- Thread starter
- #61
Amina Mungu ni mwema,ameniwezesha na atafanya zaidi ya hapa.Na unaanzaje kushindwa kumlea?pambana tu na utafanikiwa
Amina Mungu ni mwema,ameniwezesha na atafanya zaidi ya hapa.Na unaanzaje kushindwa kumlea?pambana tu na utafanikiwa
That's why alipokataa kuonyesha ushirikiano katika kutoa matumizi,nikaamua kujikalia kimya,nikifanya kazi kwa juhudi na kumlea mwanangu.Kuna sababu nyingi nyuma ya pazia you never know, tatizo lenu akina mama wagumu kuelewa mnataka kila mnachokitaka kifanyike kwa wakati huo, mtu akikuambia kafulia ujue kafulia kweli.
Sijaelewa hata ulichoandika. Hakuwa na hela kivipi? Kwani mama mtoto alipata wapi hela ya kumlea mtoto mpk amefika hapo?Tatizo lenu jambo dogo tu mnalikuuuuza, kwahyo ikitokea baba leo hana hela ya matumizi hata kesho hutamuomba?
Kipindi hicho hakua na kitu lakini sasa Kapata mwacheni atumie na mwanae
No ur wrong,we done and we good.tatizo wengi mlitegemea nionyeshe kumchukia na bifu,for what?mie nina bifu na maisha,mwanangu,ale vizuri,alale pazuri na aje apate elimu bora.Bibie naona bado unampenda jamaa ndo maana anahangaisha serikali ya kichwa chao,una mahusiano na mtu mwingine kisha unabembelezana na baby dady wako eti uumpe mtoto atakupa mwingine na unakuja kuomba ushauri humu aiseeeee pole kwa mwanaume wako wa sasa
Mara malezi yakikushinda utampa ooh asubiri ifike miaka saba aje amchukue be serious mtoto sio jojo kusema ikiisha utamu utaitupa. Hakukuoa kiasi cha kuwa na haki zote za kujichukulia mtoto.
Kwahiyo wakati we umefulia mi ndo nakua cjafulia au?...kwa unavyoonekana tu ww ni baba unaetelekezaga watotoKuna sababu nyingi nyuma ya pazia you never know, tatizo lenu akina mama wagumu kuelewa mnataka kila mnachokitaka kifanyike kwa wakati huo, mtu akikuambia kafulia ujue kafulia kweli.
Sijashindwa mlea isitoshe bado mdogo,kama ni watoto si atafute wengine huko aliko ale nao hizo good times.Tatizo lenu jambo dogo tu mnalikuuuuza, kwahyo ikitokea baba leo hana hela ya matumizi hata kesho hutamuomba?
Kipindi hicho hakua na kitu lakini sasa Kapata mwacheni atumie na mwanae
Atakua mwanao cku ambayo pia mm mamaake nilikufa....mnasubirigi Watoto wawe wakubwa na maisha mazuri aliyoyatengeneza mama ake halafu muanze kuomba misaadaHata umwambie nimekufa nimeoza bado atabaki kuwa mwanangu, utanitenganisha nae tu lakini uhalisia utabaki kuwa ni damu yangu
Nilivyoelewa si kwamba amemzuia baba mtoto asimuone mwanae ila hataki mtoto wake achukuliwe kwake akiwa bado mdogo na wkt alimtelekeza.Kaa uelewane na mwenzio. Pia elewa unaweza mzuia sasa huyo mtoto baadae akamfuata baba yake. Kila mtoto anapenda kumuona baba na mama yake.Usimkatalie jamaa ila mueleze nini atekeleze ili machungu ya kumlea mtoto peke yako yapungue.
Sijaelewa hata ulichoandika. Hakuwa na hela kivipi? Kwani mama mtoto alipata wapi hela ya kumlea mtoto mpk amefika hapo?
.
.
Kama huna hela ya kulea usifanye ngono zembe. Umetia mtu mimba wajibika kwa makosa yako. Matangazo ya condom huwa hamyaoni au? Acha kutetea ujinga basi, wangapi hawana maisha mazuri lkn wanalea watoto wao kishidashida? Mwanaume wajibika kwa makosa yako!
Nilishamwambia mtoto si wake,akasema hata hakimu mwenyewe atanishangaa jinsi walivyofanana.Kama hakutoa mahari na hakuoa mwanasheria hatasaidia.
.
.
Bidada shikilia msimamo wako. Tena mwambie mtoto si wake, na kama ulimpa mtoto jina la baba yake badilisha mpe jina lako. Wajinga sana hawa vidume sometimes.
Hata wewe unaweza ukawa mwanangu nilimtelekezea mwingine, muulize vizuri mama akoKwahiyo wakati we umefulia mi ndo nakua cjafulia au?...kwa unavyoonekana tu ww ni baba unaetelekezaga watoto
Kwahiyo mtoto wa miaka mitatu ana maisha mazuri? LOOOOOOOOOLAtakua mwanao cku ambayo pia mm mamaake nilikufa....mnasubirigi Watoto wawe wakubwa na maisha mazuri aliyoyatengeneza mama ake halafu muanze kuomba misaada
Yaani hela ya matumizi ya mwanao mpaka nikuombe,we hujui kwamba mtoto huhitaji matunzo...Tatizo lenu jambo dogo tu mnalikuuuuza, kwahyo ikitokea baba leo hana hela ya matumizi hata kesho hutamuomba?
Kipindi hicho hakua na kitu lakini sasa Kapata mwacheni atumie na mwanae
NDIOUmelazimishwa kujibu kitu usichokielewa?
Kwa mwaka anakuja kama mara moja na hamlei chochote wala hatoi hata senti,Mungu ni shahidi.mwanzo nilikuwa namwambia kuhusu matumizi akasema atatoa,ila hatoi,so nikaacha kumwomba.kwani anaahidi tu ila hatoi hata senti.alishauri tumfungulie mtoto akaunti atakuwa anamwekea kiasi fulani kila mwezi,ni mwaka wa pili sasa mimi ndo namsevia mwanangu visenti nikipata.hajawahi weka hata mia kwenye hio akaunti.Huyu nae Maelezo yake hayajitoshelezi, kasema jamaa hatoi Hata kumi mara huwa anakuja kumona mwanae simkataliagi,, anakujaje kumona mtoto nakuondoka asitoe hata mia???
Hakimu mwenyewe atamshangaa kwa jinsi alivyomtelekeza mtoto wake miaka yote hiyo. Akienda mahakamani hatashinda zaidi ya kupata aibu. Kama hukuolewa nae just relax..mtoto ni wako na uamuzi unao wewe mwenyewe asikutishe. Lea mtoto wako...babake aje kumuona.Nilishamwambia mtoto si wake,akasema hata hakimu mwenyewe atanishangaa jinsi walivyofanana.
Kujipendekeza pendekeza huko ndio mnadungwa mimba mnakuja kulia lia hapa jfNDIO