Anayejitambua miaka 30 - 50, njoo tuyajenge

Anayejitambua miaka 30 - 50, njoo tuyajenge

Nimefanikiwa kupata marafiki kadhaa JF over the years ila harakati za maisha zimehamisha marafiki wengi wa karibu.

Natafuta serious new friends, zaidi kwa ajili ya kubadilishana mawazo na pia kusafiri pamoja.

Muhimu:
  • Uwe na exposure
  • Uwe open minded
  • Uwe unajitegemea
  • Ukiwa umeoa / umeolewa na una familia ni poa zaidi
  • Usiwe na shida ndogo ndogo

Kuhusu mimi:
  • Mwanamke wa makamo (nimezaliwa mwishoni mwa miaka ya 80)
  • Mwajiriwa
  • Makazi (Arusha / Dar / Rome)
  • Napenda kusoma, kuandika, kusafiri, kula, kupika, kuogelea, hiking or long walks, na high adrenaline activities.

Ukija, jitambulishe na niambie kuhusu wewe.

Feel free kuniuliza swali lolote except status yangu ya mahusiano maana haihusiani na urafiki.


Asante na Alamsiki!
interest( and experience) in business? Ukiachana na urafiki,vipi malengo ya maendeleo ya pamoja? Business and investment partnership in particular?
 
Swali la msingi kabisa umekataa lisiulizwe, status yako ya mahusiano kujulikana ni muhimu. Otherwise toa hiko kipengele umeoa/umeolewa kwenye taarifa
 
Dah yaani humu ndani unaweza Kuta mtu ana kitu Cha maana akatoka mtupu... Lakini sio Kila kitu ni Kwa ajili ya Kila mtu nimtie moyo mtoa mada katika wengi watakao kuja kuna wachache watakua sahihi katika chaguo lako
Asante sana mkuu, I appreciate this 🙏
 
Kwanini miaka 50 ndo mwisho. Sogeza sogeza mpaka 65/70 ndo kuna uhitaji mkubwa wa company. Halafu tuambie tu kuhusu status yako ili tuheshimu mipaka unapokuwa faragha, otherwise usishangae saa nane usiku unatumiwa tiketi kuwa msafiri na upo na mumeo/mpenzi.
 
Poa tu, muhimu huko, MIDINYANO iwe ruksa
😂🤣
Nitazingatia 😅

Laughter Laughing GIF by FX Networks.gif
 
Nimefanikiwa kupata marafiki kadhaa JF over the years ila harakati za maisha zimehamisha marafiki wengi wa karibu.

Natafuta serious new friends, zaidi kwa ajili ya kubadilishana mawazo na pia kusafiri pamoja.

Muhimu:
  • Uwe na exposure
  • Uwe open minded
  • Uwe unajitegemea
  • Ukiwa umeoa / umeolewa na una familia ni poa zaidi
  • Usiwe na shida ndogo ndogo

Kuhusu mimi:
  • Mwanamke wa makamo (nimezaliwa mwishoni mwa miaka ya 80)
  • Mwajiriwa
  • Makazi (Arusha / Dar / Rome)
  • Napenda kusoma, kuandika, kusafiri, kula, kupika, kuogelea, hiking or long walks, na high adrenaline activities.

Ukija, jitambulishe na niambie kuhusu wewe.

Feel free kuniuliza swali lolote except status yangu ya mahusiano maana haihusiani na urafiki.


Asante na Alamsiki!
Oya mshangazi! Avatar yako inaakisi muonekano wako?
 
Nimefanikiwa kupata marafiki kadhaa JF over the years ila harakati za maisha zimehamisha marafiki wengi wa karibu.

Natafuta serious new friends, zaidi kwa ajili ya kubadilishana mawazo na pia kusafiri pamoja.

Muhimu:
  • Uwe na exposure
  • Uwe open minded
  • Uwe unajitegemea
  • Ukiwa umeoa / umeolewa na una familia ni poa zaidi
  • Usiwe na shida ndogo ndogo

Kuhusu mimi:
  • Mwanamke wa makamo (nimezaliwa mwishoni mwa miaka ya 80)
  • Mwajiriwa
  • Makazi (Arusha / Dar / Rome)
  • Napenda kusoma, kuandika, kusafiri, kula, kupika, kuogelea, hiking or long walks, na high adrenaline activities.

Ukija, jitambulishe na niambie kuhusu wewe.

Feel free kuniuliza swali lolote except status yangu ya mahusiano maana haihusiani na urafiki.


Asante na Alamsiki!
Oya mshangazi! Niko vacation nje kidogo ya mji wa Arusha, unaweza kujoin tuchili?
 
interest( and experience) in business? Ukiachana na urafiki,vipi malengo ya maendeleo ya pamoja? Business and investment partnership in particular?
Swali zuri, malengo ya pamoja na ushirikiano vinawezekana.
Muhimu ni kutengeneza foundation nzuri ya urafiki yenye uaminifu na maelewano.
Pia, kuwa na mawazo yanayoendana kibiashara na kiuwekezaji.

Happy to find a friend ambaye tunaweza kushare mambo haya ya kimaendeleo.
 
Swali zuri, malengo ya pamoja na ushirikiano vinawezekana.
Muhimu ni kutengeneza foundation nzuri ya urafiki yenye uaminifu na maelewano.
Pia, kuwa na mawazo yanayoendana kibiashara na kiuwekezaji.

Happy to find a friend ambaye tunaweza kushare mambo haya ya kimaendeleo.
Kama ni wa kiume mtaishia kuchapana tu, hakuna urafiki wa me na ke!!
 
Back
Top Bottom