Mkakati wa kuidhoofisha CHADEMA umefika hatua nzuri kwa haya mambo

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
5,353
11,495
Inawezekana wana Chadema wakawa na sababu za msingi kuamini katika wanachama wote walionao na viongozi wote anayefaa ni Mbowe tu. Hamna mwingine.

Wale waliomo ndani walioamini wana uwezo mkubwa zaidi ya Mbowe wanakuwa wamepigwa kumbo, hawajaridhika fukuto linaendelea.

Prof. Safari kaamua kuachana na nafasi ya Umakamu Mwenyekiti. Hili mnaweza liona kama ni jepesi. Si jepesi kiasi hicho. Safari alikuwa muunganiko mwingine mzuri katika mambo fulani sasa msishangae akijiunga ACT/CCM au akaamua kunyamaa tu.

Mbowe kwanini uwachagulie watu Makamu awe Tundu Lissu? Je waliotaka kugombea maana yake wakitaka kugombea wanapingana na wewe Mwenyekiti? Anaadhibiwa.

Kwa nini usingewasiliana na Tundu Lissu huko aliko na kumwomba agombee nafasi hiyo? Au ukawatumia vijana wako kama walivyokuchukulia wewe form nao uwaambie wamchukulie na Lissu? Halafu wewe ukanyamaza kuacha sanduku liamue?

Waliotaka kugombea nafasi hiyo maana yake sasa watabaki na kitu rohoni. Pengine mnaweza mkawa hamguswi na wanaohamia CCM.

Kuna wanaoenda kwa sababu ya maslahi binafsi na kuna wanaoenda kwa hasira kuona hawatendewi haki ndani ya Chadema.

Kwanini kuna imani kuwa Mbowe pekee ndo anaweza iongoza chadema? Kwa nini iwe kutaka kumwondoa kwenye uongozi mbowe ni vita na CHADEMA?

hizi habari zinapojirudia rudia zinaleta ukakasi sana. Kumbukeni sakata la Chacha Wangwe, Zitto, Sumaye, Cecil nk.

Kutaka kugombea uenyekiti isiwe dhambi. Kuna watu wapo Chadema wameamua kususa wawaachie vijana wavuta bangi na wasiojielewa kupiga kelele.

Swali la kwanza. Mabere Marando amepatwa na nini ndani ya Chadema? Ni miaka sasa, e kuna jambo? Na wengine wengi watu wazima. Mbona kimya kingi?

Swali la pili. John Mnyika katika miaka hii 4 nini kimempata ndani ya Chadema? Ukimya wake unaleta maswali mengi kuliko majawabu. Huyu ni mmoja ya vijana wajuvi wa kujenga hoja na muelewa. Amepigwa ganzi gani?

Mbowe anataka abaki na vijana waganga njaa ambao hawataweza kumhoji. Watu wazima wote wanaonekana kushindwa kuendana naye. Chadema inajila yenyewe toka ndani.

Mnapoambiwa ukweli hamtaki. Mnakuwa wajeuri. Mnaamini kila anayewakosoa ni CCM na kila anayewasifu (praise and worship) ndiyo mwana Chadema bora.

Huku mkiwaandama CCM nao kwa kuendeleza nyimbo za Praise and Worship.

KAMBA HUKATIKIA PABOVU.
 
CHADEMA kife ili kipatikane chama Cha kitaifa. CHADEMA iliundwa sana kwa sura ya Wachagga. Ndio maana hata maafisa wote wa chama pale ufipa ni Wachagga. Na ndio lengo hasa la kuiua CHADEMA. Tunataka chama cha kitaifa sio kajukwaa ka kutengeneza nafasi za kazi kwa Wachagga. Kife tupate chama kipya chenye sura ya kitaifa na kitakachokuwa na aibu ya ukabila.
Ukigombea nafasi na mchagga, ndani ya CHADEMA, lt is likely that kwa 75% utakatwa uli umpishe mchagga.
 
.....Mbowe hajawachagulia watu, Tundu Lissu amenukuliwa akisema ameona Prof Safari anataka kupumzika u makamu mwenyekiti ndio maana yeye Lissu kachukua form...hamna pahala Mbowe kasema watu wamchague Tundu Lissu kuwa m/mwenyekiti, au kama umepaona tuoneshe na sisi wengine tupaone.
 
CHADEMA kife ili kipatikane chama Cha kitaifa. CHADEMA iliundwa sana kwa sura ya Wachagga. Ndio maana hata maafisa wote wa chama pale ufipa ni Wachagga. Na ndio lengo hasa la kuiua CHADEMA. Tunataka chama cha kitaifa sio kajukwaa ka kutengeneza nafasi za kazi kwa Wachagga. Kife tupate chama kipya chenye sura ya kitaifa na kitakachokuwa na aibu ya ukabila.
Ukigombea nafasi na mchagga, ndani ya CHADEMA, lt is likely that kwa 75% utakatwa uli umpishe mchagga.
....propaganda ya zamani hii, hauna mpya!

Lissu, Mashinji, Sugu, Abdala Safari, kule mara kwa kina Matiko kumbe hao wote wachaga?!, ccm inashinda uchaguzi kwa kubebwa na tume feki na polisi, vinginevyo usingekuwa unaropoka hapa..
 
CHADEMA kife ili kipatikane chama Cha kitaifa. CHADEMA iliundwa sana kwa sura ya Wachagga. Ndio maana hata maafisa wote wa chama pale ufipa ni Wachagga. Na ndio lengo hasa la kuiua CHADEMA. Tunataka chama cha kitaifa sio kajukwaa ka kutengeneza nafasi za kazi kwa Wachagga. Kife tupate chama kipya chenye sura ya kitaifa na kitakachokuwa na aibu ya ukabila.
Ukigombea nafasi na mchagga, ndani ya CHADEMA, lt is likely that kwa 75% utakatwa uli umpishe mchagga.
Hicho chama cha kitaifa kitaundwa na Nani na kwa nini mmeshindwa kukiunda sasa? Undeni cha kwenu chenye sura mnayotaka acheni kudanganya watu wazima tunaoona kila jema na baya. Yaani chama kingine kuundwa mpaka CHADEMA ife? Mbona ACT imeundwa CHADEMA ikiwepo, mbona CCK imeundwa CHADEMA ikiwepo. Undeni hicho chama chenu cha kitaifa tuone acheni kutupigia kelele kwa msiyoyaweza.
 
Kama hamtaki ushauri huo wa kubadilika au kuunda chama kipya, basi kuweni tayari chama kife. Sahauni kuchukua dola.
 
Ndugu nadhani umekosa cha kuandika ila unakimbiza bk7
CHADEMA kife ili kipatikane chama Cha kitaifa. CHADEMA iliundwa sana kwa sura ya Wachagga. Ndio maana hata maafisa wote wa chama pale ufipa ni Wachagga. Na ndio lengo hasa la kuiua CHADEMA. Tunataka chama cha kitaifa sio kajukwaa ka kutengeneza nafasi za kazi kwa Wachagga. Kife tupate chama kipya chenye sura ya kitaifa na kitakachokuwa na aibu ya ukabila.
Ukigombea nafasi na mchagga, ndani ya CHADEMA, lt is likely that kwa 75% utakatwa uli umpishe mchagga.
 
Mkakati wa kuidhoofisha chadema uliasisiwa na Mbowe pale alipokubali kumkumbatia fisadi Lowassa na kumkacha mwanasiasa mwenye uchungu wa kweli kwa ukombozi wa watz dr msomi Slaa.

Kwa tamaa hiyo Mbowe CDM itakuwa na hali mbaya zaidi tunapoelekea 2020
 
CHADEMA kife ili kipatikane chama Cha kitaifa. CHADEMA iliundwa sana kwa sura ya Wachagga. Ndio maana hata maafisa wote wa chama pale ufipa ni Wachagga. Na ndio lengo hasa la kuiua CHADEMA. Tunataka chama cha kitaifa sio kajukwaa ka kutengeneza nafasi za kazi kwa Wachagga. Kife tupate chama kipya chenye sura ya kitaifa na kitakachokuwa na aibu ya ukabila.
Ukigombea nafasi na mchagga, ndani ya CHADEMA, lt is likely that kwa 75% utakatwa uli umpishe mchagga.
Kimekaa ki kaskazini sana. Japo wenyewe huwa wanapinga.
 
Huyu huyu dr slaa aliyenunuliwa na CCM na sasa ni Balozi? Au mwingine?every one has a price.

Mkakati wa kuidhoofisha chadema uliasisiwa na Mbowe pale alipokubali kumkumbatia fisadi Lowassa na kumkacha mwanasiasa mwenye uchungu wa kweli kwa ukombozi wa watz dr msomi Slaa.

Kwa tamaa hiyo Mbowe CDM itakuwa na hali mbaya zaidi tunapoelekea 2020
 
CHADEMA kife ili kipatikane chama Cha kitaifa. CHADEMA iliundwa sana kwa sura ya Wachagga. Ndio maana hata maafisa wote wa chama pale ufipa ni Wachagga. Na ndio lengo hasa la kuiua CHADEMA. Tunataka chama cha kitaifa sio kajukwaa ka kutengeneza nafasi za kazi kwa Wachagga. Kife tupate chama kipya chenye sura ya kitaifa na kitakachokuwa na aibu ya ukabila.
Ukigombea nafasi na mchagga, ndani ya CHADEMA, lt is likely that kwa 75% utakatwa uli umpishe mchagga.

Hicho chama kina ngoja nini kisianzishwe sasa? Au ni sharti cdm ife kwanza kisha ndio hicho chama chenu cha kitaifa kianze?
 
Akili hii nayo ni mwanachadema
Ndo maana wenye akili wameamua kunyamaza wawachie aina yenu kupiga kelele.

Cecil whatever her name is: pandikizi

Sumaye whatever his name is : pandikizi

Etc

CDM wanawatoa kupitia sanduku mmepaniki kabisa

Mtajiju viazi nyie
 
Kama hamtaki ushauri huo wa kubadilika au kuunda chama kipya, basi kuweni tayari chama kife. Sahauni kuchukua dola.

Hivi nyie mnaona watu ni watoto sana au, mnataka chama kibadilike kwa utashi wenu, ni kwanini msianzishe hicho chama kipate hao watu? Kichekesho eti Yanga iwaambie Simba badilisheni formation vinginevyo itakufa! Mtaiua cdm kwa hila, lakini mtaishi kuwaongoza watu kwa kuwaburuza bila ridhaa yao.
 
Hicho chama kina ngoja nini kisianzishwe sasa? Au ni sharti cdm ife kwanza kisha ndio hicho chama chenu cha kitaifa kianze?
Nadhani mleta mada alikua akimaanisha CDM ifanyiwe overhaul kwa kuibadilisha taswira yake na kuwa chama cha kitaifa zaidi badala ya sasa hivi kuonekana kama chama cha kikanda.

TANU na ASP zilifanya hivyo ikazaliwa CCM ya leo. Wakati ule CCM ilikuja kuleta taswira ya kitaifa badala ya ASP iliyoonekana ni ya wazanzibari na TANU ya watu wa bara.
 
Back
Top Bottom