Amuua mwenzake kisa elf 1000 ya kamali

Amuua mwenzake kisa elf 1000 ya kamali

Mafanikio ya CCM hayo...
Ajira za Kamali+Kubeti=Viwanda vya kati vilivyoajiri watu wengi sana...
Kamari na boda boda ni janga. Sawa.
Ila kuanzia Januari 2027, kila dereva wa boda boda au mcheza kamari lazima awe na digrii. Hili litamaliza kabisa tatizo la ajira kwa vijana wetu wanaomaliza chuo kikuu na ajali za kijinga.
 
Kijana aloefahamika Kwa jina la Dickson ameuwawa Kwa kuchomwa kisu cha shingo na rafiki yake Kareem.

Tukio hili limetokea dar, kiwalani.

vijana hao walikua wakicheza kamali, ndipo Dickson aliliwa buku na kugoma kuitoa, Kareem alichukia na kutoa kisu Kisha kumshambulia shingoni mara mbili na kukimbia. Dickson ni mwenye mavazi mweupe na Kareem ni huyo wa pembeni
Buku Tu inamtia mtu Hasira na Ghadhabu hadi kuua mtu, harafu mnaulizana Wasiojulikana wanatoka wapi? Mtu kama Kareem akipewa 1M akutoe Roho ni chaap tu
 
Wahuni wote siku hizi wanatembea na kisu, yule muigizajo aliuliwa na kisu, yule mjeda kawe aliuliwa na kisu pia nk wengine hawafahamiki ila kupigwa kisu cha shingo au jicho siku hizi simple sana
Kuna Mwingine kule Tandika amepigwa kisu na mwenzake wakiwa wameolewa cha Tumboni alikimbizwa TMK hospital sijui kama alipona
 
Kijana aloefahamika Kwa jina la Dickson ameuwawa Kwa kuchomwa kisu cha shingo na rafiki yake Kareem.

Tukio hili limetokea dar, kiwalani.

vijana hao walikua wakicheza kamali, ndipo Dickson aliliwa buku na kugoma kuitoa, Kareem alichukia na kutoa kisu Kisha kumshambulia shingoni mara mbili na kukimbia. Dickson ni mwenye mavazi mweupe na Kareem ni huyo wa pembeni
Hili ndo Taifa tunalojivunia kulijenga kwa mbwembwe kama zote. Hakuna kazi ya kufanya bali ni kutembea na kisu au bisibisi ya kujihami na kushinda kwenye kamari kuwinda buku.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom