Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 14,131
- 33,902
Nimeupenda, asante sana šUmejibu vyema. tafuta huu wimbo na uuskilIZe
āWHERE IāM COMING FROMā BY LILA IKĆ
kama zawadi yangu kwako.
Sawa tunza kumbukumbu na mimi nitatunza pia.Shukraan madam. Natunza kumbukumb ili siku nikija hii ndo iwe passport yangu ya kupokea hiyo nafasi moja ya upendeleoš
Haya, uwe unasema tu vitu directly.Hakika wewe ni binti mkubwa na mwenye uelewa mpaka nashukuru kwa hilo.
Najua huko katu sitafika š šDah mungu akujalie usifike ile ya kigezo cha ilimradi awe ana pumua.
Fullstop, kwishaaaaa
Usijali, PM yangu imefungwa, hawana pa kwenda.Nyie nendeni pm kesho tuanze kuwatafuta kwamba mmepotea.
Huko PM sasa ndiyo kipengele š šUsiwape faida wakuda humu hilo hilo moja latosha labda ni pm nikupe picha
Mungu akusimamie, nmeshuhudia wanawake wengi waki corrupt mwishoni sababu ya kuwawekea vigezo vingi wanaumeNajua huko katu sitafika š š
Amina šš½Mungu akusimamie, nmeshuhudia wanawake wengi waki corrupt mwishoni sababu ya kuwawekea vigezo vingi wanaume
Fullstop, kwishaaaa
Nmekuelewa unatafuta rafiki kwa unavo dai, kwa bahati mbaya urafiki wa ke na me hua niwa kuanzia utotoni hadi mnakua kuna umri ukifika huwez pata rafiki wa jinsia tofauti tena labda usiwe na mvuto, au umezeeka, vinginevo lazima mchapane tu. Unger tafuta kaka hapo poa, si rafiki umri huo 30s au 40s mtatongozana mwisho wa picha urafiki hauna mkataba huwa ni automatic mnajikuta washkaj tu si kwa mfumo huo na vigezo hivo. mwisho muombe mungu akusimamie.Amina šš½
Binafsi natafuta rafiki tu na wala si mpenzi wala mume!
Humu JF pia kuna wanawake, si lazima hao marafiki wawe wanaume tu.Nmekuelewa unatafuta rafiki kwa unavo dai, kwa bahati mbaya urafiki wa ke na me hua niwa kuanzia utotoni hadi mnakua kuna umri ukifika huwez pata rafiki wa jinsia tofauti tena labda usiwe na mvuto, au umezeeka, vinginevo lazima mchapane tu. Unger tafuta kaka hapo poa, si rafiki umri huo 30s au 40s mtatongozana mwisho wa picha urafiki hauna mkataba huwa ni automatic mnajikuta washkaj tu si kwa mfumo huo na vigezo hivo. mwisho muombe mungu akusimamie.
Fullstop,kwishaaaaa
Picha yangu tu šHuko PM sasa ndiyo kipengele š š
Ngoja nijichanganye sasa š¤£š¤£š¤£Picha yangu tu š
Wala sina mambo mengi nalinda sana badge yangu aisee š¤£
Sorry ni PDF madam,Nimependa, tuma hiyo PFD niisome
Ni kweli humu kuna wanawake ndio ila hiyo ni stage tu ndo inaanzaga hivo, kesho utadai wanawake hampendani nataka me kesho utakuja tena nataka mume tajiri utakuja sasa stage ya mwisho nataka yoyote kikubwa pumziHumu JF pia kuna wanawake, si lazima hao marafiki wawe wanaume tu.
Lakini nimeshakua na rafiki wa kawaida wa kiume ambaye hatujawahi kuvunjiana heshima, japo nakuelewa unachosema!
Daah hizo generalization zako ni hatari sana.Ni kweli humu kuna wanawake ndio ila hiyo ni stage tu ndo inaanzaga hivo, kesho utadai wanawake hampendani nataka me kesho utakuja tena nataka mume tajiri utakuja sasa stage ya mwisho nataka yoyote kikubwa pumzi
Fullstop,kwishaaa
Mungu akutangulie madam, hakukuwa na Haja ya kusema umeajiriwa mara sijui nini watu watafata masilahi na si upendo wa urafiki unaotaka umri bado sana usijizeeshe kataa uzee usikubali kuitwa mzee dunia imebadilika uzee si fasheni Bali kuziba fursa maana upo lika la Wakina diamond. Ikawe kheri kwako. ukijja zenji nistueDaah hizo generalizationko ni hatari sana.
Anyway, tuombeane heri tu na mambo yaende yakifanikiwa na si kufeli.
Nimekuelewa vyema!Mungu akutangulie madam, hakukuwa na Haja ya kusema umeajiriwa mara sijui nini watu watafata masilahi na si upendo wa urafiki unaotaka umri bado sana usijizeeshe kataa uzee usikubali kuitwa mzee dunia imebadilika uzee si fasheni Bali kuziba fursa maana upo lika la Wakina diamond. Ikawe kheri kwako. ukijja zenji nistue
Fullstop, kwishaaaaa
Fine