Leomimi
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 2,547
- 874
Huyo lema hakuwa mfanyabiashara ni wale mtandao wa kuiba magari arusha na mpaka leo vijana wake wanapiga kazi kama kawa hata nyie bavicha nje mkane hapa hakuna asiemfahamu huyu jamaa.
Lema mchuuzi wa sokoni arusha;
apewa hela asiweke kwenye biashara zake anunue chopa
ni nani kasema hayo.