Angalia Jinsi hapa Afrika Mashariki Tanzania ndio imebarikiwa kupata mvua nyingi kushinda Kenya, Uganda

Badala ufungue uzi wa kuilaumu na kuishurutisha serikali yako iwanyanganye wanasiasa wachache waliojimilikisha hekari za kutosha pamoja na wazungu wanaomiliki hekari za kutosha hapo kenya na kuwaacha mamilioni ya wakenya wakiwa hawana hata kijisehemu cha kulima upo busy hapa kuitaja taja Tanzania inayokulisha.

Hivi hizi acres zinazomilikiwa na familia moja zinawatosha wakenya wangapi?

1. 10, 000 acre Gichea Farm in Gatundu.

2. 5, 000 acres in Thika.

3. 20,000-acre one, also known as Gichea Farm,

4. 5, 000-acre Muthaita Farm

5. 9,000 acres in Kasarani Mwiki

6. 29, 000 acres in Kahawa Sukari

7. 50, 000 acres in Taita

8. 52,000-acre farm in Nakuru

9. 24, 000 acres in Taveta

10. 10, 000-acre ranch in Naivasha.

11. 10, 000 acres in Rumuruti

12. 40,000 acres in Endebes in the Rift Valley Province

Aiseee, si karibu nusu ya ardhi ya kilimo Kenya ni mali ya familia moja? Ndiyo maana kila siku ni kilio cha njaa tu.🤣
 
Aiseee, si karibu nusu ya ardhi ya kilimo Kenya ni mali ya familia moja???, ndiyo maana kila siku ni kilio cha njaa tu.
Hizo acres ni za familia moja tu.

Bado zinazomilikiwa na wanasiasa wengine na zingine zinazomilikiwa na wazungu
 
Wacha shobo mtoto wa kiume, kwani nijukumu letu sisi kama Tanzania kuwalisha nyie au nchi yoyote Africa? Kwani nyie hamna ardhi mlime? Kwanza hujawai sikia Tz tunalia njaa, EAC hii nyie Kenya ndo mna shida sasa sioni tatizo lolote sisi kuwa na chakula kingi kujitosheleza kama nchi na surplus kuwepo kama iyo inakuwasha jikune itapoa! Kama taifa letu Tanzania ina rain pattern kubwa, do you really think we don't know hahaha! All this vast open lands we have, you really think we don't know!

Just know we know everything about our country and that's why we don't talk about our resources the way you wish you could if you had them! Yani wakenya mna chekeshaga kudhani mwajua kila kitu, mtajua hamjua! LETA MADA ZINGINE POSITIVE ZA KUJENGA NA KUELIMISHA NA KUUNGANISHA ACHA SHOBO!
 
DRC ni kubwa kuliko Tanzania na inapokea mvua kama Tanzania, ina mito mingi kuliko Tanzania na ardhi yao yote ni rutuba lakini wanategemea Tanzania kwa chakula kama ninyi
DRC sababu inajulikaba,ila siku South Sudan ikiwa stable soko la Tzn kwenye Mazao mbalimbali litotea maana Kenya itageukia upande huo
 
Kwasababu hatujahakikishiwa soko la kudumu.

Hivyo nguvu kazi ya vijana unaamua kutumika katika shughuri zingine.

Kuna Wilaya ya Songea mkoa wa Ruvuma vyakula vinazalishwa kwa wingi lakini soko hakuna.

Gunia la mahindi lenye kilogram 80 hadi 100, inafikia linauzwa hadi T.shiling 20,000.

Miaka ya 2004 kulitokea wafanyabiashara toka nchini India walifika Songea kununua zao la Kunde mbaazi.

Mwaka uliofuata walinunua tena lakini walibugudhiwa na baadhi ya viongozi wa Serikali.

Mwaka uliofuata hawakwenda tena Songea kununua Kunde.

Wakulima wakakosa soko la kunde na wakaishia kuzitelekeza mashambani bila kuzivuna, ziliozea shambani, wengine waliamua kuyachoma moto mashamba yao.

Toka hapo Kunde haijalimwa tena na wafanyabishara hawajaenda tena kutafuta kunde.

Huo ni mfano tu, wa kwanini wakulima wa TZ hawalimi mazao ya chakula kwa uwingi, ni kwamba hakuna soko la kutosha kununua mazao ya kilimo.
Soko ipo tena kwa wingi. Hilo gunia la mahindi la kilogram 100 unayosema inaweza kuuzwa kwa Tsh 20,000 hapa Kenya inauzwa kwa Tsh 80,000 au zaidi. Pengine tatizo ni kwamba serikali yenu haitaki Wakulima wafaidike.
 
Ndugu yangu Tony tuache unafiki ,vyakula msimu huu ndo vingi sijapata shuhudia.Hii covid imeharibu issue ,mahindi kibao ,mpunga hapa sijapata mteja upo wakuzidi tu.
 
Soko ipo tena kwa wingi. Hilo gunia la mahindi la kilogram 100 unayosema inaweza kuuzwa kwa Tsh 20,000 hapa Kenya inauzwa kwa Tsh 100,000 au zaidi. Pengine tatizo ni kwamba serikali yenu haitaki Wakulima wafaidike.
Hakika.
Serikari ya TZ binafsi ndio inayowaangusha wakulima. Hairuhusu wakulima kuuza mazao yao nje ya nchi.
Haifungui mipaka ya biashara ya mazao ya chakula nje ya nchi.
Kama Kenya Gunia la mahindi linafika Tsh 100,000. Ni bei nzuri sana.
Bei ambayo ingefanya vijana wengi kurudi mashambani kufanya kazi.

Jambo hili linahitaji mjadala wa Kutaifa.
 
Badala ufungue uzi wa kuilaumu na kuishurutisha serikali yako iwanyanganye wanasiasa wachache waliojimilikisha hekari za kutosha pamoja na wazungu wanaomiliki hekari za kutosha hapo kenya na kuwaacha mamilioni ya wakenya wakiwa hawana hata kijisehemu cha kulima upo busy hapa kuitaja taja Tanzania inayokulisha.

Hivi hizi acres zinazomilikiwa na familia moja zinawatosha wakenya wangapi?

1. 10, 000 acre Gichea Farm in Gatundu.

2. 5, 000 acres in Thika.

3. 20,000-acre one, also known as Gichea Farm,

4. 5, 000-acre Muthaita Farm

5. 9,000 acres in Kasarani Mwiki

6. 29, 000 acres in Kahawa Sukari

7. 50, 000 acres in Taita

8. 52,000-acre farm in Nakuru

9. 24, 000 acres in Taveta

10. 10, 000-acre ranch in Naivasha.

11. 10, 000 acres in Rumuruti

12. 40,000 acres in Endebes in the Rift Valley Province
Acres zote izo utashangaa mabeberu wanalima maua
 
Hakika.
Serikari ya TZ binafsi ndio inayowaangusha wakulima. Hairuhusu wakulima kuuza mazao yao nje ya nchi.
Haifungui mipaka ya biashara ya mazao ya chakula nje ya nchi.
Kama Kenya Gunia la mahindi linafika Tsh 100,000. Ni bei nzuri sana.
Bei ambayo ingefanya vijana wengi kurudi mashambani kufanya kazi.

Jambo hili linahitaji mjadala wa Kutaifa.
Mjadala wa kitaifa kuhusu nini mkuu, wacha kusikiliza upuuzi wa wakenya, uwe unatumia akili yako sio kuwasikiliza wakenya, hao ni watu wa kudanganya kwa kila wanalosema. Serikali ya Kenya inanunua mahindi toka kwa wakulima kwa bei ya Kshs 25,000 kwa gunia la kilo 100, wakulima wao wanalalamika kwamba bei haiwalipi, wengine wanagoma kuuza mahindi yao, vipi unajaa upepo wakenya wakidanganya kwamba kwao bei ni Tsh 100,000?, katika maeneno kumi ya mkenya, chukua moja tu.
 
Mjadala wa kitaifa kuhusu nini mkuu, wacha kusikiliza upuuzi wa wakenya, uwe unatumia akili yako sio kuwasikiliza wakenya, hao ni watu wa kudanganya kwa kila wanalosema. Serikali ya Kenya inanunua mahindi toka kwa wakulima kwa bei ya Kshs 25,000 kwa gunia la kilo 100, wakulima wao wanalalamika kwamba bei haiwalipi, wengine wanagoma kuuza mahindi yao, vipi unajaa upepo wakenya wakidanganya kwamba kwao bei ni Tsh 100,000?, katika maeneno kumi ya mkenya, chukua moja tu.
Kwani K.sh 25,000/
Ni sawa na T.shilingi ngapi ?
Huoni kuwa inazidi hiyo Tsh,100,000 aliyoisema huyo mkenya.
Halafu hapa tunajadiliana tu kama kubadilishana mawazo.
Wakenya ni Ndugu zetu hata kama baadhi yao hawana sifa nzuri.
 
Tatizo ni mentality za kishamba za kikomunist za CCM , yaani Tanzania ni nchi inayoongoza Kwa kuwa na vilaza , watu wenye mtindio WA ubongo , Kuongoza watanzania you don't have to be afraid of anything they are as good as dead cattles yaani maiti ,watanzania asilimia 80 ni maiti zinazotembea, ndio maana Kagame aliwahi sema angekuwa Tu na Bandari ya Dar Es Salaam Rwanda ingekuwa kama Singapore.
 
Kwani K.sh 25,000/
Ni sawa na T.shilingi ngapi ?
Huoni kuwa inazidi hiyo Tsh,100,000 aliyoisema huyo mkenya.
Halafu hapa tunajadiliana tu kama kubadilishana mawazo.
Wakenya ni Ndugu zetu hata kama baadhi yao hawana sifa nzuri.
Samahani, nilimaanisha 2500 = Tsh 50,000. Wakenya ni wapinzani wetu sio ndugu zetu, wao lengo lao ni kutaka kupaka matope Tanzania kwa namna yoyote. Katika hili lengo lao ni kutaka kuonyesha kwamba Tanzania haiwasaidii wakulima, wakati anajua wazi kwamba analozungumza kuhusu bei ya mahindi huko Kenya ni uzushi mtupu.
 
Nyie zenu mnalima nini kama sio mapori na subsistence farming which doesn't help you a godamn thing at all , ukiachana na hiyo tiny surplus mnayodhurumiwa Kwa kuuuza in peanuts Kwa Wakenya , Machinga na Peasants economy , you should be ashamed of yourselves even to dare arguing with Kenyans , Tanzanias are the ones who should have an industrial farming economy but it's totally the opposite of that with more than 70 percent of the population deep in poverty darkness and hopelessness ,
Stupid monkeys
How can a stupid person like you dare to discuss any meaningful discussion, a country whose citizens still dying of hunger yearly at this century, a country whose people still live in stone age mentality of killing each other based on tribes, a country full of corruption and high rate of crime, Who can you tell anything to civilized country like Tanzania where people live in harmony, peace, live and free from tribalism and crime?
 
Badala ufungue uzi wa kuilaumu na kuishurutisha serikali yako iwanyanganye wanasiasa wachache waliojimilikisha hekari za kutosha pamoja na wazungu wanaomiliki hekari za kutosha hapo kenya na kuwaacha mamilioni ya wakenya wakiwa hawana hata kijisehemu cha kulima upo busy hapa kuitaja taja Tanzania inayokulisha.

Hivi hizi acres zinazomilikiwa na familia moja zinawatosha wakenya wangapi?

1. 10, 000 acre Gichea Farm in Gatundu.

2. 5, 000 acres in Thika.

3. 20,000-acre one, also known as Gichea Farm,

4. 5, 000-acre Muthaita Farm

5. 9,000 acres in Kasarani Mwiki

6. 29, 000 acres in Kahawa Sukari

7. 50, 000 acres in Taita

8. 52,000-acre farm in Nakuru

9. 24, 000 acres in Taveta

10. 10, 000-acre ranch in Naivasha.

11. 10, 000 acres in Rumuruti

12. 40,000 acres in Endebes in the Rift Valley Province
Duh... Aisee lakini mleta mada hata sehemu ya kulima sukuma wiki hana ila anaona poa tu
 
Back
Top Bottom