Anguko la CHADEMA lipo njiani

Anguko la CHADEMA lipo njiani

Kwanza nikupongeze kwa uchambuzi wako murua uliondika ni ukweli mtupu, ni kweli anguko la Chadema limetimia.

kwani
meanza kusema keo?hui utakuwa ndiyo wimbo wenu chadema inakufa chadema inakufa!mjifariji tu,mtakufa nyie chadema itabaki
 
Nadhani tatizo ni ushoga ndani ya chama. Kuna kiongozi mmoja wa chama na mbunge wa kaskazini picha zake akiwa anaingiliwa kinyume na maumbile ziliwekwa mitandaoni na pia yeye mwenyewe alizigawa kuonesha ufundi wake wa kuingiliwa. Hicho ndicho kinachoiua CDM.
 
"Nabashiri Chadema kuanguka na kusambaratika kabisa, sababu ni ubaguzi,ubinafsi na ulaghai" Stephen Wassira.

Kingine kitakachowaangusha vibaya ni namna kakikundi ka watu wachache wanavyopiga hela huku wengine wakiambiwa wajitolee kuimarisha chama, (saccos).
 
Uwiiiiiii
Hilo nalo ni neno.
Nadhani tatizo ni ushoga ndani ya chama. Kuna kiongozi mmoja wa chama na mbunge wa kaskazini picha zake akiwa anaingiliwa kinyume na maumbile ziliwekwa mitandaoni na pia yeye mwenyewe alizigawa kuonesha ufundi wake wa kuingiliwa. Hicho ndicho kinachoiua CDM.
 
Assalamu Alaikum wana Bodi wote.

Hii kwa ajili ya watu wote wenye mapenzi mema na demokrasia ya hapa nyumbani.

CHADEMA kilikuwa na muonekano wa kuweza hata kuiongoza dola.Tatizo ni nini kimetokea kwa hawa watani zangu hadi kufikia hali hii.

Je, ni kwa ajili ya kuendesha chama kama kikundi cha dini?
Je, ni kwa ajili ya kumtosa yule mheshimiwa dogo wa kule kigoma?
Je, ni kwa ajili ya viongozi kung’ang’ania madarakani?
Au walijisahau wapi?
Najua kabisa watani zangu matusi ndiyo jadi yenu lakini ukweli utaendelea kusimama;

Nawasilisha.

Teh teh teh Mamndenyi unamjadili marehemu tena? Huyu keshakuwa story tena.
 
Last edited by a moderator:
mleta mada cdm inawapa muweweseko kila wakati jina la cdm limewakaa mdomoni lumumba kuliko majina ya wake zenu
 
Hawajaanguka bali wapo katika hatua za kuanguka, wapo wana nafasi ya kuinuka endapo watarekebisha mapungufu yao.
 
hata kama watu wnadhani kwamba CDM imeanguka, lakin ikumbukwe tu kwamba, bila CDM hakuna Tanzania yenye amani, na viashiria vya matumain kwa jamii, mnafurahia ushindi wa huyu kijana, lakin kumbuken unatengenezwa cycle of rullers , end of day they ll become dictators,then you ll know why its not right kwa baba, mama, mtoto kuwa wote wabunge.
 
mmaranguoriginal; tena kule kwetu hakuna watu wasioelewa kama wewe ........ ;
sijui umetokea hata nchi gani.

mleta mada cdm inawapa muweweseko kila wakati jina la cdm limewakaa mdomoni lumumba kuliko majina ya wake zenu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom