Anaweza kuondolewa Madarakani, Iwapo...

Anaweza kuondolewa Madarakani, Iwapo...

Alaf pia alivyokuwa Katibu mkuu wa CCM kwa mwaka mmoja. Alishaweka mizizi yake kule kwenye mashina.

Kwahiyo nina amini anaCCM weng tu wako loyal kwake.
Uzuri wa Nchimbi ni kuwa yuko calm sana na haonyeshi kuwa na hasira wala papara. Pia kila anachozungumza anaonyesha kujiamini. Akitupa kijembe, basi ni kijembe cha kisomi kile kinachokubalika na watu wenye akili. Siyo hii mipasho ya kiswahili.
 
Makamu wa Rais lazima awe mwanchama wa chama cha siasa. Ndiyo maana CCM ilibadili katiba yake ili Rais awe pia Mwenyekiti wa Chama. Kwani ukitaka kumuondoa Rais, unamfukuza uanachama. This is simple

Kugombea Makamu wa Raisi ni lazima uwe Mwanachama wa chama cha siasa.

Ukishaupata . Alaf ukawa sio mwanachama. Haikomi ww kuwa makamu wa Raisi.

Kumbuka kachaguliwa na Wananchi.
Yaan walimpa kura ya Ndio.

Sasa ukichagua Makamu wa Raisi mwingne ambaye hajachaguliwa na wananchi unaenda kinyume na katiba.
 
Kugombea Makamu wa Raisi ni lazima uwe Mwanachama wa chama cha siasa.

Ukishaupata . Alaf ukawa sio mwanachama. Haikomi ww kuwa makamu wa Raisi.

Kumbuka kachaguliwa na Wananchi.
Yaan walimpa kura ya Ndio.

Sasa ukichagua Makamu wa Raisi mwingne ambaye hajachaguliwa na wananchi unaenda kinyume na katiba.
Tuwaachie mabingwa wa katiba watusaidie, ila ninachojua; wakitaka kukuondoa wanakunyang'anya kadi
 
Kama yuko kinyume siku nyingi ilikuwaje wahuni wakamteua aliyenyooka kuwa mwenza?
Hiki ni kitendawili ambacho kama mtu akiweza kukitegua, basi atajua siri ya kila kitu kinachoendelea sasa hivi kuhusu kauli za Nchimbi. Polepole kabla hajauawa alisema Samia alitaka kubadlisha mgombea wa umakamu lakini hakutoa sababu ni nini na ni kwa nini alighairi kubadilisha.
 
Kama yuko kinyume siku nyingi ilikuwaje wahuni wakamteua aliyenyooka kuwa mwenza?
Nchimbi ni Ile CCM mtandao.
(Ile ya kina Lowassa, Membe, Karamagi, Jk)
Magufuli alijitahidi kuivunja vunja .
Na ndio maana Kipind kile Nchimbi alitupwa kwenda kuwa balozi Brazil.
2016-2021.

Alivyofariki Magufuli tu. Nchimbi akarud.

Pia kipind cha Magu , Nchimbi alipewa adhabu ya kutogombania uongozi ndani ya CCM kwa miaka 4.
Hii ilikuwa 2017.
Means aotomatically hata hakuweza kuchukua Fomu kugombania Ubunge 2020.
 
Hiki ni kitendawili ambacho kama mtu akiweza kukitegua, basi atajua siri ya kila kitu kinachoendelea sasa hivi kuhusu kauli za Nchimbi. Polepole kabla hajauawa alisema Samia alitaka kubadlisha mgombea wa umakamu lakini hakutoa sababu ni nini na ni kwa nini alighairi kubadilisha.
Yes Nakumbuka hii Polepole alisema Samia alitaka kubadilisha mgombea mwenza.
 
Kuna Ugumu ndio Maana anajiamini atakaa hadi 2030.

Ingawa Inawezekana akaondolewa madarakani.

Iwapo amefanya vitendo vinavyovunja Katiba au Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma.

Pale anaposhindwa au kuacha kutekeleza kazi na majukumu ya kiti chake.

Kama amepatikana na hatia ya kosa la jinai linaloonyesha utovu wa uaminifu.

Njia pekee ni kuanzisha Mchakato Bungeni

Raisi mwenyewe anaweza kuwasilisha Bungeni hati ya kuliomba Bunge lipitishe azimio la kumwondoa kwa madai ya kushindwa au kuacha kutekeleza kazi zake.

Au Mbunge yeyote anaweza kuwasilisha hoja binafsi Bungeni ya kutaka kumwondoa madarakani kwa misingi ya kuvunja katiba au kukiuka maadili ya umma, na endapo taratibu na idadi maalum ya kura za wabunge zitafikiwa kwa mujibu wa sheria.

Au Yeye mwenyewe aandike barua ya kujiuzulu .

Ila Kumvua uanachama hakumwondoi moja kwa moja madarakani, kwani Katiba haina kifungu kinachomfuta kazi. kiongozi huyo papo hapo kwa kupoteza kadi ya chama chake.

au pengine Labda Itumike njia nyingne ya kumuondoa.
sijasema Kumuwekea Sumu.

Na hili halihusiani na Makamu wa Raisi.

Nimewaza tu.
Kuna mapambano mkali kati ya majambazi yanayoushikilia mateka uchumi wa nchi na kikundi cha wazalendo wanaotaka kuikomboa nchi. Katika mpambano huu lazima pawepo na watakaopoteza maisha na majeruhi
 
Back
Top Bottom