Duh hio ilikuwa kali aisee! Fedhea ya ajabu sana kidume ukishindwa kukamata networkMmmh aisee au huna nguvu za kiume. Ingekua mwanamke ndio anasema hivi nisingeshangaa ila mwanaume
Kuna msichana ilikua hivi hivi honeymoon ndio anagundua mume wake hana uwezo wa kushiriki tendo la ndoa. Ikabid aende kanisani ndoa ikavunjwa
Imeisha hiooo!!!Lete namba yake mkuu mimi ni katekista nitampa maneno ya biblia hakika hilo pepo la ngoni litamtoka. Amen.
Hahahahha wahuni sio watuHatuwezi kushauri upande mmoja.
Weka namba yake tuweze kusikia pande zote ili tutoe ushauri wa kueleweka
Uko sawa tu mkuu.Inaweza ikashangaza ila mimi ni Me, nilidhamiria kutofanya kitu na mke mtarajiwa mpaka ndoa ila imefika hatua naona mwenza yamemfika shingoni, pressure ni kubwa kwangu akidai hali ni tete.
I honestly don't want this to happen but nawaza nini kinaweza tokea? Nikimwambia tuvumilie ananisikiliza but najua deep down hanielewi.
Ushauri wowote juu ya sex kabla ya ndoa.
Impossible 🤨??? Kwahio mnara hausomagi!?Impossible, japo huwa kuna wakati nafululizaga sana.
Na huo ndio uanaume.Duh hio ilikuwa kali aisee! Fedhea ya ajabu sana kidume ukishindwa kukamata network
Dah bora ukose hela sio nguvu za kiume kmnnrNa huo ndio uanaume.
Na mahindi humuotea asiye na meno!."Kweli upele humuota asiye na kucha"
Impossible, japo huwa kuna wakati nafululizaga sana.
Haya mambo ya ndoa bwana,inawezekana mwenzio alishazoea hayo mambo kabla ya kukutana na wewe,sasa anaona unampa mateso tu kwa kusubiria siku ya tukio...Inaweza ikashangaza ila mimi ni Me, nilidhamiria kutofanya kitu na mke mtarajiwa mpaka ndoa ila imefika hatua naona mwenza yamemfika shingoni, pressure ni kubwa kwangu akidai hali ni tete.
I honestly don't want this to happen but nawaza nini kinaweza tokea? Nikimwambia tuvumilie ananisikiliza but najua deep down hanielewi.
Ushauri wowote juu ya sex kabla ya ndoa.
Mwamba shikilia hapo hapo. Trust me nothing good as ever come out of have pre marital sex.Inaweza ikashangaza ila mimi ni Me, nilidhamiria kutofanya kitu na mke mtarajiwa mpaka ndoa ila imefika hatua naona mwenza yamemfika shingoni, pressure ni kubwa kwangu akidai hali ni tete.
I honestly don't want this to happen but nawaza nini kinaweza tokea? Nikimwambia tuvumilie ananisikiliza but najua deep down hanielewi.
Ushauri wowote juu ya sex kabla ya ndoa.