masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,408
- 14,113
Habari wana JF....
Napenda kuwajuza kuwa kuwepo kwa mtu huyu ndani ya CHADEMA ni hatari sana hata akifukuzwa leo CHADEMA wamechelewa sana.
Marando alikuwa mshauri mkuu ikulu enzi za Mwl. Nyerere na anazijua siri kubwa za ukomboz kusini mwa Africa.
Wengi mkitizama umri wake mnaweza kuuliza au kupinga hoja yangu lakn mm nafahamu kinachoendelea...
Mabere ki umri ni mkubwa sana kuliko mumdhaniavyo.
Nasema huyu ndo mbaya wa CHADEMA...
Nawasilisha.
Hata Dr Slaa alikuwa CCM damu damu , au mnasahau hilo
Naye awajibishwe!!!