mr marvelous
Member
- Oct 28, 2016
- 43
- 19
Total nonsense u can't criticize God's creation unless ur smoking strong weed
Khaaaaaaaaaaaa.....ana sababu nyingne coz huo ufupi cdhan ndo kauonanow..tangu anamtokea na unasema kala pesa zake nyingi...so all those times hawakuwai even ku-hug anaona namzid mrefu....the guy alikua mkoa na alivokuja dzm wamemeet mara mbili tu ya pili ndo kagundua ufupi,mara ya kwanza haku notice mana hatukukaa nae sana
papuchiii imepakuliwa mkuumwambie aje kwangu ani PM mi nimrefu kidogo sio mbilikimo, ila mimi bahili, napenda tukatambulishane kwa wazazi next week. nipe namba ya simu PM, niandae mahari kidogo, pia mimi nina tatizo hata huo ufupi ni afadhali, mi Nina kitambi kikubwa and am 31
itakuwa ni wewe, kwanini usi seme ukweli mkuuhahaha hapo kwenye ubahili nahisi mtashindwana...ila ntamfikishia ujumbe
Muda mwingine unaweza ukawa umeamua kuusoma kwanza upepo mkuu. Ila it's high time sasa funguka tu kama ni wewe mkuu.ningekua mimi ningesema mkuu...kwani cha ajabu nn??
Tupia na kapicha mkuuMaskini huyo kaka nipe namba yake me ni mfupi mwenzio nimfariji kidogo
Ha ha ha ha ha ha haTupia na kapicha mkuu
Ndio ufunguke bibiee...Hizo nilizoanisha ni just a couple miongoni mwa nyingi. Ntakupa custom!Unaijua package nayoihitaji?
Anduje anaanzia sentimita ngapihapana mkuu mbona shida zangu kibao nimeleta hapa sembuse hili....au nawe ni andunje?
lugha yako tuu..mara cuzo mara kiswanglish mhNina huyu cuzo wangu ana bwana, the guy ana kazi nzuri tu, kapole, he is a gentleman, anampenda sana my cuzo like sana yani and all that (kwa mimi navyomuona).
The problem ni kwamba cuzo wangu anataka kuachana nae kisa the guy ni mfupi kuliko yeye.
Back then walikua wanapenda sana tu, my cuzo alikuwa haishi kumuongelea huyo bwana. Hapo the guy alikua mkoa mwingine kikazi.
I started noticing changes the guy alipokuja Dar es Salaam, first time cuzo akaomba twende wote, basi tukameet tuka have fun hivo.
Second time tena tumeenda kwa the guy anapoishi kumuona alikua anaumwa.
Sasa tumerud home my cuzo ananiambia eti anataka abreak up nae kumuuliza why, anasema amejipimisha nae the guy ni mfupi kuliko yeye na familia yao nzima ndo wako hivo so hajisikii poa kumpita mwanaume urefu.
Mimi nikamwambia kama you love the guy kimo si chochote unless otherwise una mengine, akasema hana kingine zaidi ya ufupi and she feels uncomfortable kua nae kwasababu hiyo.
I pity the guy coz yani ni kapole, kahandsome tu sema ndo hivyo kafupi kidogo plus tumeshakula hela zake kibao mpaka i feel guilty.
Basi the guy huwa ananiuliza kama my cuzo truly loves him, kama pia humuongelea nikiwa nae basi mmi naishia kumpa moyo tu.
Nauliza jamani is this right?
Wasichana mliowapita wanaume zenu urefu kwani mnapata shida yoyote?
Wanaume mliopitwa urefu na wachumba zenu imekaaje hii?