Amini usiamini Marando ndo anabomoa CHADEMA

Amini usiamini Marando ndo anabomoa CHADEMA

tena nakuhakikishia kabisa kuwa kama kweli UWT wanauchungu na wameapa kulinda nchi hii,wao ndio wangekua wa kwanza kuibomoa CCM kutokana na matendo yanayoashiria kutoweka kwa usalama na amani ya nchi. CCM ya sasa hivi ni tofauti na ya enzi za Nyerere iliyokua inalinda rasilimali za nchi kwa manufaa ya vizazi vya sasa manufaa ya vizazi vijavyo. Usalama wa taifa wa nchi kama USA wanamchunguza hadi Rais kwa matendo yake wakati sisi tunaiona CCM kama dhehebu la Mungu lifanye makosa lisifanye lazima lilindwe tu.Naamini UWT wengi wana umia sana na madhira ya dhehebu hili CCM.
 
Hata hivyo nadhani mleta mada ana lengo zaidi ya hili.ama ni kutaka kuwachanganya CHADEMA ili wavurugane zaidi,hii inawezekana.
 
Amin umenena asante sana

Till further notice, mimi mwl.maskini nina imani sana na Marando. nina imani naye si bila sababu bali historia yake
iliyotukuka. kwa mara ya kwanza nilimuona na kumsikia mwaka 1992 tangu kipindi hicho sijawahi kupungukiwa imani naye. kwa cdm ukitoa Kamanda wa anga, TL na Dr. MM anashika nafasi ya nne kwa kummuamini. HERI MTU YULE ASIYE NA MASHAKA NA MM!
 
Ukweli ni kwamba, wasaliti wote ndani ya chama wanafahamika, kinachofanyika ni kukusanya data kamili, hivyo kama Malando na yeye anahusika, atavuna anachokipanda, na siyo huyo tu, yawezekana wapo n wengine, uzuri Chadema ni chama makini, sina shaka nacho.
 
Wengi mlochangia uzi huu mmeingia kishabiki sana... nasema mm ni cdm damu lakin ni ukweli ulowaz mm najua toka mwanzo kaz ya marando.....

Tafakari ukimuona ni km kijana tu lakn huwez amin kuwa ametumika sana ikulu ya Nyerere na alikuwa front intelligence ya ukomboz mwa jangwa la kusin Africa......

Fuatilieni history.

Every thing has got a history.......work through research and history.
 
Sema anabomoaje CDM na si kuleta hoja za juu juu. Hii Ni JF where we dare to talk openly.
 
Mkiashaanza kubaguana hamtaishia kusema yule si mwenzetu bali mtafikia kusema wale si wenzetu na hata kati yenu wawili mtaishi kwa kuhisiana tu. Ilianza hivi hivi kwa Zitto na inaelekea kwa Marando. Hizi ni tuhuma nzito saana, hazina hata chembe ya ushahidi ila mleta mada anataka tumuamini kwa hisia tu. Mfano name nisema kwa jinsi ilivyo, NCHEMBA anakihujumu CCM kwakuwa anaurafiki na mtu wa Chadema!!!!

Hivi paka Marando anapokelewa Chadema n kutoa matamk kadha ya Cadema hatukwa tnama kuwa aluwa usalaa watafa? Hivi hatukujua kuwa alikuwa CCM kabla ya kwenda NCCR na sasa Chadema??

Nahofia kusema watu wa aina yako ndio mnakiyumbisha chama. Badala yakutumia nguvu kubwa kukijenga chama tuzitumie kuchnguzana.
 
Habari wana JF....
Napenda kuwajuza kuwa kuwepo kwa mtu huyu ndani ya CHADEMA ni hatari sana hata akifukuzwa leo CHADEMA wamechelewa sana.

Marando alikuwa mshauri mkuu ikulu enzi za Mwl. Nyerere na anazijua siri kubwa za ukomboz kusini mwa Africa.

Wengi mkitizama umri wake mnaweza kuuliza au kupinga hoja yangu lakn mm nafahamu kinachoendelea...
Mabere ki umri ni mkubwa sana kuliko mumdhaniavyo.

Nasema huyu ndo mbaya wa CHADEMA...

Nawasilisha.

Hivi wakati unaandika haya ulishirikisha akili au ulishirikisha ma------ zaidi?
 
Ukifikilia sana, vuguvugu la vyama vingi lilikuwa na baraka za Nyerere toka mwanzo...NCCR - nadhani ilikuwa ni kifupisho na mikutano ya kudai mabadiliko ambayo ilianza miaka ya 1991, ni kweli mabadiliko yalitokea, hata kama akina marando walikuwa Usalama wa Taifa, kuwa usalama wa taifa sio kuwa ni mwana CCM, hiyo ndio dhana potofu, walioko ndani ya TISS anaweza akawa na mapenzi na chama chochote ila haruhusiwi kuwa mwanachama kama mtumishi wa umma....kama watu waliowahi fanya kazi TISS utawaogopa, basi hata hiyo kazi yake ya sheria sidhani kama angepata wateja, maana angeweza kuwa uipande wa serikali

Sielewi unachoniambia hapa kwani sikusema ninawaogopa watu wa TISS; labda hukunielewa nilichoandika au mimi sikukuelewa uliloandika. Nilikuwa na watu wa karibu sana huko TISS ingawa sasa walishaacha na kila siku tunapiga nao soga mitaani wakiwa na shughuli zao za kawaida zisizoingiliana na siasa wala usalama wa serikali. Siwaogopi


Mikutano ya NCCR ilianza zamani sana hata kabla ya 1991, nadhani walianza kichini chini wakati wa vuguvugu la Perestroika na Glasnost za Urusi hadi mwanzoni mwa miaka ya tisini ndipo wakaaza kufanya mikutano hadharani wa kwanza ukiwa pale Diamond Jubilee kama sikosei. NCCR haikuwa chama ila mikutano hiyo ndiyo iliyozaa chama cha NCCR-Mageuzi.
 
mbowe na slaa pia wafukuzwe wanakiharibu chama
 
Naunga mkono hoja. Alishasema kwa kinywa chake mwenyewe kuwa yeye ni shushushu ie usalama wa taifa na ile kazi huwa haiachwi, ni ya maisha, hawafukuzwi.

Stori za kijiweni
 
Me ninaona kama uongozi uliishamshitukia hivi hamjiulizi kwanini alivuliwa nafasi yake ya kuwa kiongozi wa jopo la wanasheria wa CDM na kupewa Tundu Lisu?
Wakati hili linafanyika ilikuwa kipindi wakina M walikuwa wametajwa na kukiwa na mgogoro.
 
hujielewi,unakurupuka tu!!!!
maneno ya mfa maji ukabilandio chanzo cha kifo cha chadema
[h=5]1. Mwenyekiti Chadema taifa- Mh Freeman Mbowe (mchaga,kilimanjaro)
2. Mkurugenzi wa fedha na uwekezaji - Ndugu Anthony Komu (mchaga,kilimanjaro)
3. Mwenyekiti Bodi ya wadhamini ya chama - Mh. Philemon Ndesamburo (mchaga, kilimanjaro)
4. Mkurugenzi wa Oganaizesheni chama- Ndugu Singo Benson Kigaila (mchag,kilimanjaro)
5. Mkurugenzi wa Bunge na Halmashauri -Ndugu John Mrema (mchaga, kilimanjaro)
6. Mkurugenzi wa Mawasiliano chama - John Mnyika (kilimanjaro mwenye maskani yake Dar) asilimia 80 ya wabunge wa kuteuliwa wa Chadema wanatoka Kilimanjaro na Arusha,wakiongozwa na Mrs wa Mbowe wa pili Mkya

8:Tundu Lisu MB na dada yake wa kuzaliwa MB wa kuteuliwa,
9😀k Wilbroad Slaa katibu mkewe wa ndoa Mb wa kuteuliwa
10:Mbowe Mwenyekiti Mkewe mdogo Mb wa Kuteuliwa
11:Ndesamburo Mb mwanawe wa kuzaa MB kuteuliwa
12:Mtei Mlezi wa chama mkwewe Mbowe Mwenyekiti wa Chama,

HIKI NDIO CHAMA SASA
[/h]
 
Ndio Chadema hiyo kaka hakuna mmakonde wala makabila mengine akili kichwani mwetu haitaji usome mpaka degree!
 
Hahahhahahaha kwani slaa hajawahi kasema nae alikuwa shushu?
 
sasa mtoto wa mbowe angegombea chalinze sijui mngesemaje?

maneno ya mfa maji ukabilandio chanzo cha kifo cha chadema
1. Mwenyekiti Chadema taifa- Mh Freeman Mbowe (mchaga,kilimanjaro)
2. Mkurugenzi wa fedha na uwekezaji - Ndugu Anthony Komu (mchaga,kilimanjaro)
3. Mwenyekiti Bodi ya wadhamini ya chama - Mh. Philemon Ndesamburo (mchaga, kilimanjaro)
4. Mkurugenzi wa Oganaizesheni chama- Ndugu Singo Benson Kigaila (mchag,kilimanjaro)
5. Mkurugenzi wa Bunge na Halmashauri -Ndugu John Mrema (mchaga, kilimanjaro)
6. Mkurugenzi wa Mawasiliano chama - John Mnyika (kilimanjaro mwenye maskani yake Dar) asilimia 80 ya wabunge wa kuteuliwa wa Chadema wanatoka Kilimanjaro na Arusha,wakiongozwa na Mrs wa Mbowe wa pili Mkya

8:Tundu Lisu MB na dada yake wa kuzaliwa MB wa kuteuliwa,
9😀k Wilbroad Slaa katibu mkewe wa ndoa Mb wa kuteuliwa
10:Mbowe Mwenyekiti Mkewe mdogo Mb wa Kuteuliwa
11:Ndesamburo Mb mwanawe wa kuzaa MB kuteuliwa
12:Mtei Mlezi wa chama mkwewe Mbowe Mwenyekiti wa Chama,

HIKI NDIO CHAMA SASA
 
Habari wana JF....
Napenda kuwajuza kuwa kuwepo kwa mtu huyu ndani ya CHADEMA ni hatari sana hata akifukuzwa leo CHADEMA wamechelewa sana.

Marando alikuwa mshauri mkuu ikulu enzi za Mwl. Nyerere na anazijua siri kubwa za ukomboz kusini mwa Africa.

Wengi mkitizama umri wake mnaweza kuuliza au kupinga hoja yangu lakn mm nafahamu kinachoendelea...
Mabere ki umri ni mkubwa sana kuliko mumdhaniavyo.


Nasema huyu ndo mbaya wa CHADEMA...

Nawasilisha.
Umri wake ndio unasababisha udhalimu, au?
 
Back
Top Bottom