Anayofanya Christina Shusho ni matokeo ya Wanaume wengi kuoa Wanawake Watumwa wasio huru. Siku wakipata Uhuru wao hayo ndio hutokeaga

Kabla ya mwaka 1961 Tanganyika raia wake walikuwa utumwani. Unataka kuniambia walkuwa wanafanya kazi kwa kupenda? Historia haisemi jinsi gani wazee walikuwa wakichapwa Viboko?

mkuu,

Mimi sifahamu kama alilazimishwa au Laah, ila yeye anadai alilazimishwa hivyo mtoa mada amesimamia hapo kwamba alilazimishwa.
Tanzania hatuwahi kuwa utumwani ila ni ukoloni. Ukoloni haulazimishwi kufanya kazi ila unakuwa chini ya mamlaka ya taifa lingine kama mfanyakazi anayelipwa hata kama ni kidogo.
 
Ki ukweli huyu dada nami nilikubali sana kabla hajaanza hata kuimba
Tulikuwa tunashiriki naye kwenye huduma moja Dar ikiitwa New life crusade
alipoanza album yake akawa maarufu sikumuona tena akihudumu kwenye semina na mikutano
mbali mbali nikajua amezidiwa na huduma,sasa naona huduma zimeongezeka,nipo njia panda
nashindwa nimtakie kila la kheri, au nimshauri arudi nyumbani
Kila siku hapa huwa tunasema kuwa mwanaume anapopata mafanikio ya kiuchumi huwa anauwezo wa kulala kingono na wanawake wengi tofauti tofauti ila huwa anachagua kutafuta mwanamke m'moja mzuri anayejitambua na kuanzisha nae maisha na kuwa Mume na mke na kujenga kiota chao waishi kwa upendo na kujenga ukoo.

Upande wa pili ni kwamba mwanamke akipata mafanikio ya pesa anaona mwanaume ni kama nyapala anaekuja kumbana na kumnyima uhuru wa kufanya anachojisikia maana huu ndio muda atataka ajiweke karibu na watu wenye pesa sio kwa lengo la kupata maisha ni ili aweze kuwa mpango wa kando maana anajua mtu mwenye pesa anakuwa na mademu kibao yeye anaongeza namba tu aende hawa wanaume matajiri wamtombe, wampe hela na madili ya hela zaidi, azae nao ili wanaume hawa awatumie kama chanzo cha mapato kupitia matunzo ya watoto kisha akianza kuzeeka sasa ndipo atafute kijana Smart ataulie wajenge familia. Umatako wa karne yaani.
 
Watu wenye pesa wanaume hupenda kuoa au Ku-date na wanawake ambao wapo financial broke ili kuwafanya kuwa submissive - kuwatii wanaume.

Na ndoto kubwa ya masikini huwa ni kulipiza Mapito yao waliyofanyiwa Kama , kudharauliwa, kutukanwa , kuteswa , hivyo msamaha wa MTU masikini ni kisasi.


Shusho anachopitia sio mapepo wala dharau kwa mme wake .

Isipokuwa anajaribu kuishi katika dark side yake.

Na dark side hakuna MTU ambaye Hana dark side.
At least umeongea jambo linalomake sense. Robert Heriel Mtibeli angekuja kihivi kidogo tungejadili mada ya kueleweka ila sio pumba alizoandika hapa. Ameamua kuwa w****'s advocate.
 
CHRISTINA SHUSHO AMEMKOSEA MUMEWE, ATUBU

Kitendo cha Christina Shusho kusema kwamba aliozeshwa akiwa mdogo bila idhini yake ni kumdhalilisha huyo aliyekuwa mume wake kwamba alikuwa mkubwa sana kwake (mzee) na alimuoa kimabavu, kwanini hakuachana nae kipindi hicho hicho au kwenda kushtaki? Au kuna kitu alikuwa anapata hakipo tena ndio anaamua kumchafua? Maswali ni mengi yenye mashaka

Nmeona video anahojiwa hata pete ya ndoa hajavaa anaulizwa kwann anasema ni suala la makubaliano aliamua kumuacha mumewe kwenda kutimiza ndoto zake na ilikuwa kwa amani anasema habari za mume na mke kuwa mwili mmoja kwake siku hizi hazipo. Kule kwa mumewe alipokuwa anasema akiamua anaenda kutembelea tu. Hii sio sahihi ndugu zangu.

Imefika hatua anasema kwamba hapendi kuitwa pastor Christina Shusho anasema yeye sio mchungaji ila ana watu wa karibu wachungaji yeye hajiskii vizuri kuitwa pastor, kweli? Muimbaji wa nyimbo za Injili unaehubiri kupitia nyimbo hutaki kuitwa mchungaji??? Unaogopa nin? Ni mambo gan hasa yanakupa aibu kuitwa pastor?

Binafsi nasimama na huyo mume, naona suala la ndoa la Christina Shusho limekaa upande mmoja yeye tu ndio anaongea kwenye media na majukwaa mbalimbali kwamba alifosiwa kuolewa mara alijitoa kwenye ndoa kutimiza maono yake nk ukweli unabaki kwa mume huenda nae ana mengi ya kuzungumza ila ana kifua, sio ropo ropo.

Nadhani siku huyo mzee (ambaye Christina anadai aliozeshwa kwake akiwa mdogo kwamba ni mkubwa sana kwake) akiongea huenda tukakosa pa kuficha sura zetu yanaweza kuwa mambo mazito mno

Nadhani mume ameamua kutumia busara kukaa kimya kuepusha taharuki kubwa zaidi

Sioni kama kulikuwa na haja ya Christina Shusho kuongelea haya mambo hadharani yalipaswa kuwa binafsi

Wanawake jifunzeni, mambo ya ndoa sio ya kuweka hadharani.
 
Hizi kauli inabidi zijadiliwe kwa uwazi na upana wanawake wanaona kama jamii ina watu wajinga sana.

1. Nataka niwe huru
2. Nataka nipambanie ndoto zangu.

Hizi kauli zimewaponza mabinti wengi sana leo hii kama sio ni masingle mother basi ni wasimbe wa kudumu.
 
Imeishaahioo
 

Attachments

  • 1714663466367.jpg
    1714663466367.jpg
    203.1 KB · Views: 4
Mtoa mada usipangie watu maisha. Kuna wanaume wanapenda kuoa wanawake ambao hawana kazi, kuna wanaopenda kuoa wenye kipato kuwazidi, wengine msomi, wengine wanapenda wenye elimu ya darasa la saba.

Waache watu waishi vile wanaona inawafaa wao. Ndoa ya Tina si ya kwanza kuvunjika, aache kutafuta visingizio. Wakati anaolewa hakuwa mtoto, alikuwa na nafasi ya kukataa ndoa hiyo.

Binafsi napenda mwanamke anayejua kujitafutia kipato, hivyo siwezi kuwapangia wengine waoe mwanamke wa aina gani.
 
Angekuwa ni nandy, giggy money, shilole au lulu wala hakuna ambaye angeshangaa...ingeonekana ni kawaida.


Tatizo linakuja kwamba ni mwimbaji wa
Dini...Dini ambayo wengi tunaamini ndio mahali pa faraja..anapoasi kwa style hiyo.

Tukumbuke pia, Tina sio binti.wala mdada kama akina frola mbasha..ni jimama..ana watoto wa kuolewa na kuoa...probably hata wajukuu siajabu anao...inashangaza sana
 
Angekuwa ni nandy, giggy money, shilole au lulu wala hakuna ambaye angeshangaa...ingeonekana ni kawaida.


Tatizo linakuja kwamba ni mwimbaji wa
Dini...Dini ambayo wengi tunaamini ndio mahali pa faraja..anapoasi kwa style hiyo.

Tukumbuke pia, Tina sio binti.wala mdada kama akina frola mbasha..ni jimama..ana watoto wa kuolewa na kuoa...probably hata wajukuu siajabu anao...inashangaza sana

Hata waimba dini nao ni wanadamu wana madhaifu kama tulivyo mimi na wewe.
 
Nimesoma post yako kama nusu tu nikaona huna uelewa wa mambo ya Ndoa hivyo huna sifa ya kuandika mambo yanayo husiana na ushauri wa ndoa; unge endelea na yale mengine ya kisiasa
1. Kudhibitisha kuwa huna sifa ya kuongelea mambo ya Ndoa, umeweza kumsikiliza Christina Shusho na kuamini kila anachosema na kutoa hukumu wakati hujasikiliza upande wa pili wa mUme wake
2. Kwa maelezo yako ni kuwa, mwanamke asiolewe kama hana kazi au niseme wanaume wasije kuoa wanawake wasio na kazi au Kipato; sijui unajua ni asilimia ngapi ya wanawake au niseme vijana wenye kazi?
3. Kama unafikiri mtu akioa mke kwa sababu anataka asifanye dhambi ya kuzini mtaani ananyanyasa mke wake kwani anataka kufanya tendo la ndoa; inabidi ujitafakari upya...
4. Hiyo ya kusema mke asilipiwe mahari sijui umetoa wapi????
5. Kwa wenye maarifa wanajua kuwa, masuala ya ndoa sio mepesi kama kuongelea Siasa au pengine kuongelea mpira wa Yanga & Simba
Kaka mpare nimependa umetumia lugha ya kiungwana maana alistahili ya kukalipia,yaani anachukulia ndoa kama taasisi ya kibiashara mbinu za kuajiri wafanyakazi analeta kwenye ndoa.
hajui ukioa mwanamke ikatokea amepata ajari miguu na mikono imekatika ataendelea kuwa mkeo mpaka mungu atapomchukua ,na hapo atueleze je waachane?
 
Back
Top Bottom