Anayejitambua miaka 30 - 50, njoo tuyajenge

Anayejitambua miaka 30 - 50, njoo tuyajenge

Nimefanikiwa kupata marafiki kadhaa JF over the years ila harakati za maisha zimehamisha marafiki wengi wa karibu.

Natafuta serious new friends, zaidi kwa ajili ya kubadilishana mawazo na pia kusafiri pamoja.

Muhimu:
  • Uwe na exposure
  • Uwe open minded
  • Uwe unajitegemea
  • Ukiwa umeoa / umeolewa na una familia ni poa zaidi
  • Usiwe na shida ndogo ndogo

Kuhusu mimi:
  • Mwanamke wa makamo (nimezaliwa mwishoni mwa miaka ya 80)
  • Mwajiriwa
  • Makazi (Arusha / Dar / Rome)
  • Napenda kusoma, kuandika, kusafiri, kula, kupika, kuogelea na high adrenaline activities.

Ukija, jitambulishe na niambie kuhusu wewe.

Feel free kuniuliza swali lolote except status yangu ya mahusiano maana haihusiani na urafiki.


Asante na Alamsiki!
Unaongelea urafiki lakini pesa mbele halafu hutaki kuulizwa kuhusu mahusiano. Means unataka marafiki wa kiume wenye hela, inshort unatafuta buzi ulichune. Hakuna open minded wala cha exposure.
 
Wewe ni mtu wa maana sana mwanakwetu, niletee malisafi hiyo ila izingatie vigezo tu!
Vijamaa ambavyo vipo arosto ambavyo vinaonja 2,3 vinafaa?😀(Msela anatest zali)
Life status yako ipoje,yani umeolewa,unaishi na mume au la!,childs you have!, what types of deep friendship do you wishes and so....!/ Mimi naishi Napoli.
 
Back
Top Bottom