Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 14,131
- 33,902
- Thread starter
- #181
Unahamia wapi? na nini kimekuchosha Bongo?Nimezaliwa miaka ya 66.. Ni Mtanzania ambae hivi karibuni nitahama nchi.. Nimechoka kuona sarakasi za nchi
Unahamia wapi? na nini kimekuchosha Bongo?Nimezaliwa miaka ya 66.. Ni Mtanzania ambae hivi karibuni nitahama nchi.. Nimechoka kuona sarakasi za nchi
Si useme moja kwa moja kutombana 😂
- Napenda kusoma, kuandika, kusafiri, kula, kupika, kuogelea na high adrenaline activities.
Sasa mtu mzima mwenzangu, nini hujaelewa hapa 😂 😂 😂Late 80s ndio 87, 88, 89 wakuu?1🤣
Jamani nataka platonic friends.Si useme moja kwa moja kutombana 😂
Unalijua hug la mabestie wewe? mkono huwa haufiki takoni 😅 😎Sambona hasira 😄
Ananiuliza maswali ya kijinga 🙄Sambona hasira 😄
Hadi shetani anakucheka pembeni🤣🤣Jamani nataka platonic friends.
Mambo ya kulombana nimepumzika sasa hivi niko kwenye celibacy, nakapumzisha haka kanyau kidogo 😂😅😎
Umekidhi vigezo? niambie kidogo kuhusu wewe 😊Binti wa zamani Karibu am in.
Daaah 😂 hadi wewe!Hadi shetani anakucheka pembeni🤣🤣
Celibacy ya konyoo 😁😁
Baba antipas, wewe huhitaji vigezo buana, umeshakamilika 😅Nimezaliwa miaka ya 90 hapo kwenye shida ndogo ndogo ndio kipengere
mhiiNimefanikiwa kupata marafiki kadhaa JF over the years ila harakati za maisha zimehamisha marafiki wengi wa karibu.
Natafuta serious new friends, zaidi kwa ajili ya kubadilishana mawazo na pia kusafiri pamoja.
Muhimu:
- Uwe na exposure
- Uwe open minded
- Uwe unajitegemea
- Ukiwa umeoa / umeolewa na una familia ni poa zaidi
- Usiwe na shida ndogo ndogo
Kuhusu mimi:
- Mwanamke wa makamo (nimezaliwa mwishoni mwa miaka ya 80)
- Mwajiriwa
- Makazi (Arusha / Dar / Rome)
- Napenda kusoma, kuandika, kusafiri, kula, kupika, kuogelea, hiking or long walks, na high adrenaline activities.
Ukija, jitambulishe na niambie kuhusu wewe.
Feel free kuniuliza swali lolote except status yangu ya mahusiano maana haihusiani na urafiki.
Asante na Alamsiki!
Yay 😂, that saved us both some time.Hapana mi sikutaki
Ndicho nilichoandika kwenye uzi wangu au umejitengenezea script yako mwenyewe kichwani?Kwahiyo unatafuta mtu wa kumuomba hela?
Huu mteego aliwekewa Nasoro Katuga na akanasa, ngoja tuone wanaoenda kunasa huko PM mimi nimeshtuka mapema sanaUkija, jitambulishe na niambie kuhusu wewe.
kauli ya rais ni agizo siyo ombi tena, muda tu napendekeza kama itakupendeza rais wangu tuanze mwezi wa 11. mwezi wa 12 mambo yanakuwa mengi kidogo. i humbly submit 🙏🙏🙏Kaka mna onaje familia ya ma jobless pro max, tupange trip 2-3 kuanzia mwezi wa 11 au 12
Niliona yakishushwa huko, nikashukuru kwa kutothubutu kuunganisha vikojoleo na wanaume wa humu.🤣🤣🤣
MAPDF kitu gani? Unaangalia unayefanya naye midinyano ana akili ya kiume au ya kitoto? Nitaomba mwezi October nikutafute popote ulipo