voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,542
- 11,852
Ila kasoro mzee Mtei yeye hazeeki na kila siku ushauri wake unazidi kuwa mzuri sio?Navyojua kadri mwanadamu anavyozidi kuzeeka ndio akili yake inarudi kuwa kama ya mtoto, hivyo simshangai huyo babu.