Anayejitambua miaka 30 - 50, njoo tuyajenge

Anayejitambua miaka 30 - 50, njoo tuyajenge

Ni amri, tangazo, interview ama ni nini?Ukimpata mwenye hivyo vyote offer yako ni nini, maana naona kuna nafasi ya kazi kabisa hapo...
Request ya kuconnect kwa ajili ya urafiki.
Ni kweli umesoma hujaelewa?

Kuhusu mimi pia nimejielezea, wewe kama unatafuta a new friend basi jitambulishe.
Kama hutafuti, basi huu uzi achana nao mkuu!
 
Nimefanikiwa kupata marafiki kadhaa JF over the years ila harakati za maisha zimehamisha marafiki wengi wa karibu.

Natafuta serious new friends, zaidi kwa ajili ya kubadilishana mawazo na pia kusafiri pamoja.

Muhimu:
  • Uwe na exposure
  • Uwe open minded
  • Uwe unajitegemea
  • Ukiwa umeoa / umeolewa na una familia ni poa zaidi
  • Usiwe na shida ndogo ndogo

Kuhusu mimi:
  • Mwanamke wa makamo (nimezaliwa mwishoni mwa miaka ya 80)
  • Mwajiriwa
  • Makazi (Arusha / Dar / Rome)
  • Napenda kusoma, kuandika, kusafiri, kula, kupika, kuogelea, hiking or long walks, na high adrenaline activities.

  1. Ukija, jitambulishe na niambie kuhusu wewe.
  2. Wenye umri wa zaidi ya miaka 50, mnakaribishwa pia (umri unaweza kuwa negotiable kama umekidhi vigezo vingine)

Feel free kuniuliza swali lolote except status yangu ya mahusiano maana haihusiani na urafiki.

Asante na Alamsiki!
Muumbe wa kwako😂
 
Dah

Count me in ✍️
(Hayo ndio mawazo yaliyopenya kichwani mithili ya mshale baada ya kusoma hii comment)

Ila hapo kwenye qualifications Kuna mbili tatu kubwa Sina... ikiwa hii project ni really naamini itakuwa endelevu kama ulivyoitolea maelezo ya awali,
Hivyo ndugu mwenyekiti nakuomba uniachie nafasi moja wazi mpaka January mwakani ili nipiganie hapo kwenye economic freedom angarau at minimum level Ile ya kijana wa kitanzania.

Ziada: Mpenda maendeleo......
Adui wa shida ndogo ndogo...
Watu wapya njia mpya....
Nitakuwa mshirika mzuri kwenye community yako!!

Haya nikiwa tayari nitakutafuta, au kama Kuna nafasi ya upendeleo kupindisha kidogo hivyo vigezo na taratibu hapo juu, nitashukuru!!

(Sending request........
Request imepokelewa kwa dhati.
Nafasi moja ya upendeleo nimekuachia, pambana utimize malengo yako 🙌
 
Nimefanikiwa kupata marafiki kadhaa JF over the years ila harakati za maisha zimehamisha marafiki wengi wa karibu.

Natafuta serious new friends, zaidi kwa ajili ya kubadilishana mawazo na pia kusafiri pamoja.

Muhimu:
  • Uwe na exposure
  • Uwe open minded
  • Uwe unajitegemea
  • Ukiwa umeoa / umeolewa na una familia ni poa zaidi
  • Usiwe na shida ndogo ndogo

Kuhusu mimi:
  • Mwanamke wa makamo (nimezaliwa mwishoni mwa miaka ya 80)
  • Mwajiriwa
  • Makazi (Arusha / Dar / Rome)
  • Napenda kusoma, kuandika, kusafiri, kula, kupika, kuogelea, hiking or long walks, na high adrenaline activities.

  1. Ukija, jitambulishe na niambie kuhusu wewe.
  2. Wenye umri wa zaidi ya miaka 50, mnakaribishwa pia (umri unaweza kuwa negotiable kama umekidhi vigezo vingine)

Feel free kuniuliza swali lolote except status yangu ya mahusiano maana haihusiani na urafiki.

Asante na Alamsiki!
Sorry, kwa nn unajiuza kwa kificho wakati wenzio wanajiuza waziwazi WhatsApp, telegram na dating sites?
 
Karibu,just to exhange ideas,nipo na 46 pia watoto , napenda kutembea na kusoma vitabu hasa Biblia,no pombe ,no sigara, 0758 308494
 
Back
Top Bottom