pistmshai
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 1,315
- 3,680
haha.. eti wanahisi hawaonekani..warefu wengi ni wapole ndo wazuri, wafupi wabishi, wana maneno, wakorofi wanajiona wao ndio wao nadhani ule ufupi unawafanya kukosa kujiamini, wanahisi hawaonekani kwahiyo wanadhani wakiongea Sanaa ndo wanaonekana,
ndio kusema wanajitutumua..