Anataka kumuacha kisa ufupi

Anataka kumuacha kisa ufupi

Labda kipato na elimu
Kwa case ya kimo mnadanganywa huko kwenye mitandao mnasoma eti ooh unafell protected na blah blah....mnapenda kuigiza maisha ya tamthilia wakat in real life things are different.

We ukitembea mmeongozana na baba yako mzazi na ni mfupi, dont u feel protected? It's all about mindset
Nimechekaa eti "ukitembea na baba ako mzazi mfupi haufeel protected"
 
Labda kipato na elimu
Kwa case ya kimo mnadanganywa huko kwenye mitandao mnasoma eti ooh unafell protected na blah blah....mnapenda kuigiza maisha ya tamthilia wakat in real life things are different.

We ukitembea mmeongozana na baba yako mzazi na ni mfupi, dont u feel protected? It's all about mindset
Kwani wewe huna kigezo chako ?acheni habari zenu mkichagua nyie ni sawa ila tukichagua sie inakuwa tatizo. Huwezi kuwa na mtu mmesimama anakufikia kiunoni.
 
Wanaume wafupi mara nyingi huwa wana mapenzi ya dhati, bi dada aangalie moyo wake na vipaumbele vyake tu ila baadae asijesema "ningejua".
Licha ya upendo wa dhati wamejaliwa kimaumbile kunakoo kulee... Mtu uchague kipi important kwako,kufurahishwa ndani ama kuonekana couple nzuri nje...hupati complete package
 
Licha ya upendo wa dhati wamejaliwa kimaumbile kunakoo kulee... Mtu uchague kipi important kwako,kufurahishwa ndani ama kuonekana couple nzuri nje...hupati complete package
Usiombe upate mwanaume mfupi mwenye tabia za "kifupi"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom