Ana sifa karibia zote ninazohitaji, ila tatizo elimu yake

Ana sifa karibia zote ninazohitaji, ila tatizo elimu yake

Nlikuwa Chuo kikuu flan hivi na binti mzuriii tena full of wife materials. Alinihusudu, alinifia sana tu. Alikuwa anafly juu sana kwa kila matokeo yakitoka. Siku ya siku si kaniletea paper! Dah! Kumbe ana eat na Lecturer.
Nilimkimbia ka ukoma. Ukitafuta hao wa elim hiyo, jua weye waweza kuwa mtu wa 80 kwenye list ya waliopiga mpini. Darasa la 7 ni kuku wa kienyeji, wengi weye unaweza kuwa wa 2 au 3 si zaidi.
Pili, mke ni yule mnapendana na mapenzi hayana chuo
 
Nlikuwa Chuo kikuu flan hivi na binti mzuriii tena full of wife materials. Alinihusudu, alinifia sana tu. Alikuwa anafly juu sana kwa kila matokeo yakitoka. Siku ya siku si kaniletea paper! Dah! Kumbe ana eat na Lecturer.
Nilimkimbia ka ukoma. Ukitafuta hao wa elim hiyo, jua weye waweza kuwa mtu wa 80 kwenye list ya waliopiga mpini. Darasa la 7 ni kuku wa kienyeji, wengi weye unaweza kuwa wa 2 au 3 si zaidi.
Pili, mke ni yule mnapendana na mapenzi hayana chuo

Majina ya watu hayo, tafadhali mdomo hauna ulimi
 
tindikalikali

Jiandae pia kukosa msaidizi wa kusimamia education ya watoto wako, maana homework za watoto katika tender age ni lazima kuwe na mtu madhubuti wa kusimamia, vyenginevyo msingi mzuri wa watoto utakosekana....
Kama unaangalia starehe zako well and good ila kama unawazia offspring wako, fikiria kwa makini zaidi.
All the best.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Mapenzi siyo elimu acha ushamba wewe kama unataka mke oa unayemzidi elimu maana kama elimu mnalingana wengi wao heshima zero
 
Mapenzi na elimu wapi na wapi? Wewe kama umempenda na yeye anakupenda na anatabia nzuri oa mkuu fahamu kuwa uzuri wa mwanamke ni tabia vingine vyote ni mbwembwe tu
 
duu .kitendo cha mwanamke wa 25 kushindwa kupapanua mambo ni shida kubwwa na kwa kizazi chako. hebu tafakar upya na watoto wako wakija fika std 7 bila kujua kusoma na kuandika uaishangaeee
 
duu .kitendo cha mwanamke wa 25 kushindwa kupapanua mambo ni shida kubwwa na kwa kizazi chako. hebu tafakar upya na watoto wako wakija fika std 7 bila kujua kusoma na kuandika uaishangaeee

ahahahaa!naona umekua Pdidy leo!!
 
WanaJF nipo katika mahusiano na mwanamke ambaye elimu yake ni std 7, mimi nina elimu ya pia nipo certified na moja professional board hapa Tanzania!!

Kiukweli ni mtu anayejali na anaonesha kunipenda pia anatamani niwe mme wake, tatizo linakuja baada ya muda huu niliokuwa naye, uwezo wake wa kupambanua mambo uko chini sana, yani anachojua yeye ni whatsapp, FB, instagram na habari za wasanii na movie!! Mambo ya uchumi, siasa, technolojia na jinsi dunia inavyoenda kwake ni hakuna!! Kiukweli nakosa uhuru kabisa kwani inanibidi nijilimit vitu vya kuongea naye na pia siwezi kabisa changanya kimombo kwenye maongezi ya ana kwa ana au text na mimi nilishazoea hivyo!!

Naomba nieleweke kwamba sijaandika haya kwa ajili ya kubeza watu wenye elimu ndogo hapana, ila napata wakati mgumu kujiadjust ili niende sambamba naye!

Je watu mliooa watu wa aina hii mnakutana na changamoto zipi?

Natanguliza shukrani!!

Huku ana sifa zote,huku unalalamikia elimu yake...waswahili bana duh
 
Nlikuwa Chuo kikuu flan hivi na binti mzuriii tena full of wife materials. Alinihusudu, alinifia sana tu. Alikuwa anafly juu sana kwa kila matokeo yakitoka. Siku ya siku si kaniletea paper! Dah! Kumbe ana eat na Lecturer.
Nilimkimbia ka ukoma. Ukitafuta hao wa elim hiyo, jua weye waweza kuwa mtu wa 80 kwenye list ya waliopiga mpini. Darasa la 7 ni kuku wa kienyeji, wengi weye unaweza kuwa wa 2 au 3 si zaidi.
Pili, mke ni yule mnapendana na mapenzi hayana chuo

Am sorry kama nitakwaza!ila wanawake waliosoma sana wanatabia za ajabu sana kwenye mahusiano hasa linapokuja suala la sex!wanachukulia kawaida sana!!

am just saying!
 
Kwani shule zimefungwa?

Pia nawe uwezo wako wa kupambanua mambo ni mdogo, umeshindwaje kulitafutia ufumbuzi jambo jepesi hivi??
 
huyo ndo mzuri. wasomi wanakuwa watata kwa kuwa hela wanazo taaluma zao zinawapa jeuri. kumbuka vizuri vina kasoro nawewe hiyo ndo kasoro ya mkeo
 
huyo ndo mzuri. wasomi wanakuwa watata kwa kuwa hela wanazo taaluma zao zinawapa jeuri. kumbuka vizuri vina kasoro nawewe hiyo ndo kasoro ya mkeo

mkuu acha tu, yani nimeamini huwezi ukapata vyote!!
 
if she qualify 75% she is as good as the one who qualify by 100%

unanafasi ya kumshape, mtengenezee new interest. inawezekana. kama wengi walikuwa hawapendi football lakini kwa influence ya mabwana zao hadi jezi wananua.

atabadlilika, kikubwa ni uaminifu mengine yote kama anakupenda atafuata ila mshawishi abadili aina ya marafiki
 
Tatizo watu wengi hawajui nini wanataka kutoka kwa watu. Elimu muongeze angalau afike Form Four
 
Back
Top Bottom