Anguko la CHADEMA lipo njiani

Anguko la CHADEMA lipo njiani

Hatma ya chama haiko mbali,mwisho wake una dalili zote.Unapoziona nyota usiulize wakati,ni dhahiri giza litakua limeshaingia.Kama hatua za makusudi hazitochukulia basi hili litakua pigo kwa taifa.
Mbow.e na Sla.a wanasahau CDM ni kwa maslahi ya taifa,badala yake wanaona ni heri chama kife kuliko wao kuachia nyazfa zao.
Hapo ndipo unaona kiwango cha juu cha ubinafsi,yaani wao kwanza taifa badae.
Ni kweli ZZK anautaka uenyekiti,lakini tatizo lipo wapi kama ataupata kwakupigiwa kura?Ni kivipi awe muhaini?
lakini leo imekua nongwa yeye kuutaka uenyekiti,kutangaza nia anageuka msaliti na pandikizi la CCM.
Sipendi kuiona CDM ikiwa historia kwani imefanya mengi na ndio chama pekee cha upinzani ambacho kwa sasa kinaonesha uhai na ushindani.Tumeshuhudia vita dhidi ya ufisadi,pesa za uswisi,epa,richmond na mengine mengi yakiibuliwa.
Hii ndio dhama na maana ya vyama vingi ambayo muda si mrefu tutakumbuka zile semi,
"ngoma akilia sana hupasuka".
Vita dhidi ya uongozi unakitafuna Chama.Demokrasia CDM ni sawa kuyatafuta maji jangwani.Kweli madaraka ni matamu.Ukiutaka uenyekiti wa chama utaundiwa mizengwe na hila ili mradi tu si kukinusuru chama bali kunusuru nafasi za waliotangulia.
Tumebaki na siku takribani 28 tanzania ipate pigo,siku 14 za ZZK kujieleza ni kwanini asifukuzwe na siku 14 za kamati kuu kutoa hukumu yakionevu.Taifa linakwenda kupata pigo kwani ZZK ndio utakua mwisho wake si kisiasa bali ndani ya CDM,na hapa ndipo hatma ya chama itakapoonekana.Kwa mwenye akili maelezo yaliotolewa na mh Lisu&Mnyika jana ni dhahiri maamuzi yapo wazi kinachosubiriwa ni hitimisho,ila tunawataka kamati kuu wajue kwamba kwakumvua ZZK uanachama huo ndio mwanzo wa hatma ya chama.Ni kweli hakuna ambaye yupo juu ya chama ila pia kamati kuu inapaswa kujua kwamba haipo juu ya nguvu ya uma.Uma wa watanzania na wanachama wapenda haki hatutokaa kimya kuutazama huu udhalimu na ukandamizwaji wa demokrasia unaoendelea.
Kama tukiikosa haki CDM basi tutaitafuta chama kingine.
 
Nendeni chama kingine na PANYA wako wa KGM,CDM ni imara na itaendelea kupeta.
 
Hatma ya chama haiko mbali,mwisho wake una dalili zote.Unapoziona nyota usiulize wakati,ni dhahiri giza litakua limeshaingia.Kama hatua za makusudi hazitochukulia basi hili litakua pigo kwa taifa.
Mbow.e na Sla.a wanasahau CDM ni kwa maslahi ya taifa,badala yake wanaona ni heri chama kife kuliko wao kuachia nyazfa zao.
Hapo ndipo unaona kiwango cha juu cha ubinafsi,yaani wao kwanza taifa badae.
Ni kweli ZZK anautaka uenyekiti,lakini tatizo lipo wapi kama ataupata kwakupigiwa kura?Ni kivipi awe muhaini?
lakini leo imekua nongwa yeye kuutaka uenyekiti,kutangaza nia anageuka msaliti na pandikizi la CCM.
Sipendi kuiona CDM ikiwa historia kwani imefanya mengi na ndio chama pekee cha upinzani ambacho kwa sasa kinaonesha uhai na ushindani.Tumeshuhudia vita dhidi ya ufisadi,pesa za uswisi,epa,richmond na mengine mengi yakiibuliwa.
Hii ndio dhama na maana ya vyama vingi ambayo muda si mrefu tutakumbuka zile semi,
"ngoma akilia sana hupasuka".
Vita dhidi ya uongozi unakitafuna Chama.Demokrasia CDM ni sawa kuyatafuta maji jangwani.Kweli madaraka ni matamu.Ukiutaka uenyekiti wa chama utaundiwa mizengwe na hila ili mradi tu si kukinusuru chama bali kunusuru nafasi za waliotangulia.
Tumebaki na siku takribani 28 tanzania ipate pigo,siku 14 za ZZK kujieleza ni kwanini asifukuzwe na siku 14 za kamati kuu kutoa hukumu yakionevu.Taifa linakwenda kupata pigo kwani ZZK ndio utakua mwisho wake si kisiasa bali ndani ya CDM,na hapa ndipo hatma ya chama itakapoonekana.Kwa mwenye akili maelezo yaliotolewa na mh Lisu&Mnyika jana ni dhahiri maamuzi yapo wazi kinachosubiriwa ni hitimisho,ila tunawataka kamati kuu wajue kwamba kwakumvua ZZK uanachama huo ndio mwanzo wa hatma ya chama.Ni kweli hakuna ambaye yupo juu ya chama ila pia kamati kuu inapaswa kujua kwamba haipo juu ya nguvu ya uma.Uma wa watanzania na wanachama wapenda haki hatutokaa kimya kuutazama huu udhalimu na ukandamizwaji wa demokrasia unaoendelea.
Kama tukiikosa haki CDM basi tutaitafuta chama kingine.

Kwa mawazo yako, ZZK ndio Chadema...??
Chadema ilikuwepo kabla ya Zitto kujiunga nayo, na itakuwepo baada ya Zitto kutimuliwa rasmi.
In fact, Chadema itastawi zaidi ikiwa haina wahujumu wa ndani.
Kijeshi, inajulikana kabisa kuwa adui wa ndani ni mbaya zaidi ya adui wa nje.
Hivyo, bora Zitto atupwe nje ili abaki kuwa adui wa nje.
Unamlilia sana Zitto kama wenzako wote wa CCM. Sheria inaruhusu, mchukueni Zitto maana anaonekana kuwa muhimu sana kisiasa.
 
Kwangu mimi sishangai..vilishatangulia NCCR Mageuzi cha Mrema, TLP na CUF...Hili ndilo tatizo la kufanya chama kampuni binafsi...


Wana JF.
Chama cha Demokrasia na Maendelo (Chadema). Kimejipa jina hilo maudhui makuu katika jina hilo, ni mawili tu.

Demokrasia na Maendeleo.

Demokrasia kwa maana ya fursa kwa mwanachama na kiongozi wake asiyeweza kuipata katika chama kingine chochote kile nchini, fursa ya kushiriki katika maamuzi muhimu ya chama.

Maendeleo kwa kila Mtanzania, yanayotokana na mgawanyika sawa wa rasilimali za taifa hili.

Leo chama hicho kinapata mamilioni kwa ajili ya maendeleo ya chama kupitia ruzuku ya Serikali, lakini mamilioni yote hayo hatuoni yanavyoendeleza wanachama wake, achilia mbali chama chenyewe hicho.

Watanzania wapenda amani wameishakuwa makini na Chadema kwamba chama hicho ni hatari kwa ustawi wa jamii.

Viongozi wanaounda Baraza Kuu na Kamati Kuu, ni wale waliokosa uvumilivu ndani ya vyama vya siasa walivyokuwamo mwanzo, wengi wao wakiwa wametokea CCM baada ya matamanio yao ya kupata madaraka waliyoyataka kukosekana huko, akiwamo DK. Slaa mwenyewe.

Ni wazi siku si nyingi anguko la Chadema tutaliona miongoni mwa hao watapatikana kina Yuda Iskarioti waliokata tamaa, na hilo ndiyo litakuwa anguko la Chadema.[/QUOTE]
 
We unadhani watu wanaokupinga hawana akili? Vyama vyote duniani hupitia katka hali kama CDM waliyo nayo, ingawa siyo mwanchama wa CDM lakini sidhani kama kitakufa. Ni bora kukata kidole kilichokwisha anza kuliwa na wadudu kuliko kusubiri mguu wote uoze.
 
Watu wenye akili zetu tunapoandika kuwaasa Watanzania wenzetu wajiepushe na chama hicho, tukiwasihi watuamini kwamba hicho kinachoitwa Demokrasia na Maendeleo ndani ya hicho chama ni ghilba na hadaa tu inayolenga kuwanufahisha baadhi ya waliomo, wanakuwa na moyo migumu kama kina Tomaso wa enzi za Yesu.
Unataka waende chma gani? chma kinachoua watu kila kukicha...mbona nchi hii sasa imekuwa kama utawala wa gadafi..ukimsema kiongozi vibaya tu kesho yake unavamiwa na majambazi (wanawaita majambazi), unangolewa meno, kucha na ze kendez zinapondwapondwa sasa au wajamaa wanakuja na mabomu usiku wanayapiga yanatoa moshi halafu yanavamia ndani na kudai laptop na bastola ....ndiyo hapa tulipofikishwa, ili tusihoji mambo mbalimbali yanayohusu nchi yetu (ikiwamo ajira, mishahara, mazingira mazuri ya kazi, katiba mpya nk) Sijui unamaoni gani juu ya unyama huu kwa sasa, nilidhani ungeunganisha nguvu za watz ktk kupambana na mambo haya maovu badala yake unajambajamba tu humu! Malabuku!
 
Wana JF.
Chama cha Demokrasia na Maendelo (Chadema). Kimejipa jina hilo maudhui makuu katika jina hilo, ni mawili tu.

Demokrasia na Maendeleo.

Demokrasia kwa maana ya fursa kwa mwanachama na kiongozi wake asiyeweza kuipata katika chama kingine chochote kile nchini, fursa ya kushiriki katika maamuzi muhimu ya chama.

Maendeleo kwa kila Mtanzania, yanayotokana na mgawanyika sawa wa rasilimali za taifa hili.

Leo chama hicho kinapata mamilioni kwa ajili ya maendeleo ya chama kupitia ruzuku ya Serikali, lakini mamilioni yote hayo hatuoni yanavyoendeleza wanachama wake, achilia mbali chama chenyewe hicho.

Watanzania wapenda amani wameishakuwa makini na Chadema kwamba chama hicho ni hatari kwa ustawi wa jamii.

Viongozi wanaounda Baraza Kuu na Kamati Kuu, ni wale waliokosa uvumilivu ndani ya vyama vya siasa walivyokuwamo mwanzo, wengi wao wakiwa wametokea CCM baada ya matamanio yao ya kupata madaraka waliyoyataka kukosekana huko, akiwamo DK. Slaa mwenyewe.

Ni wazi siku si nyingi anguko la Chadema tutaliona miongoni mwa hao watapatikana kina Yuda Iskarioti waliokata tamaa, na hilo ndiyo litakuwa anguko la Chadema.


...wanaojua muelekeo wa siasa na kilichofanyika chadema wanaelewa malengo, suala la kufa futa akilini maana hoja zako zoote wala hazionyeshi hiyo hatari ya kufa..
 
Assalamu Alaikum wana Bodi wote.

Hii kwa ajili ya watu wote wenye mapenzi mema na demokrasia ya hapa nyumbani.

CHADEMA kilikuwa na muonekano wa kuweza hata kuiongoza dola.Tatizo ni nini kimetokea kwa hawa watani zangu hadi kufikia hali hii.

Je, ni kwa ajili ya kuendesha chama kama kikundi cha dini?
Je, ni kwa ajili ya kumtosa yule mheshimiwa dogo wa kule kigoma?
Je, ni kwa ajili ya viongozi kung'ang'ania madarakani?
Au walijisahau wapi?
Najua kabisa watani zangu matusi ndiyo jadi yenu lakini ukweli utaendelea kusimama;

Nawasilisha.
 
Assalamu Alaikum wana Bodi wote.
Hii kwa ajili ya watu wote wenye mapenzi mema na demokrasia ya hapa nyumbani.
CHADEMA kilikuwa na muonekano wa kuweza hata kuiongoza dola.
Tatizo ni nini kimetokea kwa hawa watani zangu hadi kufikia hali hii.
Je, ni kwa ajili ya kuendesha chama kama kikundi cha dini?
Je, ni kwa ajili ya kumtosa yule mheshimiwa dogo wa kule kigoma?
Je, ni kwa ajili ya viongozi kung’ang’ania madarakani?
Au walijisahau wapi?
Najua kabisa watani zangu matusi ndiyo jadi yenu lakini ukweli utaendelea kusimama;
Nawasilisha.

Hujamalizia na kile kibwagizo chako "Chama Gongo La Mboto Dar".
 
Last edited by a moderator:
Assalamu Alaikum wana Bodi wote.
Hii kwa ajili ya watu wote wenye mapenzi mema na demokrasia ya hapa nyumbani.
CHADEMA kilikuwa na muonekano wa kuweza hata kuiongoza dola.
Tatizo ni nini kimetokea kwa hawa watani zangu hadi kufikia hali hii.
Je, ni kwa ajili ya kuendesha chama kama kikundi cha dini?
Je, ni kwa ajili ya kumtosa yule mheshimiwa dogo wa kule kigoma?
Je, ni kwa ajili ya viongozi kung’ang’ania madarakani?
Au walijisahau wapi?
Najua kabisa watani zangu matusi ndiyo jadi yenu lakini ukweli utaendelea kusimama;
Nawasilisha.
yaelekea wewe hakulala nyumbani, asubuhi hii unawashwa na chadema? badala ya kuzungumzia kuhusu katiba mpya na mkanganyiko uliotokea jana wewe uaanza na Chadema. Kwani hawara yako amekuambia nini kuhusu rasilimali za nchi hii zinavyoporwa na Maccm? kweli wewe ni wa mgombani
 
Back
Top Bottom