Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,218
Halafu nimegundua vijana wetu wa nchi hii wamejaa ushabiki maandazi ndio maana nyimbo za kiharakati hawana mpango Nazo kama Uganda au Kenya, huku manyimbo yasiyo maana kama Uno sijui viuno au baba lao ndio huwaambii kitu.Hii ndo Hiphop halisi sasa
Roma ameitendea haki kazi yake vizuri sana
Kizazi cha leo kina bahati mbaya kinakosa vijana wenye tungo za kufikirisha kama hizi,
Afadhali ROMA anasaidia kupunguza pengo