we mdada weweee...So wafupi hata tusijisumbue kwako!?Si alikuwa amekaa kwenye kiti![]()
Wala, waje tu, itategemea wana package gani. Urefu mbona bonus tuwe mdada weweee...So wafupi hata tusijisumbue kwako!?
Huyo demu ni type ya wale wanaoshikiwa akili na mashosti...Pumbavu kabisa, nadhani hajui kama wafupi ni very gentle na wanapendaga kwa dhati yote tofauti na hayo marefu yasio na huruma.Ooooh...huyo demu aangalie Sana lakini, awe makini sana, kuna jamaa yangu hapa aliniambia kuwa huyu demu anayetaka kumuoa, aliwahi kumtamkia kuwa hamtaki kwa sababu ya ufupi wake na wakaachana, demu alidai kuwa amepata handsome boy na ni mrefu.....
Ndugu zangu, kilichompata huyu demu na huyu mshkaji sielewi, ila hadi sasa huyo demu ana mimba ya huyu mfupi,,,yaan ni hatari sana.
Package iliopo ni Romance na kiboko cha haja kwa kwenda mbele. No headaches no drama!Wala, waje tu, itategemea wana package gani. Urefu mbona bonus tu
Napenda mwanamke mwenye positive mindset kama yako, binafsi sijaona correlation yeyote baina ya upendo wa dhati na kimo.Yaani wanawake warefu tuna shida saana! Yaani sijawai kua na mpenzi mrefu zaidi yangu. Hamna shida yoyote... Sema tu ni ile idea ya kua mwanaume akiwa mrefu zaidi yako inapendeza zaidi
Nina huyu cuzo wangu ana bwanake,the guy ana kazi nzuri tu,kapole,he is a gentleman,anampenda sana my cuzo like sana yani and all that(kwa mimi navomuona).
The problem ni kwamba cuzo angu anataka kuachana nae kisa the guy ni mfupi kuliko yeye.
Back then walikua wanapenda sana tu,my cuzo alikua haishi kumuongelea huyo bwana. Hapo the guy alkua mkoa mwingine kikazi.
I started noticing changes the guy alipokuja dzm,first time cuzo akaomba twende ote,basi tukameet...tuka have fun hivo...
Second time tena tumeenda kwa the guy anapoishi kumuona alikua anaumwa...
Sasa tumerud home my cuzo ananiambia eti anataka abreak up nae....kumuuliza why,anasema amejipimisha nae the guy ni mfupi kuliko yeye na familia yao nzima ndo wako hivo so hajisikii poa kumpita mwanaume urefu.
Me nikamwambia kama u love the guy kimo si chochote unless otherwise una mengine,akasema hana kingine zaid ya ufupi and she feels uncomfortable kua nae kwasaabu hiyo.
I pity the guy coz yani ni kapole,kahandsome tu sema ndo hivo kafupi kidogo plus tumeshakula hela zake kibao mpaka i feel guilty.
Basi the guy hua ananiuliza kama my cuzo truly loves him,kama pia humuongelea nikiwa nae...basi me naishia kumpa moyo tu.
nauliza jamani is this right???
wasichana mliowapita wanaume zenu urefu kwani mnapata shida yoyote?
wanaume mliopitwa urefu na wachumba zenu imekaaje hii???
Jamani kwani sisi warefu na wapole unatuchukuliaje?Kwanza kupata mwanaume Mfupi halafu mpole ni bahati kubwa sana, labda huyo mdogo wako ana jengine, ufupi sio sabab ya msingi au niulize mdogo wako ana umri gani?
bahati nzuri huku kwetu kuna watu huwa hawajui kimo changu, mara wengine waniite mrefu mara wengine mfupi.. ila wote husema nina package nzuri.. Good morning.Wala, waje tu, itategemea wana package gani. Urefu mbona bonus tu
Unaijua package nayoihitaji?Package iliopo ni Romance na kiboko cha haja kwa kwenda mbele. No headaches no drama!
Upo tayari kuki unzip?
Teh package yako nzuri ndo ipi hiyo? Morningbahati nzuri huku kwetu kuna watu huwa hawajui kimo changu, mara wengine waniite mrefu mara wengine mfupi.. ila wote husema nina package nzuri.. Good morning.
Walikutana mwenye social network hadi asimjue kwamba ni mfupi?the guy alikua mkoa na alivokuja dzm wamemeet mara mbili tu ya pili ndo kagundua ufupi,mara ya kwanza haku notice mana hatukukaa nae sana
Amwache tu but ipo siku ataona umuhimu wa ufupi wake
hata kuwa ni vyema nikisema mimiTeh package yako nzuri ndo ipi hiyo? Morning