Anayejua anachokisimamia Dkt. Slaa kwa sasa atuambie

Kuwepo kwako hapa JF kwa muda mrefu hakujakusaidia chochote. Mabandiko yako ni yale yale ya kipuuzi tu siku zote! Rekodi hiyo nayo ni ya kujivunia?

Miaka yote hiyo umekuwa hapa JF, lakini michango yako ni ya kijinga kabisa, kama kule kung'ang'ania kwamba ule uwanja wa ndege Chato ndio ule ule uliokuwa umepangwa kujengwa Geita! Huu ni mfano mmoja tu wa mambo ya kipuuzi unayojaza humu kila unapojitokeza.
nadhani nimeshakuelewa; kwa kurudia uwanja wa Chato nadhani nilibishana na watu watatu huko nyuma kuwa ulipitishwa na bunge. Mmoja alielewa ila akalaumu kuwa serikali iliuweka kwenye bajeti kiujanja kusudi wabunge wasitambue, mmoja hakujibu tena ila nadhnai ni wewe uliuyekmaa mpka kuwa personal asif ulinyangwanya uwanja ule. Kama ni wewe ndugu yangu, usiumize kichwa chako kuwa unakariri nani kaandika nini JF, na kuishia kujidhalilisha kwa kuonyesha temperament mbovu hata kama hatufahamu. Utapata pressure bure; learn to agree to disagree kwenye thread moja na kuhamia thread nyingine.
 
Huyu Mzee baada ya ccm kumkata kwenye kura za maoni , akaomba kujiunga na Chadema , Chadema ikamsaidia kupata Ubunge na ikampandisha hadi kuwa Katibu Mkuu wa Chama , baadaye mwaka 2015 akashirikiana na Askofu Gwajima kumshawishi Lowassa ajiunge na Chadema , Kamati kuu ikapewa Taarifa na Bwana Lowassa akaingia Chadema na kupitishwa kugombea Urais .

Baada ya Lowassa aliyeletwa na Dr Slaa kupitishwa kugombea Urais , Dr Slaa akajiondoa Chadema kwa Ushawishi wa Mchumba wake na kwa ushawishi pia wa Dr Mwakyembe , akaingia ccm na kuwa mpiga debe wao , akalipwa Ubalozi kwa kazi hiyo ya kupiga debe na kutukana Lowassa na Sumaye , ambao kwa sasa wako wote chama kimoja .

Kwa kufupisha tu nina swali dogo kuhusu huyu Mzee , Juzi alimsifia Dr Magufuli kwa kuwa Mwanademokrasia na kuilaumu serikali kwa kumnyima fursa ya kumuombea alipokuwa Mgonjwa , na kwamba hadi leo moyo wake uko ndani ya magufuli au sijui magufuli ndio yuko kwenye moyo wake .

Sasa hebu msomeni hapa halafu mtueleze kile anachokisimamia .
Twists and turns za hapa na pale ndio yamekuwa maisha ya Dr Mihogo Slaa! Mwanzo akaingia Utume, akawa Padri, yakamshinda akakimbia, akaoa Mara mbili, yakamshinda akatelekeza familia, akaingia siasa CCM akakwama CDM ikampa shavu, akapanda mpaka kuwa KM, akabwaga manyanga na kuwa muumini wa Magufuli iyena iyena! Huyo ndiye Dr. Mihogo Slaa, kwa ufupi ni mtu hana msimamo wa kudumu, hafai kuaminiwa kindakindaki katika maswala ya msingi!
 
Huyu mzee dish haliko sawa, njaa na mambo ya kifamilia yamemfanya awe hivi. Leo kajipa kazi ya utangazaji wa legacy ya wendazake.
 
nadhani nimeshakuelewa; kwa kurudia uwanja wa Chato nadhani nilibishana na watu watatu huko nyuma kuwa ulipitishwa na bunge. Mmoja alielewa ila akalaumu kuwa serikali iliuweka kwenye bajeti kiujanja kusudi wabunge wasitambue, mmoja hakujibu tena ila nadhnai ni wewe uliuyekmaa mpka kuwa personal asif ulinyangwanya uwanja ule. Kama ni wewe ndugu yangu, usiumize kichwa chako kuwa unakariri nani kaandika nini JF, na kuishia kujidhalilisha kwa kuonyesha temperament mbovu hata kama hatufahamu. Utapata pressure bure; learn to agree to disagree kwenye thread moja na kuhamia thread nyingine.
Nilishakwambia siku nyingi, kichwani mwako kuna tatizo, ule ugonjwa unaowapata wazee, naona bado hutaki kuelewa.

Kama mchango una 'impact', utaachaje kukumbuka alieuchangia, eti kwa vile hapa ni JF, watu hawatakiwi kukumbuka wanachosoma kutoka kwa wengine?
 
Nilishakwambia siku nyingi, kichwani mwako kuna tatizo, ule ugonjwa unaowapata wazee, naona bado hutaki kuelewa.

Kama mchango una 'impact', utaachaje kukumbuka alieuchangia, eti kwa vile hapa ni JF, watu hawatakiwi kukumbuka wanachosoma kutoka kwa wengine?
 
Siku ile pale Chato alikua peke yake sana... Kuna kitu najifunza kuwa kwenye maisha bora kusimamia jambo moja la msingi...
Kama wewe ni mpinga uovu simamia hapo sio ukipewa cheo unaanza ku double standard...
Ile democracy ulikua unataka ukiwa Chadema Siku iz imekua ya kiafrika?
Mwisho unakua popo na popoma ndo mana naelewa sasa kwa nini baadhi ya watu kama kina Msigwa waligoma kabisaaa kufikiwa bei... Leo huyu anasema hana Chama
 
Dr Slaa alikuwa upinzani kwa miaka mingi, tena mpinzani wa nguvu.
Akapumzika uongozi na baadaye kuteuliwa kuwa balozi.
Kama ilivyo kazi za serikali, utumishi una mwisho na sasa yuko kijiweni.

Cha ajabu ni matamshi yenye ukakasi kila leo.
Mara anataka idhini ya serikali kumuombea Magufuli, mara sijui alijiona moyoni mwa Magufuli.
Anaongea vitu ambavyo havieleweki utafikiri kuku anayetaka kutaga.
Bado hajatambua kuwa tuko Awamu ya 6!

Dr Slaa ana matatizo gani?
 
Dr Slaa alikuwa upinzani kwa miaka mingi, tena mpinzani wa nguvu.
Akapumzika uongozi na baadaye kuteuliwa kuwa balozi.
Kama ilivyo kazi za serikali, utumishi una mwisho na sasa yuko kijiweni.

Cha ajabu ni matamshi yenye ukakasi kila leo.
Mara antaka idhini ya serikali kumuombea Magufuli, mara sijui alijiona moyoni mwa Magufuli.
Anaongea vitu ambavyo havieleweki utafikiri kuku anayetaka kutaga.
Bado jajatambua kuwa tuko Awamu ya 6!

Dr Slaa ana matatizo gani?

Tathmini ya yohana kumhusu Jembe wake huyo ni hii hapa:

Dkt. Slaa akianzisha chama cha Siasa atapata wafuasi wengi
 
Dr Slaa alikuwa upinzani kwa miaka mingi, tena mpinzani wa nguvu.
Akapumzika uongozi na baadaye kuteuliwa kuwa balozi.
Kama ilivyo kazi za serikali, utumishi una mwisho na sasa yuko kijiweni.

Cha ajabu ni matamshi yenye ukakasi kila leo.
Mara antaka idhini ya serikali kumuombea Magufuli, mara sijui alijiona moyoni mwa Magufuli.
Anaongea vitu ambavyo havieleweki utafikiri kuku anayetaka kutaga.
Bado jajatambua kuwa tuko Awamu ya 6!

Dr Slaa ana matatizo gani?
Slaa ana wenge
 
Bwashee yani tatizo lako unataka ulihamishie kwa dr Slaa? Kama humwelewi hilo ni tatizo lako la uelewa mdogo, uelewa wako mdogo siyo tatizo lake, jiongeze tu utamwelewa.
 
Bwashee yani tatizo lako unataka ulihamishie kwa dr Slaa? Kama humwelewi hilo ni tatizo lako la uelewa mdogo, uelewa wako mdogo siyo tatizo lake, jiongeze tu utamwelewa.
Ok sielewi, kwa uelewa wangu mdogo.
Sasa wewe unaye mwelewa, na uelewa wako super, hebu tupe undani wa tatizo lake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom