Amini usiamini Marando ndo anabomoa CHADEMA

Amini usiamini Marando ndo anabomoa CHADEMA

Habari wana JF....
Napenda kuwajuza kuwa kuwepo kwa mtu huyu ndani ya CHADEMA ni hatari sana hata akifukuzwa leo CHADEMA wamechelewa sana.

Marando alikuwa mshauri mkuu ikulu enzi za Mwl. Nyerere na anazijua siri kubwa za ukomboz kusini mwa Africa.

Wengi mkitizama umri wake mnaweza kuuliza au kupinga hoja yangu lakn mm nafahamu kinachoendelea...
Mabere ki umri ni mkubwa sana kuliko mumdhaniavyo.

Nasema huyu ndo mbaya wa CHADEMA...

Nawasilisha.

Hata Dr Slaa alikuwa CCM damu damu , au mnasahau hilo
Naye awajibishwe!!!
 
Marando ni jambazi la CCM tangu enzi za TANU! Huyu siwezi kumuamini kamwe hata nikikutana naye Mbinguni
 
maneno ya mfa maji ukabilandio chanzo cha kifo cha chadema
[h=5]1. Mwenyekiti Chadema taifa- Mh Freeman Mbowe (mchaga,kilimanjaro)
2. Mkurugenzi wa fedha na uwekezaji - Ndugu Anthony Komu (mchaga,kilimanjaro)
3. Mwenyekiti Bodi ya wadhamini ya chama - Mh. Philemon Ndesamburo (mchaga, kilimanjaro)
4. Mkurugenzi wa Oganaizesheni chama- Ndugu Singo Benson Kigaila (mchag,kilimanjaro)
5. Mkurugenzi wa Bunge na Halmashauri -Ndugu John Mrema (mchaga, kilimanjaro)
6. Mkurugenzi wa Mawasiliano chama - John Mnyika (kilimanjaro mwenye maskani yake Dar) asilimia 80 ya wabunge wa kuteuliwa wa Chadema wanatoka Kilimanjaro na Arusha,wakiongozwa na Mrs wa Mbowe wa pili Mkya

8:Tundu Lisu MB na dada yake wa kuzaliwa MB wa kuteuliwa,
9😀k Wilbroad Slaa katibu mkewe wa ndoa Mb wa kuteuliwa
10:Mbowe Mwenyekiti Mkewe mdogo Mb wa Kuteuliwa
11:Ndesamburo Mb mwanawe wa kuzaa MB kuteuliwa
12:Mtei Mlezi wa chama mkwewe Mbowe Mwenyekiti wa Chama,

HIKI NDIO CHAMA SASA
[/h]

lakinI pia usisahau kina mama salma wanavyofungua ma- ngos makubwa au kina husein mwinyi, kawawa, rizwan, we usie na baba kiongozI ccm utabaki mtazamaji
 
Baba wa taifa alilisemea hili kubaguana dhambi na ile dhambi itakutafuna tu sasa ya ZZK yamekwisha mnamuanza Marando eeh mwisho mtajifukuza wenyewe mnaojiita taasisi yenu. Mlipo jikwaa mnapajua mnalaumu ulipoangukia, kusoma hamjui hata picha inawashinda.
 
Baba wa taifa alilisemea hili kubaguana dhambi na ile dhambi itakutafuna tu sasa ya ZZK yamekwisha mnamuanza Marando eeh mwisho mtajifukuza wenyewe mnaojiita taasisi yenu. Mlipo jikwaa mnapajua mnalaumu ulipoangukia, kusoma hamjui hata picha inawashinda.
 
Hivi Mabere Marando ni muislamu? Kama ndivyo hata sishangai akiandamwa. Chama hiki labda uwe mkristo ndio afadhali yako.
 
Hivi Mabere Marando ni muislamu? Kama ndivyo hata sishangai akiandamwa. Chama hiki labda uwe mkristo ndio afadhali yako.

Ni Mkatoliki. Watu wa mkoa wa Mara wengi ni ama wasabato au wakatoliki
 
sisi tunaamini zzk ndo anabomoa chadema, tuna intelejensia ya hatari pale Ufipa ikisaidiwa na red brigade. Tungekwisha mnasa siku nyingi.
 
Habari wana JF....
Napenda kuwajuza kuwa kuwepo kwa mtu huyu ndani ya CHADEMA ni hatari sana hata akifukuzwa leo CHADEMA wamechelewa sana.

Marando alikuwa mshauri mkuu ikulu enzi za Mwl. Nyerere na anazijua siri kubwa za ukomboz kusini mwa Africa.

Wengi mkitizama umri wake mnaweza kuuliza au kupinga hoja yangu lakn mm nafahamu kinachoendelea...
Mabere ki umri ni mkubwa sana kuliko mumdhaniavyo.

Nasema huyu ndo mbaya wa CHADEMA...

Nawasilisha.

Prof Lipumba Mshauri wa Uchumi wa Mwinyi
Seif Maalimu Kipenzi cha Nyerere na Waziri Mkuu Kiongozi aliyeperekea kufukuzwa kwa Jumbe
Mzee Mtei Gavana wa Nyerere na Mshauri wa mambo ya fedha na uchumi katika Serikali ya Mwinyi
Mzee Bob Makani, RiP Gavana wa Nyerere na mshauri wa mambo ya fedha
Etc
Wapo zaidi na wenye vyeo vyeti zaidi utoto ndio unakusumbua ukikua utaacha.
 
mm ni mpenz wa cdm mkubwa kuliko wewe

Mpenzi wa CDM? Pole sana endeleza mapenzi kwa kwenda Mbele, akili ya mapenzi kitaalam inanyima mtu upeo wa kufikiri mambo ya maana na ya msingi.
 
Habari wana JF....
Napenda kuwajuza kuwa kuwepo kwa mtu huyu ndani ya CHADEMA ni hatari sana hata akifukuzwa leo CHADEMA wamechelewa sana.

Marando alikuwa mshauri mkuu ikulu enzi za Mwl. Nyerere na anazijua siri kubwa za ukomboz kusini mwa Africa.

Wengi mkitizama umri wake mnaweza kuuliza au kupinga hoja yangu lakn mm nafahamu kinachoendelea...
Mabere ki umri ni mkubwa sana kuliko mumdhaniavyo.

Nasema huyu ndo mbaya wa CHADEMA...

Nawasilisha.
Umepima VVU au Kansa ya Ubongo boss? Madakitari msaidieni huyu jamaa!
 
Marando ninamfahamu binafsi japo siyo kwa karibu sana. Alikuwa ni mmoja wa timu ya usalama wa taifa nyakati za Nyerere ambapo kulikuwa na timu kali sana ya akina Walingozi. Hata hivyo mwanzoni mwa mwaka 1987, ikiwa ni ndani ya mwaka mmoja tu baada ya Nyerere kuondoka madarakani, timu ya usalama wa Taifa pale Ikulu ilibaidilishwa sana ikiwa ni pamoja na kustaafishwa kwa Opiyo ambaye ndiye aliyekuwa mkuu wao. Marando akaanzisha kampuni yake ya sheria, kwa vile amesomea sheria, na ndipo pia alipoanzisha vuguvugu la kudai vyama vingi vya siasa kupitia ile mikutano yake ya NCCR; mimi nilihudhuria mikutano michache ya NCCR kabla hajaanzisha chama kilichopewa jina la NCCR-Mageuzi.

Sijajua lengo lake katika NCCR ile wakati huo kwani inawezekana ilikuwa ni preemetive tactics, ila kwa yeyote aliyekuwapo Tanzania mwaka 1995 enzi za NCCR-Mageuzi kabla haijachafuliwa na Mrema ni vigumu kuamini kuwa kweli Marando bado alikuwa akiitumikia serikali ya CCM wakati huo. Na iwapo alikuwa haitumikii CCM wakati huo, ninakuwa na ugumu kuamini kuwa atakuwa anaitumikia CCM leo

Kichuguu NCCR mageuzi ilizaliwa lini na wakati wa matukio gani? Itakusaidia kuelewa vyema, pia Opiyo (RIP) hajawai kuwa Mkuu wa Usalama hapa nchni alikuwa na cheo kama cha Katibu Mkuu Kiongozi, angalia list ya Wakuu wote wa hiyo idara Opiyo hayumo.

Hawa watoto hawajui wanachoongea na hawajui nini maana ya ukombozi. Kumbuka kuwa 2010 Jk alishindwa na Dr Slaa hadi katika kambi ya Jeshi la Lugalo na Mdee ni mbunge wa kawe, jambo ambao wakazi wake zaidi ni wanajeshi na UWT.

Hiyo CDM wanayoitaka hao watoto au huo Upinzani wanaoutaka ambao hauna wapenzi kutoka UWT, Jeshi na Polisi haiwezi kuchukua nchni na bila hao hakuna ukombozi, CCM sio UWT na sio Jeshi la Watanzania.

Hii ngoma ya kitoto tuwaachie waicheze kitoto toto na makamasi puani.
 
Habari wana JF....
Napenda kuwajuza kuwa kuwepo kwa mtu huyu ndani ya CHADEMA ni hatari sana hata akifukuzwa leo CHADEMA wamechelewa sana.

Marando alikuwa mshauri mkuu ikulu enzi za Mwl. Nyerere na anazijua siri kubwa za ukomboz kusini mwa Africa.

Wengi mkitizama umri wake mnaweza kuuliza au kupinga hoja yangu lakn mm nafahamu kinachoendelea...
Mabere ki umri ni mkubwa sana kuliko mumdhaniavyo.

Nasema huyu ndo mbaya wa CHADEMA...

Nawasilisha.
Mimi nakubaliana na wewe kabisa, kama tutakumbuka huyu jamaa alihakikisha anaiua NCCR kipindi kile ilipokuwa moto zaidi kwa CCM. HAPA WANA CDM UNAHITAJIKA UMAKINI MKUU KWA HUYU NDUGU. PIA KAMA MNAKUMBUKA VIZURI SIKUMBUKI KAMA KUNA KESI ALIYOWAHI KUIFUNGUA AKIWA KAMA MWANASHERIA IKAISHA ZAIDI YA KUIFANYA IWE NDEFU NA KUTUMIA HELA NYINGI ZA CHAMA. HII ILIKUWA TANGU KIPINDI KILE CHA NCCR MPAKA SASA.
 
Back
Top Bottom