Mamndenyi
Platinum Member
- Apr 11, 2011
- 44,616
- 64,475
Anguko ni kufa na kusahaulika;
......... hayo mengine uliyoandika yanaonyesha chuki tu huna jipya.
......... hayo mengine uliyoandika yanaonyesha chuki tu huna jipya.
Nini maana ya anguko chadema amepoteza vit vingapi?ccm lin mmefanya uchaguzi wa mwenyekiti wa chama kidemokrasia acha mbwembwe huna hoja mnatumia ujinga mlioupandikiza kwa watanzania kuwatawala subiri kidg zito c chadema wala jk c ccm achakuchanganya mambo