dola.Tatizo ni nini kimetokea kwa hawa watani zangu hadi kufikia hali hii.

Je, ni kwa ajili ya kuendesha chama kama kikundi cha dini?
Je, ni kwa ajili ya kumtosa yule mheshimiwa dogo wa kule kigoma?
Je, ni kwa ajili ya viongozi kung’ang’ania madarakani?
Au walijisahau wapi?
Najua kabisa watani zangu matusi ndiyo jadi yenu lakini ukweli utaendelea kusimama;

Nawasilisha.

Alipokua naibu katibu mkuu chama kilipata kura 3000 kalenga.Leo sio Naibu Katibu Mkuu tuna kura zaidi ya 5000 pamoja na hujuma zote
 
"Nabashiri Chadema kuanguka na kusambaratika kabisa, sababu ni ubaguzi,ubinafsi na ulaghai" Stephen Wassira.
 
Alipokua naibu katibu mkuu chama kilipata kura 3000 kalenga.Leo sio Naibu Katibu Mkuu tuna kura zaidi ya 5000 pamoja na hujuma zote

Nikiagizwa niandike wajinga watatu Tanzania hii, jina lako naliandika kwa herufi kubwa.

Nikiletewa mtihni niandike jibu la mbumbumbu mmoja ninaye mjua Nchi hii, jina lako naliandika kwa Marker Pen.
 
Nini maana ya anguko chadema amepoteza vit vingapi?ccm lin mmefanya uchaguzi wa mwenyekiti wa chama kidemokrasia acha mbwembwe huna hoja mnatumia ujinga mlioupandikiza kwa watanzania kuwatawala subiri kidg zito c chadema wala jk c ccm achakuchanganya mambo
 
Ben Saanane tena wewe ndo usiseme kabisa;
hivi unaonaje ulivyotelekezwa na hicho chama chako?
Kijana msomi umebaki tu huku wakati wenzio wanakula wakiwa wamelala.
Shauri zako lakini.

Alipokua naibu katibu mkuu chama kilipata kura 3000 kalenga.Leo sio Naibu Katibu Mkuu tuna kura zaidi ya 5000 pamoja na hujuma zote
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom