trigeminal
JF-Expert Member
- Jan 9, 2015
- 1,963
- 2,383
kwani ufupi ndo ukoje
Teh sijuiHahaaaa!! Hivi mtu mfupi akikaa kwenye kiti anarefuka eeh!!
"The guy ana kazi nzuri tu" kwenye stori za wanawake lazima ukutane na hii sentensi.
eti za guy ana kazi nzur tu...ndo zao mkuuufupi ni pale mtu hata akikaa sakafuni bado anakuwa ananing'iniza miguu!kwani ufupi ndo ukoje
Nilikuwa na kademu kamoja Ni Kafupi ila kipindi tunaanza alikuwa model na nilikapenda sana but soon kakaanza kunenepa kamekuwa kama jaba nimekosa kabisa hamu nako...binafsi sipend mademu wanene...so its just the matter of choice



tabia mbaya hiyo
Alisimama juu ya 'fat wallet'Kama nimemuelewa amesema walifahamiana then ndio akahamishwa kikazi, ila siku ya kwanza wanafahamiana hakumuangalia vizuri, sasa sijui ilikuwa gizani!!
Utoto unamsumbua akikua ataacha. Refer post yangu ya kwanza....huu ni muda wake kuchagua kuna muda utafika atatamani yeyote hata huyo anaesema mfupi.kwa jinsi alivokua amekaa its vigumu kujua kama ni mfupi....af unafkr ni mfup sana basi...yani mabega yao yanapishana kidogo tu sema ndo hivyo
Kwani wallet imekonda sasa!! Au ndio anarealize kuwa she wanted not only money....Alisimama juu ya 'fat wallet'
Braza Itabidi ulipie tangazomwambie aje kwangu ani PM mi nimrefu kidogo sio mbilikimo, ila mimi bahili, napenda tukatambulishane kwa wazazi next week. nipe namba ya simu PM, niandae mahari kidogo, pia mimi nina tatizo hata huo ufupi ni afadhali, mi Nina kitambi kikubwa and am 31
Hapo sasa.....kaz yake we inakuhusu nn?![]()
![]()
![]()
eti za guy ana kazi nzur tu...ndo zao mkuu
Si ndo hapo sasa... wanawake huwa hawajui wanachokitakaHapo sasa.....kaz yake we inakuhusu nn?
Hayo yote yanaweza kuwa majibu.Kwani wallet imekonda sasa!! Au ndio anarealize kuwa she wanted not only money....