Ana sifa karibia zote ninazohitaji, ila tatizo elimu yake

Ana sifa karibia zote ninazohitaji, ila tatizo elimu yake

usichague mwanamke/mwanaume kwa sura. elimu. pesa n.k upendo wake kwako unatosha kuona anafaa au lah. kuna wasomi wazuri tu waliodumu kwenye ndoa zao and vs pia wapo std seven hawashikiki kila kitu wanajifanya wanajua yani fagio la chuma kwelikweli and vs is true. msikariri vitu maisha hayana fomula.

ila jiandae kuzaa vilaza coz kuishia std seven co sababu ya kumfanya mtu ashindwe kupambanua mambo kuna wengine hata drsn hawajaingia ila wanayajua maisha mwanzo mwisho japo kutema umeme km Nyani Ngabu hawawezi.

Mwanamke kuishia la saba sio sababu ya kuzaa vilaza Mimi mama yangu kaishia la saba Ila kwetu hakuna kilaza Hata 1.......izo ni perceptions zako tu
 
Last edited by a moderator:
love doesn't ask why if u love her!!! its just a simple thing. nakushaur don't ever try to ditch ur GF anakupenda and ukimuacha utanchanganya kisaikolojia
 
tindikalikali

Ndugu unatafuta mke au business partner? anyway.
Moja, kama elimu yake ni STD 7 kuna uwezekano mkubwa kuwa it is not her fault, mazingira yalilazimisha yeye kukosa nafasi ya kusoma. Hivyo you can't punish someone for that.

Mbili, kama kila kitu kipo sawa kasoro elimu..na bado hajaolewa (that means kiumri sio mzee) basi muoe na mpeleke shule. Kuna madarasa kibao yamejaa mijini, mtafutie moja aendelee na masomo.

Sidhan kama kigezo cha elimu kinatosha kumtupa mtu anayekufaa. You can't get a perfect person, because you are not perfect either. For any relationship to work, it is necessary to compromise something. You loose a little you gain more.

My Advice, wife her and take her to school.
 
Last edited by a moderator:
Njoo kwangu mi nna degree tutaelewana!! Ukienda giraffe mi Niko white sand!! Ukisema yes mi nasema No!! Ukifungua duka mi nafungua supermarket!! Usiporudi nyumbani na mimi nasafiri.. Muda wote tunaongea kiingereza!! Story zetu ni za nkurunzinza wote tunasoma gazeti la citizen..
 
tindikalikali

Oa weka ndani, zalisha mtoto mmoja then peleka shule!! Anapiga QT then four, baada ya hapo mtoto mwingine then mnaangalia shule zaidi!

Wenzio ndiyo tulifanya hivyo, japo mwanamke ni mwanamke lakini nyumba inaheshima ya kufa mtu!! Kuliko kuwakuta wana shule tayari huwa wanakuwa wapuuzi sana
 
Last edited by a moderator:
Hamtafika mbali itafika mahali utachoka na stories za whatsapp etc...wa hivi maamuzi yao Mara nyingi hayana reasoning
 
matajiri wanaoa wsiosoma na maprofesa,mawaziri nao wanaoa walimu wa shule ya msingi haujawai kujiuliza kwanini?
 
ww oa,mbona babu na bibi zenu waliona bila kuwa na elimu na maisha yakasonga.cha msingi awe na HESHIMA NA UPENDO KWAKO NA NDUGUZO
 
tindikalikali

yaani hapa ndo huwa nashindwa kuelewa kabisa angekuwa na Degree yake sijui ungesemaje?? oa huyohuo
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kwani kuna ubaya gani kumuendeleza kielimu? angalau akafikia kidatu cha nne hata zaidi? Kama ana bidii ataweza tu huku wewe ukimpa msaada na motivation.
tindikalikali
 
Last edited by a moderator:
tindikalikali

Mkuu naamin wengi wamekushaur!
Mi naomba niseme hakuna mwanadamu aliyekamilika, utamuacha hiyo kwa kitendo cha elimu, utakutana na mwenye hicho kigezo lakn kwingine shida!

Kuna vitu vinavumilika kwenye ndoa na vingine havivumiliki!

So za kuambiwa changanya na zako!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom