Anataka kumuacha kisa ufupi

hivi warefu hawana mapenzi??
huwezi pata wanaume mfululizo wenye mapenzi ya kweli hlf nachojua mimi wanawake selective uwaga wengi wanaangukia pabaya mnk wengi wao niwale wakujitongozesha ukicompare na wanawake ambao wao wapo cool improving their qualities....mwanaume achaguliwi mwanaume anachagua sasa cuzo wako ndo nhs ndo wale wakuchagua ***** subiri uone wanaume walivyo nyoko
 
Ooooh...huyo demu aangalie Sana lakini, awe makini sana, kuna jamaa yangu hapa aliniambia kuwa huyu demu anayetaka kumuoa, aliwahi kumtamkia kuwa hamtaki kwa sababu ya ufupi wake na wakaachana, demu alidai kuwa amepata handsome boy na ni mrefu.....

Ndugu zangu, kilichompata huyu demu na huyu mshkaji sielewi, ila hadi sasa huyo demu ana mimba ya huyu mfupi,,,yaan ni hatari sana.
Huyu mfupi atakuwa ni mwanga!!!
 
Kwanza kupata mwanaume Mfupi halafu mpole ni bahati kubwa sana, labda huyo mdogo wako ana jengine, ufupi sio sabab ya msingi au niulize mdogo wako ana umri gani?
Yaan akiwa mfupi halafu mpole ni bahati?! You mean ni watata sana?! Pengine kweli maana nikimtizama yule wa pale magogoni alivomtata...nchi zima mwanamme kabakia yy tu...!
 
Nilikuwa na kademu kamoja Ni Kafupi ila kipindi tunaanza alikuwa model na nilikapenda sana but soon kakaanza kunenepa kamekuwa kama jaba nimekosa kabisa hamu nako...binafsi sipend mademu wanene...so its just the matter of choice
Jamaa umenichekesha....sasa mtu anaweza kuwa kama jaba kweli?! Yaan kawa wa mviringo?
 
Nina huyu cuzo wangu ana bwana, the guy ana kazi nzuri tu, kapole, he is a gentleman, anampenda sana my cuzo like sana yani and all that (kwa mimi navyomuona).

The problem ni kwamba cuzo wangu anataka kuachana nae kisa the guy ni mfupi kuliko yeye.

Back then walikua wanapenda sana tu, my cuzo alikuwa haishi kumuongelea huyo bwana. Hapo the guy alikua mkoa mwingine kikazi.

I started noticing changes the guy alipokuja Dar es Salaam, first time cuzo akaomba twende wote, basi tukameet tuka have fun hivo.

Second time tena tumeenda kwa the guy anapoishi kumuona alikua anaumwa.

Sasa tumerud home my cuzo ananiambia eti anataka abreak up nae kumuuliza why, anasema amejipimisha nae the guy ni mfupi kuliko yeye na familia yao nzima ndo wako hivo so hajisikii poa kumpita mwanaume urefu.

Mimi nikamwambia kama you love the guy kimo si chochote unless otherwise una mengine, akasema hana kingine zaidi ya ufupi and she feels uncomfortable kua nae kwasababu hiyo.

I pity the guy coz yani ni kapole, kahandsome tu sema ndo hivyo kafupi kidogo plus tumeshakula hela zake kibao mpaka i feel guilty.

Basi the guy huwa ananiuliza kama my cuzo truly loves him, kama pia humuongelea nikiwa nae basi mmi naishia kumpa moyo tu.

Nauliza jamani is this right?

Wasichana mliowapita wanaume zenu urefu kwani mnapata shida yoyote?

Wanaume mliopitwa urefu na wachumba zenu imekaaje hii?
Punguza uhun wa lugha auelewek kama akili zenu mnapokuwa kitandan mala nishike uku mala nishike kule ongea ngel basi au kiswaz bas MWAMBIE SHOST WAKO ATUMIE TANGO muache kutusumbu.
 
Punguza uhun wa lugha auelewek kama akili zenu mnapokuwa kitandan mala nishike uku mala nishike kule ongea ngel basi au kiswaz bas MWAMBIE SHOST WAKO ATUMIE TANGO muache kutusumbu.
"uhun" ndo nini???
"auelewek" hii lugha ya wapi???
"mala" ndo nini???

nyani haoni kundu lake,kama kuna neno la kiingereza hukulielewa uliza,hilo povu fulia boxer

jisome tena ulichoandika...
 
Jamani kwani sisi warefu na wapole unatuchukuliaje?
warefu wengi ni wapole ndo wazuri, wafupi wabishi, wana maneno, wakorofi wanajiona wao ndio wao nadhani ule ufupi unawafanya kukosa kujiamini, wanahisi hawaonekani kwahiyo wanadhani wakiongea Sanaa ndo wanaonekana,
 
Huyo cuzo wako aseme tu anamwacha sababu jamaa kaanza kutambaa na bit ya mjomba magu,sasa amepata mwingine ambaye bado yuko kama mzee wa bure. Haiwezekani aanze naye mapenzi akiwa hivyo then leo aseme ni mfupi. Au ni wewe mwenyewe nini? Mwambie amwache mapema akatafute mrefu mwenzake ili jamaa apate mwenye mapenzi ya kweli ambaye haangalii fedha,kimo ila mapenzi ya kweli
 
Na mwanamke mfupi?


Acheni ujinga huo. Ukorofi,ubishi na mengineyo yategemea na mtu alivyo.
warefu wengi ni wapole ndo wazuri, wafupi wabishi, wana maneno, wakorofi wanajiona wao ndio wao nadhani ule ufupi unawafanya kukosa kujiamini, wanahisi hawaonekani kwahiyo wanadhani wakiongea Sanaa ndo wanaonekana,
 
Na mwanamke mfupi?


Acheni ujinga huo. Ukorofi,ubishi na mengineyo yategemea na mtu alivyo.
Sasa wewe ni mfano wao? si unaona umeanza na tusi kwanza, ingekuwa ni mtu mrefu angeomba tu kufafanuliwa. wengi ya wafupi wako hivyo. Wanapenda kuongea, wakorofi, wanajidai wanajua sana, n.k., kama wapo wapole wachache.
 
Licha ya upendo wa dhati wamejaliwa kimaumbile kunakoo kulee... Mtu uchague kipi important kwako,kufurahishwa ndani ama kuonekana couple nzuri nje...hupati complete package
Nyinyi watu mbona hamuleweki?!! Mara mseme mnapenda warefu kwasababu ni warefu na kule....sasa leo tena unasema wafupi nao wamejaaliwa kule!!
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom