Anasema amechoka kuvumilia, tufanye mapenzi kabla ya ndoa

Inaweza ikashangaza ila mimi ni Mwanaume, nilidhamiria kutofanya kitu na mke mtarajiwa mpaka ndoa ila imefika hatua naona mwenza yamemfika shingoni, pressure ni kubwa kwangu akidai hali ni tete.

I honestly don't want this to happen but nawaza nini kinaweza tokea? Nikimwambia tuvumilie ananisikiliza but najua deep down hanielewi.

Ushauri wowote juu ya sex kabla ya ndoa.
Mkuu hivi upo sawa kweli? Unakula na kushiba kama hutaki kuchakata utakuwa unachakatwa sio bure!!!!
 
Inaweza ikashangaza ila mimi ni Mwanaume, nilidhamiria kutofanya kitu na mke mtarajiwa mpaka ndoa ila imefika hatua naona mwenza yamemfika shingoni, pressure ni kubwa kwangu akidai hali ni tete.

I honestly don't want this to happen but nawaza nini kinaweza tokea? Nikimwambia tuvumilie ananisikiliza but najua deep down hanielewi.

Ushauri wowote juu ya sex kabla ya ndoa.
Sasa wewe unataka kuoa bila kutest? Je Kama hana k utaivunja hiyo ndoa?
 
Mkuu shikilia msimamo wako maana imeandikwa aziniye na mwanamke hana akili.

Ila kwa scenario kama hiyo kwa Mimi ni bora nisiwe na hiyo akili.
 
Inaweza ikashangaza ila mimi ni Mwanaume, nilidhamiria kutofanya kitu na mke mtarajiwa mpaka ndoa ila imefika hatua naona mwenza yamemfika shingoni, pressure ni kubwa kwangu akidai hali ni tete.

I honestly don't want this to happen but nawaza nini kinaweza tokea? Nikimwambia tuvumilie ananisikiliza but najua deep down hanielewi.

Ushauri wowote juu ya sex kabla ya ndoa.

Mmeisha tofautiana mtazamo so una mawili tu, saliti hiyo misimamo ya sex after marriage mpe tango maisha yaendelee au shikilia msimamo wako ila achana nae. Mwanamke huwa haombi sex kwa pressure, akiomba she means it, ukimkatalia afu eti atavumilia aseee umeumia jamaa.
 
Inaweza ikashangaza ila mimi ni Mwanaume, nilidhamiria kutofanya kitu na mke mtarajiwa mpaka ndoa ila imefika hatua naona mwenza yamemfika shingoni, pressure ni kubwa kwangu akidai hali ni tete.

I honestly don't want this to happen but nawaza nini kinaweza tokea? Nikimwambia tuvumilie ananisikiliza but najua deep down hanielewi.

Ushauri wowote juu ya sex kabla ya ndoa.
😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom