Poa.Baadae ntakujibu ngoja kwanza nishuke kwenye TATA .
Poa.Baadae ntakujibu ngoja kwanza nishuke kwenye TATA .
Nshashuka Muda Sana but Game tight Sana .Poa.
Mkuu bora nyie hizo 2400 utaenda mdogo mdogo utamaliza, sasa hiyo 400 ni speed mwanzo mwisho. Ingekuwa ata 3000 mbio za marathon ningemaliza.Bola nyie mita 400 kinondoni tumekimbia Mira 2400
Acha tu mkuu Aleyn hali ilikuwa mbaya nilijitahidi mwisho wa cku nikaona kuna watu kama 5 ivi wako mbele yangu af cwafikii nikaona bora yaishe nikasimama zangu tu.Daaaaah, kuna mtu alinambia kuhusu moro mjini nikamuona kama muongo. Na yeye aliniambia hivi hivi.
Ha haaa siyo kumaliza mnakimbia 20 wanachukua WA 3 wambeleMkuu bora nyie hizo 2400 utaenda mdogo mdogo utamaliza, sasa hiyo 400 ni speed mwanzo mwisho. Ingekuwa ata 3000 mbio za marathon ningemaliza.
Koma mkuu ila tafuta na mbuyu wa kukuvuta kamba, maana hawachelewi kukuweka reserve.Nashukuru nimepita ngazi ya wilaya now nasubir kupima afya mkoani
Ulkata tamaa, kosa kubwa kwa mwanajeshi.Acha tu mkuu Aleyn hali ilikuwa mbaya nilijitahidi mwisho wa cku nikaona kuna watu kama 5 ivi wako mbele yangu af cwafikii nikaona bora yaishe nikasimama zangu tu.
Hahahahahaaa ata Waganda walivyoona kichapo kinazidi wakaweka siraha chini wakaingia mtaani wakawa civillians.Ulkata tamaa, kosa kubwa kwa mwanajeshi.
Aiseee,mjomba mfano wewe siku moja ukienda vitani si unaweza kuwatoroka wanaume wenzio kwenye uwanja wa medani!?Hahahahahaaa ata Waganda walivyoona kichapo kinazidi wakaweka siraha chini wakaingia mtaani wakawa civillians.
Ndo maana kuna mafunzo maalumu ya spirit na ukakamavu jeshini. Mimi saiv raia tu.Aiseee,mjomba mfano wewe siku moja ukienda vitani si unaweza kuwatoroka wanaume wenzio kwenye uwanja wa medani!?
Unajua kwanini huwa mnapewa test za kukimbia na kusukuma ardhi!?Ndo maana kuna mafunzo maalumu ya spirit na ukakamavu jeshini. Mimi saiv raia tu.
Ni kweli ukifeli mara moja kadet huwezi kwenda tena?Unajua kwanini huwa mnapewa test za kukimbia na kusukuma ardhi!?
Wanahitajika watu ambao ni fit naturally na wenye utayari.. Ila sio lazima wote mkidhi vigezo.
Pagumu kurudia Mara mbili, Nina mwanangu ali-blow mapigo, hadi Leo hajapata nafasi.. Ana mbavu 3.Ni kweli ukifeli mara moja kadet huwezi kwenda tena?
figisu figisu za mjini acha hakuna sijui je..shi ndo wanafundisha nidhamu wakati ndo njia za panya kibao bora nibaki na nidhamu yangu mtaani huku sio nidhamu ya lazima mkuu.
sitosahau siku ya jana nimevaa suti yangu safi kwenda kuulizia habari za mwendelezo baaada ya kuchaguliwa wilayani nakuta kumbe ndio siku ya mchakamchaka nakuta watu wamekaa chini!!!!, kumbe ndo na mimi inabidi niungane nao nikatoa koti pembeni mchakamchaka hadi kirumba zoezi la mchujo likaanza bahati nzuri nikapita kwa ajili ya vipimo kesho saa hizi naitwa wa suti. Tuombeane ndugu hii mwanza,nyamagana.
Unajua kwanini huwa mnapewa test za kukimbia na kusukuma ardhi!?
Wanahitajika watu ambao ni fit naturally na wenye utayari.. Ila sio lazima wote mkidhi vigezo.