Mingoi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 11,715
- 6,124
We kweli behewa hapo kuna uchambuzi gani?
Basi uchambuzi upo Kalenga walikowachambua kama karanga
We kweli behewa hapo kuna uchambuzi gani?
that's right mkuu, hawa jamaa ni wahuni sana, kila jambo lao hulifanya kwa vurugu na ubabe na vitisho. Hawana muonekano mwema kwa wapenda amani wote nchini! Inafikia mahali,wanapokuwa na mkutano bila kujali kwamba waliohudhuria pale sio wote ni chadema,basi utalazimishwa uishangilie na wale wahuni wao(red brigade) na eti uonyeshe mialama yao ya midole miwili kwa lazima ili wapige picha. Ukienda kinyume nao, pengine ulikuja kusikiliza tu ili ufanye maamuzi ya kumpigia kura nani, basi utaitwa msaliti, muhaini na unaweza hata kudhuriwa! Hao eti ndio wanataka dola! Maajabu! Rest in Hell chagadema.
Basi uchambuzi upo Kalenga walikowachambua kama karanga
Mtaugua sana mwaka huu
na bado hadi mchanganyikiwe muanze na kubeba makopo barabarani.
Kwanza nikupongeze kwa uchambuzi wako murua uliondika ni ukweli mtupu, ni kweli anguko la Chadema limetimia.
Nasikia ulizimia ulivyopata matokeo ya Kalenga
Nasikia ulizimia ulivyopata matokeo ya Kalenga
Nipo tayari kufia angani na Chopa.Hahahahaaaa.. vipofu bwana, eti uchambuzi murua.. Hii kweli mahaba nitese. Mtasubiri sana hilo anguko na badala yake mtajikuta mnaanguka nyie.
Uchambuzi maana yake nini? Too low..
sijui wamekanyaga nini hawa jamaa....
We kweli behewa hapo kuna uchambuzi gani?
Ccm bwana hao waokota makopo barabarani si ndo sera yenu,Sera yenu ya kujiajiri kuna mamantilie waokota makopo na bodaboda
mungu wako wa baali siyo Mungu wangu wa Eliya.
Kalenga si kigezo cha kujidanganya kwamba CDM inapungua umaarufu. Pale ilikuwa ni kujipima nguvu na kuona jee parapanda la CDM limeshawafikia wananchi hasa wale wa vijijini? Jibu hapana ina maana kazi kubwa lazima ifanyike sasa - ni nyumba kwa nyumba, mtaa kwa mtaa, kitongoji kwa kitongoji hasa mikoa ambayo bado imelala -TABORA, IRINGA, SINGIDA na DODOMA.
Mungu wa Elia ndio anakuambia ushirikiane na wezi kuiba mali za watanzania? Au wewe ni chakula yao. Linda ugani wako mama manae wakiondoka hao utakula nyasi
Ni mwehu peke yake anaeweza kuweka mapenzi yake kwa CDM