Anayejua habari za JKT

Anayejua habari za JKT

sitosahau siku ya jana nimevaa suti yangu safi kwenda kuulizia habari za mwendelezo baaada ya kuchaguliwa wilayani nakuta kumbe ndio siku ya mchakamchaka nakuta watu wamekaa chini!!!!, kumbe ndo na mimi inabidi niungane nao nikatoa koti pembeni mchakamchaka hadi kirumba zoezi la mchujo likaanza bahati nzuri nikapita kwa ajili ya vipimo kesho saa hizi naitwa wa suti. Tuombeane ndugu hii mwanza,nyamagana.
 
sitosahau siku ya jana nimevaa suti yangu safi kwenda kuulizia habari za mwendelezo baaada ya kuchaguliwa wilayani nakuta kumbe ndio siku ya mchakamchaka nakuta watu wamekaa chini!!!!, kumbe ndo na mimi inabidi niungane nao nikatoa koti pembeni mchakamchaka hadi kirumba zoezi la mchujo likaanza bahati nzuri nikapita kwa ajili ya vipimo kesho saa hizi naitwa wa suti. Tuombeane ndugu hii mwanza,nyamagana.
Trust in God Everything Gonna be Alright.
 
sitosahau siku ya jana nimevaa suti yangu safi kwenda kuulizia habari za mwendelezo baaada ya kuchaguliwa wilayani nakuta kumbe ndio siku ya mchakamchaka nakuta watu wamekaa chini!!!!, kumbe ndo na mimi inabidi niungane nao nikatoa koti pembeni mchakamchaka hadi kirumba zoezi la mchujo likaanza bahati nzuri nikapita kwa ajili ya vipimo kesho saa hizi naitwa wa suti. Tuombeane ndugu hii mwanza,nyamagana.
Wanaomaliza kwa wakati ndio mshindi au baada ya mchakamchaka ndo wanapima afya?
 
.Eti wa suti ila kuna watu wana vituko

Na hiyo ndio raha ya chombo
sitosahau siku ya jana nimevaa suti yangu safi kwenda kuulizia habari za mwendelezo baaada ya kuchaguliwa wilayani nakuta kumbe ndio siku ya mchakamchaka nakuta watu wamekaa chini!!!!, kumbe ndo na mimi inabidi niungane nao nikatoa koti pembeni mchakamchaka hadi kirumba zoezi la mchujo likaanza bahati nzuri nikapita kwa ajili ya vipimo kesho saa hizi naitwa wa suti. Tuombeane ndugu hii mwanza,nyamagana.
 
Aisee kilichotokea moro mjini ni shida kwa kweli kama jkt ndo hivi nimeinua mikono. Yalikuwa ni mashindano ya riadha co kupima utimamu wa mwili.

Mita 400 mnashindanishwa watu kama 100 af wanachukua watu wawili tu. Wenye speed ndo wali win.
Daaaaah, kuna mtu alinambia kuhusu moro mjini nikamuona kama muongo. Na yeye aliniambia hivi hivi.
 
Wakuu mwenye kujua habari za JKT kujitolea 2015 Atujuze.

Mbona sisi tunaofanyiwa mipango mwaka huu wametuchelewasha kuingia kambini? Na wakati wenzetu mafunzo teali wameshaanza.. unakuta mtu anaekufanyia mipango yupo kule MMJKT anakwambia subiri utaingia!

Je kuna watu huwa wanaripot katikati ya six week?
 
Back
Top Bottom