Anguko la CHADEMA lipo njiani

Anguko la CHADEMA lipo njiani

Huyo lema hakuwa mfanyabiashara ni wale mtandao wa kuiba magari arusha na mpaka leo vijana wake wanapiga kazi kama kawa hata nyie bavicha nje mkane hapa hakuna asiemfahamu huyu jamaa.
Lema mchuuzi wa sokoni arusha;
apewa hela asiweke kwenye biashara zake anunue chopa
ni nani kasema hayo.
 
Wapi CHADEMA imeanguka?Kalenga au baadae Chalinze?
Wanazuoni wetu wana kazi kweli kweli kuwaelemisha waandishi kama hawa basic tu za Political demographics!
Kalenga ilikuwa ya CCM wameweza kuitetea ingawaje kura zao zimepungua lkn leo inaandikwa kama CHADEMA ndiyo imemeguka Kalenga?
Kazi mno kuwaelemisha hawa
 
Kama mlijua kalenga ya ccm mlienda kumaliza nguvu zenu za nini? Na mpaka wengine kubakwa huko na wahuni wenzenu.
Wapi CHADEMA imeanguka?Kalenga au baadae Chalinze?
Wanazuoni wetu wana kazi kweli kweli kuwaelemisha waandishi kama hawa basic tu za Political demographics!
Kalenga ilikuwa ya CCM wameweza kuitetea ingawaje kura zao zimepungua lkn leo inaandikwa kama CHADEMA ndiyo imemeguka Kalenga?
Kazi mno kuwaelemisha hawa
 
Kinachowamaliza ndio hiki;
hamjakomaa kisiasa;
hivi unafikiria kuwa naogopa matusi mimi?

Mamdenyi na ww umejiunga na CCM's propaganda machine?
Ushindi wa CCM Kalenga ndiyo case study yako kama CHADEMA imesambaratika?Mwaka 2010 nani alishinda Jimbo hilo kwa kura ngapi?
Siku hizi JF kila mtu ni mchambuzi wa siasa ahahaha!
 
Je kwa lema tutegemee nini;
Naishukuru tu katiba iliyosema haitaki tena vihiyo bungeni
walau heshima itaonekana.

Huyo lema hakuwa mfanyabiashara ni wale mtandao wa kuiba magari arusha na mpaka leo vijana wake wanapiga kazi kama kawa hata nyie bavicha nje mkane hapa hakuna asiemfahamu huyu jamaa.
 
Kama mlijua kalenga ya ccm mlienda kumaliza nguvu zenu za nini? Na mpaka wengine kubakwa huko na wahuni wenzenu.

Naomba nikuambie kitu kidogo tafadhali:
TZ mshindi wa chaguzi yyt anashinda kwa majority vote ambapo hata kura moja unatangazwa mshindi(Naibu Waziri Masele-Shinyanga Mjini alimshinda RIP Shilembi Magadula kwa kura 1 kwenye uchaguzi wa 2010)!Huwezi kwenda piga kampeni hata kama unajua HAUTASHINDA sababu ya expectation ya uchaguzi ujao notably 2015!
Lzm ukashindane ili wagombea wapate name recognition kwenye uchaguzi ujao wawe kwenye nafasi nzuri ya kupata kura nyingi zikiwemo za Rais
Hata nafasi itangazwe leo huko Pemba CCM wataenda ingawaje wanajua hawawezi shinda!
 
Niko mwana ccm hai namba yangu ..........987; na kwa taarifa yako fupi pia ni mwana uwt hai kwa namba.........504.

Nina uhalali wa kuanza na kalenga kwa kuwa watu wenu walitimuka bungeni na kukimbilia huko;
mwisho wa siku hawachelewi kuweka pingamizi kwa maamuzi; sasa ni nini kilichowapeleka huko kalenga.


Mamdenyi na ww umejiunga na CCM's propaganda machine?
Ushindi wa CCM Kalenga ndiyo case study yako kama CHADEMA imesambaratika?Mwaka 2010 nani alishinda Jimbo hilo kwa kura ngapi?
Siku hizi JF kila mtu ni mchambuzi wa siasa ahahaha!
 
Kwa lema mbali bosi wao mbowe hamna kitu kabisa kama sio kumuoa binti wa mtei asingepata huo wadhifa. Yani cdm vihiyo wengi siweki orodha na wenyewe wanajua na wanakubali kichinichini watakuja sasa ivi kukwambia degree sio uongozi na muda huu tayari wanapiga viloba kule ufipa na wakishushia na bangi.
Je kwa lema tutegemee nini;
Naishukuru tu katiba iliyosema haitaki tena vihiyo bungeni
walau heshima itaonekana.
 
Mamndenyi mkuu ni kuwa katika uchaguzi wowote hata wa kumchagua class monitor ni lazima mmoja aibuke mshindi tu. Ulitaka CDM na SSM wote wawe washindi? Kalenga ni stronghold ya SSM kwa hiyo matokeo ya Kalenga yaliyojaa viini macho yaswe ni kipimo cha anguko la CDM.
 
Walau Zogwale una akili;
...... andika CCM
Mamndenyi mkuu ni kuwa katika uchaguzi wowote hata wa kumchagua class monitor ni lazima mmoja aibuke mshindi tu. Ulitaka CDM na SSM wote wawe washindi? Kalenga ni stronghold ya SSM kwa hiyo matokeo ya Kalenga yaliyojaa viini macho yaswe ni kipimo cha anguko la CDM.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom