aise
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 4,120
- 11,850
Huyu jamaa kwakweli naona hana haiba ya kiume!
Asubuhi yote hii kwenye gari amepiga simu kwa mwanaume mwenzie analia kuwa kwanini anachati na mke wake usiku.
Yaani watu wamebaki wanamcheka na kusikitika tu hapa. Kwa mujibu wa maelezo yake mkewe anafanya kazi kiwandani, na kazi za viwandani tunajua malipo yao wakuu, kule watu wanalipwa mpaka 3500 kwa siku.
Sasa jamaa anajitetea anasema kuwa alimpa nauli huyo mwanamke kwahiyo alikuwa anamuuliza kama amefika salama. Mwenye mke analia anasema "hata kama umemsaidia nauli lakini kwanini umsumbue kwa sms, wewe kama umemsaidia inatosha siyo lazima muanze kuchati".
Mimi naona huyu jamaa angetumia njia nyingine kufikisha ujumbe ila siyo kwenye kadamnasi kiasi hiki. Halafu wakuu tutafute hela, maana inaonekana jamaa mfukoni kweupe mpaka demu anachatishwa usiku kisa nauli ya 600 na kuliwa huyu mwanamke ni uhakika 100%.
Asubuhi yote hii kwenye gari amepiga simu kwa mwanaume mwenzie analia kuwa kwanini anachati na mke wake usiku.
Yaani watu wamebaki wanamcheka na kusikitika tu hapa. Kwa mujibu wa maelezo yake mkewe anafanya kazi kiwandani, na kazi za viwandani tunajua malipo yao wakuu, kule watu wanalipwa mpaka 3500 kwa siku.
Sasa jamaa anajitetea anasema kuwa alimpa nauli huyo mwanamke kwahiyo alikuwa anamuuliza kama amefika salama. Mwenye mke analia anasema "hata kama umemsaidia nauli lakini kwanini umsumbue kwa sms, wewe kama umemsaidia inatosha siyo lazima muanze kuchati".
Mimi naona huyu jamaa angetumia njia nyingine kufikisha ujumbe ila siyo kwenye kadamnasi kiasi hiki. Halafu wakuu tutafute hela, maana inaonekana jamaa mfukoni kweupe mpaka demu anachatishwa usiku kisa nauli ya 600 na kuliwa huyu mwanamke ni uhakika 100%.