Afghanistan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2022
- 308
- 399
Uzi huu ni maalum wa kuwapa maua wana hawa wawili waliojitoa peke yao kuwasemea wananchi kupitia kazi zao za sanaa.
Siyo jambo rahisi kwa msanii wa bongo kutunga wimbo wenye content ya kuisema serikali pale inapotokea hakuna mtu mmoja wa kuonya wala kuwasemea wananchi.
Kuna wasanii wengi ni waandishi wazuri sana huwenda kushinda roma na ney lakini hawana ujasiri wa kuandika ujumbe wa kukosoa au kuonya watawala,siyo wasanii wengi/wote wanaoweza kufanya hivyo.
Roma na Ney wapo front line katika kukemea mabaya yanayofanywa na serikali japo ni kama kujinyooshea mtutu wa bunduki wenyewe lakini yatupasa tuwaombee wasanii hawa wazalendo kati ya wasanii machawa wengi.
Baadhi ya nyimbo zao zinazokemea uchafu ni NIPENI MAUA YANGU wa ROMA na wimbo mpya wa NEY WA MITEGO uitwao AMKENI.
Na huu ni uzi maalum kwaajili ya kuwapongeza,kuwapa moyo na kutambua kazi yao kubwa wanayoifanya.
Binafsi hawa ndiyo wabunge bora kwa sasa na siyo wale wa dodoma.
CHUKUENI MAUA YENU KABLA HAMJAFA
Siyo jambo rahisi kwa msanii wa bongo kutunga wimbo wenye content ya kuisema serikali pale inapotokea hakuna mtu mmoja wa kuonya wala kuwasemea wananchi.
Kuna wasanii wengi ni waandishi wazuri sana huwenda kushinda roma na ney lakini hawana ujasiri wa kuandika ujumbe wa kukosoa au kuonya watawala,siyo wasanii wengi/wote wanaoweza kufanya hivyo.
Roma na Ney wapo front line katika kukemea mabaya yanayofanywa na serikali japo ni kama kujinyooshea mtutu wa bunduki wenyewe lakini yatupasa tuwaombee wasanii hawa wazalendo kati ya wasanii machawa wengi.
Baadhi ya nyimbo zao zinazokemea uchafu ni NIPENI MAUA YANGU wa ROMA na wimbo mpya wa NEY WA MITEGO uitwao AMKENI.
Na huu ni uzi maalum kwaajili ya kuwapongeza,kuwapa moyo na kutambua kazi yao kubwa wanayoifanya.
Binafsi hawa ndiyo wabunge bora kwa sasa na siyo wale wa dodoma.
CHUKUENI MAUA YENU KABLA HAMJAFA