chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,824
mzee yuko smarter Sana aise.
Ni Rais yupi aliyekubali kuokolewa hapa Tanzania kuanzia Nyerere,hadi Samia? Juzi tu Ndugai na Charamila unajua kilichowapata Wakati wanatoa maoni yao.ndio alipinga hata sla alipinga ila tatzo la magufuli alipenda sana sifa na majivuno ukimkosoa lazma uwe adui yake, alikuwa apendi kukosolewa na ndo mana alitukandamiza sana upnzani na alikuwa mbinafsi
tatzo la marais wetu hawapendi kukosolewa ila magufuli alzd alikuwa yuko tyr kukuuwa kuliko kumwambia ukweli mwisho wa siku ujanja mwingi mbele gza yuko wap sasa hv japo hata ss tu nyumaNi Rais yupi aliyekubali kuokolewa hapa Tanzania kuanzia Nyerere,hadi Samia? Juzi tu Ndugai na Charamila unajua kilichowapata Wakati wanatoa maoni yao.
Wajinga wanapokosa la kujibu hutoa matusi; nimekuwapo hapa JF siku nyingi sana kuelewa majibu ya watu wa namna hiyo.Wewe nilijua toka zamani sana kuwa ni mpuuzi..., , lakini naona matatizo yako yamezidi kadri unavyoendelea kuzeeka na kuchanganyikiwa kiakili.
Mahenge na Madawa, mara ubavu mmoja ukapasuka puuuhTumbo.
Magufuri kauwa wangapi waliokuwa wakimkosoa? maana wengi walikuwa wakimtukana na bado wapo,akina Masudi kipanya walikuwa wananchora kwenye magazeti,lakini bado wapo,acheni Mambo ya kwenye vijiweni zungunza hualisia,akuna rais ambaye hajawahi kuhuwa hapa Tanzania na hatakuwepo,hata Sasahivi kuna watu wanapotea na kufa.tatzo la marais wetu hawapendi kukosolewa ila magufuli alzd alikuwa yuko tyr kukuuwa kuliko kumwambia ukweli mwisho wa siku ujanja mwingi mbele gza yuko wap sasa hv japo hata ss tu nyuma
@Kichuguu unatetea nini ?Inawezekana na wewe ni mmoja wa wanaomanini kuwa sera ni yale matamko ya viongozi wanayofanya majukwaani na kwenye maandamano. Tamko la Mbowe kama Mbowe au kama mwenyekiti wa CHADEMA ni kitu kimoja na sera ya CHADEMA ni kitu kingine. Linaloongelewa hapa ni sera ya CHADEMA siyo matamko ya Mbowe.
sasa nyinyi ccm wenzake mnamsaidiaje ?Dr.Slaa bado haamini kama Mfadhili karejea kwa Mola wake
Usinifundishe upimbi kaa nao huko huko ccm.Yaani wapinzani wateswe,wauwawe halafu wakae kimya eti wanachostahili kukisema ni sera!kweli shetani yupo!Na wewe umeishiwa unaaza kuleta hadithi za kuhisi na wala hujui maana ya sera.
Sera ni ahadi ambayo mwanasiasa anawapa wapiga kura wake kuwa mkinichagua nitafanya mambo yapi. Sasa basi, leta mfano wa mwanasiasa aliyehutubia wananachi akitangaza hayo unayosema kama siyo maneno yako ya uchochoroni tu. Hisia za namna hii huenda ndizo zinafanya CHADEMA inakosa sera, kwani wanadhani kulaumu ndiyo sera; ni afadhali hata mzee Rungwe ana sera zinazjulikana.
Unaandika kwa hisia na matusi huku ukichanganya mambo yasiyohusika; mada iliyopo hapa ni hiyo post ya Dr Slaa inayozungumza sera za wapinzani safari hii. Mimi sikuianzisha! Inawezekana wewe umeikutia katikati na kujiunga bila kuelewa ni nini kinaongelewa.Usinifundishe upimbi kaa nao huko huko ccm.Yaani wapinzani wateswe,wauwawe halafu wakae kimya eti wanachostahili kukisema ni sera!kweli shetani yupo!
Swali lako zuri kama kweli unahitaji jibu langu; nitakujibu@Kichuguu unatetea nini ?
Kuwepo kwako hapa JF kwa muda mrefu hakujakusaidia chochote. Mabandiko yako ni yale yale ya kipuuzi tu siku zote! Rekodi hiyo nayo ni ya kujivunia?Wajinga wanapokosa la kujibu hutoa matusi; nimekuwapo hapa JF siku nyingi sana kuelewa majibu ya watu wa namna hiyo.
Hebu angalia, mtu mwenye akili timamu, kweli anaweza kutumia mfano wa kilichotokea 2020 kama mfano wa "uchaguzi", na kuujengea hoja?no mzuri sana ni uchaguzi wa 2020 ambao CHADEMA wanadai waliibiwa bila kutoa ushahidi wowote, kwani kuna utaratibu wa kimahakama kupinga wizi wa kura, lakini hakuna aliyewahi kutumia utaratibu huo
kwani chadema wapo si mlisema ishakufa ?Sasa hivi CHADEMA hawana sera tena baada ya punching bag wao magufuli kufariki.
Kabla ya magufuli sera za CHADEMA zilikuwa ni pamoja na kutoa elimu na huduma za afya bure, kuimarisha miundo mbinu ikiwa ni pamoja na ufufuaji wa relai na shirika la ndege.
Magufuli alipoyakamia hayo mambo kwa vitendo, CHADEMA wakamchukia kwa kuwanyangnaya sera, mara ya kwanza walisema "Magufuli anatekeleza ilani ya CHADEMA." Baadaye wakashindwa kuvumilia kumwona anatifua kwa haraka vile wakageuka na kudai kuwa miradi hiyo ni "maendeleo ya vitu. Hiyo midege yatatusaidia nini!" Kosa la Magufuli pale alipouzia mikutano ya siasa basi wakapata kete kubwa ambayo mpaka leo bado wanaikumbuka, ambayo mama sasa kaifuta.
Slaa anasema kuwa upinzania hawana sera tena, yuko sahihi.
Nadhani wewe ulisoma ile post kwa kuangalia neno la "Magufuli aliwapa wapinzani hoja" ikakukera kwa vile ulitegemea aseme kuwa "Magufuli aliwanyima wapinzani demokrasi."
Wapo waliosema hivyo, wengine tunajua ni kwama CHADEMA bado ipo ila haina nguvu kama zamani.kwani chadema wapo si mlisema ishakufa ?
Sawa; kama haukuwa ucahhguzi basi tusubiri uchaguzi halisi.Sasa hivi kuna Bunge na serikali iliyotokana na uchaguzi huo.Hebu angalia, mtu mwenye akili timamu, kweli anaweza kutumia mfano wa kilichotokea 2020 kama mfano wa "uchaguzi", na kuujengea hoja?