Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 6,657
- 7,268
Mkuu hivi upo sawa kweli? Unakula na kushiba kama hutaki kuchakata utakuwa unachakatwa sio bure!!!!Inaweza ikashangaza ila mimi ni Mwanaume, nilidhamiria kutofanya kitu na mke mtarajiwa mpaka ndoa ila imefika hatua naona mwenza yamemfika shingoni, pressure ni kubwa kwangu akidai hali ni tete.
I honestly don't want this to happen but nawaza nini kinaweza tokea? Nikimwambia tuvumilie ananisikiliza but najua deep down hanielewi.
Ushauri wowote juu ya sex kabla ya ndoa.