Ana sifa karibia zote ninazohitaji, ila tatizo elimu yake

Ana sifa karibia zote ninazohitaji, ila tatizo elimu yake

tindikalikali

Jiandae pia kukosa msaidizi wa kusimamia education ya watoto wako, maana homework za watoto katika tender age ni lazima kuwe na mtu madhubuti wa kusimamia, vyenginevyo msingi mzuri wa watoto utakosekana....
Kama unaangalia starehe zako well and good ila kama unawazia offspring wako, fikiria kwa makini zaidi.
All the best.

asante mkuu nimejifunza ktu
 
Last edited by a moderator:
Eti jaman,hivi ili meanamke amudu ndoa yake vizuri anatakiwa awe na elimu kiwango gani vile???,nimesahau.
 
Mkuu na hiyo ndiyo hofu yangu, naweza nikamkimbia huyu na nikaingia sehemu ya ajabu!!

Hamna formular kwenye mapenzi kaka...Mwombe mungu tu awe mwaminifu....waswas wangu ni hiyo mitandao ya jamii...hiyo haikawiii kummaliza akili...
!May me u have to go extra mile ya nin huwa anafanyaga huko mitandaon
 
Am sorry kama nitakwaza!ila wanawake waliosoma sana wanatabia za ajabu sana kwenye mahusiano hasa linapokuja suala la sex!wanachukulia kawaida sana!!

am just saying!

Kimbley;
But that is the truth! Kwazo liko wapi hapo!!
 
Kama unampenda,ni afadhali kuchukua hatua sahihi katika swala hilo,n rahisi sana na bahati nzuri kizazi hiki kuna collage za kila namna,
AKILI HAIGANDI mpeleke shule
 
Tindikalikali, mie naona wewe uliye na elimu haijakusaidia, binafsi ningedhani wewe ndio wa kumtoa hapo alipo na kumpeleka hatua nyingine, english course ziko kila kona, vyuo vidogo vidogo vya level yake vipo kila kona why usimpleke huko angalau apate mwanga kidogo? Kama kweli Unampenda utamlinda....
 
Tindikalikali, mie naona wewe uliye na elimu haijakusaidia, binafsi ningedhani wewe ndio wa kumtoa hapo alipo na kumpeleka hatua nyingine, english course ziko kila kona, vyuo vidogo vidogo vya level yake vipo kila kona why usimpleke huko angalau apate mwanga kidogo? Kama kweli Unampenda utamlinda....
Kama unampenda,ni afadhali kuchukua hatua sahihi katika swala hilo,n rahisi sana na bahati nzuri kizazi hiki kuna collage za kila namna,
AKILI HAIGANDI mpeleke shule

Wakuu nashukuru sana kwa maoni yenu, uhusiano wetu ndiyo kwanza una kama mwezi!! Nitajitahidi kuongea nijue hasa anachofikiria na kupanga!!
 
tindikalikali

Jiandae pia kukosa msaidizi wa kusimamia education ya watoto wako, maana homework za watoto katika tender age ni lazima kuwe na mtu madhubuti wa kusimamia, vyenginevyo msingi mzuri wa watoto utakosekana....
Kama unaangalia starehe zako well and good ila kama unawazia offspring wako, fikiria kwa makini zaidi.
All the best.

Kwani jukumu la kulea ni la mama peke yake?
 
Last edited by a moderator:
ushawahi kuwaza siku ukifa darasa la7 ataimudu vipi family?
naweza kukusapoti about shule mana hadi aje amalize chuo.sio leo na.kazi zinasumbua hata kama una masters,
nashauri mfungulie duka hivi,la nguo au biashara ya chakula inalipa kulingana na eneo,
kimsingi awe na shughul ya kumuingizia kipato shule is veree late now

ushauri ni mzuri sema haulengi kujibu hoja kuu ya mtoa mada.

nadhani kwake tatizo si pesa, wala itakuwaje akifa leo na anawatoto.

hata ajimfungulia duka bado ataendelea kupata shida ileile.

ila ushauri wako mzuri na hata mimi nilishaapa kuwa lazima mke wangu awe na uwezo wa kuihudumia familiya yetu hata nijifa watoto wasiteseke. labda tufe wote kwa pamoja.
 
wapo hao unaodhani wana elimu,ndio wanaongoza kwa michepuko. ww kama mmekubaliana, endeleeni na kumbuka maisha mazr hayaletwi na elimu, maana wapo hao lkn hawana lolote
 
Tatizo hawa watu wanatongozeka kiulaini saaana, anaweza liwa mzigo na ticha au madenti wa kiume!

Haaahaaaaa......kweli bana,jamaa watajipigia kiulainiiii. In short demu wa cku hiz mwenye elimu ndogo lazima ana poor vision pia ni poor decision maker.......
 
WanaJF,

Nipo katika mahusiano na mwanamke ambaye elimu yake ni std 7, mimi nina elimu ya pia nipo certified na moja professional board hapa Tanzania! Kiukweli ni mtu anayejali na anaonesha kunipenda pia anatamani niwe mme wake, tatizo linakuja baada ya muda huu niliokuwa naye, uwezo wake wa kupambanua mambo uko chini sana.

Yani anachojua yeye ni whatsapp, FB, Instagram na habari za wasanii na movie! Mambo ya uchumi, siasa, technolojia na jinsi dunia inavyoenda kwake ni hakuna! Kiukweli nakosa uhuru kabisa kwani inanibidi nijilimiti vitu vya kuongea naye na pia siwezi kabisa changanya kimombo kwenye maongezi ya ana kwa ana au text na mimi nilishazoea hivyo.

Naomba nieleweke kwamba sijaandika haya kwa ajili ya kubeza watu wenye elimu ndogo hapana, ila napata wakati mgumu kujiadjust ili niende sambamba naye! Je watu mliooa watu wa aina hii mnakutana na changamoto zipi?

Natanguliza shukrani

Hayo mahusiano ni hatari,kama unadhani hauna peace of mind mpotezee.Mara nyingi kwenye ndoa tunatafuta amani,mimi nilikuwa na mchumba mzuri sana lakini sikuwa na peace of mind,nilimwacha,kwaa sasa ni mchumba wa kawaida sana(ni mwanajamii)lakini ni amani.
 
Unaweza kumtengeneza akawa vile unavyotaka. Chakuangalia je anafundishika,au anapenda mabadiliko hayo ya kujua kiinglish hata wa vyuo akiongea ni utata mtupu hiyo ni lugha za wenyewe kutwa kushinda kwenye mitandao labda hana la kufanya kwa sasa hayupo busy
 
Oa huyo kwani wanawake wamna hiyo huwa wanalea vizur watoto pia huwasikiliza sana waume zao,wasomi ni pasua kichwa brother, shauri yako
 
Back
Top Bottom