tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,145
- Thread starter
- #21
As long as mnapendana, anajitambua na Unaona Kabisa Ni Mtu anayekufaa kujenga naye familia, just marry her. Kuna watu wana elimu zao, ila ndo elimu zetu tu za makaratasi, Hana analolijua. Na kuhusu kushinda fb, insta, wasap etc Ni hulka tu ya Mtu, jitahidi kuongea naye ili apunguze hayo matumizi ya simu. Unaweza kumpeleka hata English course au akaenda akasomea ujuzi Fulani.., eventually mambo yatakuwa poa.
asante kwa mawazo yako!!