Kichuguu NCCR mageuzi ilizaliwa lini na wakati wa matukio gani? Itakusaidia kuelewa vyema, pia Opiyo (RIP) hajawai kuwa Mkuu wa Usalama hapa nchni alikuwa na cheo kama cha Katibu Mkuu Kiongozi, angalia list ya Wakuu wote wa hiyo idara Opiyo hayumo.
Hawa watoto hawajui wanachoongea na hawajui nini maana ya ukombozi. Kumbuka kuwa 2010 Jk alishindwa na Dr Slaa hadi katika kambi ya Jeshi la Lugalo na Mdee ni mbunge wa kawe, jambo ambao wakazi wake zaidi ni wanajeshi na UWT.
Hiyo CDM wanayoitaka hao watoto au huo Upinzani wanaoutaka ambao hauna wapenzi kutoka UWT, Jeshi na Polisi haiwezi kuchukua nchni na bila hao hakuna ukombozi, CCM sio UWT na sio Jeshi la Watanzania.
Hii ngoma ya kitoto tuwaachie waicheze kitoto toto na makamasi puani.
Habari wana JF....
Napenda kuwajuza kuwa kuwepo kwa mtu huyu ndani ya CHADEMA ni hatari sana hata akifukuzwa leo CHADEMA wamechelewa sana.
Marando alikuwa mshauri mkuu ikulu enzi za Mwl. Nyerere na anazijua siri kubwa za ukomboz kusini mwa Africa.
Wengi mkitizama umri wake mnaweza kuuliza au kupinga hoja yangu lakn mm nafahamu kinachoendelea...
Mabere ki umri ni mkubwa sana kuliko mumdhaniavyo.
Nasema huyu ndo mbaya wa CHADEMA...
Nawasilisha.
Nafikiri hiyo ya rangi umekosea, na huenda wewe ndiye mtoto wa juzi.
NCCR ilikuwa ni mikutano msululu wa mikutano ya kitaifa ya kuchochea mabadiliko ya katiba na kuruhusu siasa za vyama vingi, ni mikutano iliyoanz apole pole hadi kufikia kasi kubwa mwanani mwa miaka ya tisini pale bloc ya URUSI ilipovunjika. Ni vuguvuvugu hilo lililopelekea kuundwa kwa "tume ya maoni" kuhusu vyama vingi Tanzania. Baada ya nchi kuridhia kuwepo kwa vyama vingi, ndipo wale organizares wa mikutona ya NCCR wakaanzisha chama walichoita NCCR-Magezi. Vyama vya siasa Tanzania viliruhusiwa mwanzoni mwa mwaka 1993 lakini mikutano ya NCCR ilishaendswa kwa muda mrefu karibu miaka mitano kabla ya hapo.
Kuhusu Opiyo kuwa mkuu wa usalama, naona umekurupuka sana kwa sababu hujui security system ya Tanzania ilivyokuwa inafanya kazi wakati huo. Kitengo cha TISS kilikuwa chinia ya ofisi ya Rais moja kwa moja na ni lkazima ufahamau kuwa kiongozi wake alikuwa akifanya Kazi chini ya Katibu mkuu wa Rais ambaye alikuwa Opiyo.
Opiyo hajawahi kuwa "Katibu Mkuu Kiongozi", yeye alikuwa "Katibu Mkuu Katika Ofisi ya Rais" Cheo cha Katibu Mkuu Kiongozi kimeanzishwa majuzijuzi tu baada ya Opiyo kusataafu siku nyingi sana.
Habari wana JF....
Napenda kuwajuza kuwa kuwepo kwa mtu huyu ndani ya CHADEMA ni hatari sana hata akifukuzwa leo CHADEMA wamechelewa sana.
Marando alikuwa mshauri mkuu ikulu enzi za Mwl. Nyerere na anazijua siri kubwa za ukomboz kusini mwa Africa.
Wengi mkitizama umri wake mnaweza kuuliza au kupinga hoja yangu lakn mm nafahamu kinachoendelea...
Mabere ki umri ni mkubwa sana kuliko mumdhaniavyo.
Nasema huyu ndo mbaya wa CHADEMA...
Nawasilisha.
Onyesha huo ubaya wa marando. FActs talks more
Jaribu kusoma upya nilichoandika sikusema Opiyo alikuwa Katibu Mkuu kiongozi hilo ni neno lako wewe kwa sababu zako wewe umekuja nalo, ila kwa mujibu wa maneno yangu ni kweli kuwa cheo cha Katibu Mkuu katika ofisi ya Rais ndicho sasa kinaitwa Katibu Mkuu Kiongozi, ndio maana nilikwambia kuwa alikuwa na cheo kama cha Katibu Mkuu kiongozi, soma upya kama huna nia ya kupotosha maneno yangu.
Kuhusu mikutano ya NCCR sina tabu nayo sana ingawa kuna hoja unapotosha kidogo, ukweli ni kuwa; NCCR ilikuwa ni kamati ya kupigania Mageuzi ya kikatiba ili kuruhusu vyama vingi, National Committee for Constitutional Reforms, ikiundwa na wana Mageuzi wa Kitanzania ambapo Marando alikuwa ni mmoja wao, kumbuka Mrema hakuwa mwana Mageuzi, (sasa leo wanaopotosha kuwa Marando aliiuwa NCCR Mageuzi wanatoa wapi urari wao?, ndio maana nasema kuna utoto hapa)
Pia uongo mwingine unaousema hapa ni kuhusu mikutano ya NCCR kuanza miaka mitano nyuma ya mwaka 1993 si kweli, National Committee for Constitutional Reforms ikiundwa 11 na 12 Juni 1991, upotoshaji mwingine unaosema humu ni kuhusu lini vyama vingi vilianzishwa sio kweli kuwa ni 1993, ukweli ni kuwa vyama vingi vilianza rasmi nchni kikatiba 1992. Baada ya mafanikio hayo yaliyoletwa na kamati NCCR, ndio wajumbe wake wengi walijitokeza kuanzisha vyama mfano Mzee Mtei, wakina Tumbo, na yule Mzee aliyenyang'anywa CUF na Maalimu Seif, jina limenitoka, wengine ambao hawakwenda kuunda vyama vya siasa walibaki na kuibadili kamati ya NCCR kuwa chama cha siasa rasmi, kwa jina la NCCR Mageuzi, kwa tafsiri mpya ya National Convention for Construction and Reform na sio National Committee for Constitutional Reforms. NCCR Mageuzi ilisajiliwa rasmi tarehe 29 Julai, 1992 weka kumbukumbu yako sawa.
Turudi katika hoja, Marando ndie aliyemkaribisha Mrema NCCR Mageuzi, Marando alikuwa mwana Mageuzi wa mwanzo wakati Mrema anatumiwa na CCM kuwapiga wana Mageuzi mabomu na kuwadhihaki, urari wa kumlinganisha na Mrema unatoka wapi? Hapa pia ndipo kwenye utoto wa hii hoja yote iliyojengwa na mada hii. Kiujumla mtoa mada na mada yenyewe bado naitathimini kuwa ni ya kitoto iliyo jaa makamasi.
Naunga mkono hoja. Alishasema kwa kinywa chake mwenyewe kuwa yeye ni shushushu ie usalama wa taifa na ile kazi huwa haiachwi, ni ya maisha, hawafukuzwi.
Marando ni binadamu, ubaya unaweza kuwepo, lakini sio kwa level ya kuua chama. Hiki chama ni zaidi ya Mtei, ni zaidi ya rafiki yangu Kimesera na ni zaidi ya Slaa. Hiki chama kina kusudi maalum kutoka kwa Mungu, na ndio maana kipo strong hadi sasa
Marando ni binadamu, ubaya unaweza kuwepo, lakini sio kwa level ya kuua chama. Hiki chama ni zaidi ya Mtei, ni zaidi ya rafiki yangu Kimesera na ni zaidi ya Slaa. Hiki chama kina kusudi maalum kutoka kwa Mungu, na ndio maana kipo strong hadi sasa
<br>Habari wana JF.... <br>
Napenda kuwajuza kuwa kuwepo kwa mtu huyu ndani ya CHADEMA ni hatari sana hata akifukuzwa leo CHADEMA wamechelewa sana. <br>
<br>
Marando alikuwa mshauri mkuu ikulu enzi za Mwl. Nyerere na anazijua siri kubwa za ukomboz kusini mwa Africa. <br>
<br>
Wengi mkitizama umri wake mnaweza kuuliza au kupinga hoja yangu lakn mm nafahamu kinachoendelea... <br>
Mabere ki umri ni mkubwa sana kuliko mumdhaniavyo. <br>
<br>
Nasema huyu ndo mbaya wa CHADEMA... <br>
<br>
Nawasilisha.
Hata YUDA ESKARIOTI Naye alifanywa Kuwa mmoja wa wanafunzi 12 wa KRISTU kwa makusudi maalumu""" ILI NENO LITIMIE"Marando ni binadamu, ubaya unaweza kuwepo, lakini sio kwa level ya kuua chama. Hiki chama ni zaidi ya Mtei, ni zaidi ya rafiki yangu Kimesera na ni zaidi ya Slaa. Hiki chama kina kusudi maalum kutoka kwa Mungu, na ndio maana kipo strong hadi sasa
- Kuhusu swali la Katibu Mkuu wa Rais na Katibu Kiongozi, je unajua kuwa TISS ilikuwa chini ya Ofisi ya Rais na vile vile chini ya Katibu Mkuu wa Rais?
- Mimi nilikuwa ni mmoja wa waliokuwa wanahudhuria sana mikutano ya NCCR!! Usije ukadhani kuwa jambo lile liibuka kutoka hewani tu kukawa na kamati, kulikuwa na mikutano ya awali mingi sana kabla ya kuundwa kwa kamati ya NCCR, kwa hiyo nielewe vizuri ninaposema mikutano ya NCCR. Sielewe wazo lililetwa na nani lakinivuguvugu lilianza siku nyingi sana. Mtu asingekurupuka katika political system iliyokuwapo wakati ule na kuanzisha mambo hayo bila kujenga foundation imara! Kama ulikuwa unafika kwenye kibaa fulani fulani sikumbuki jina lake sawasawa lakini kilikuwa na neno la Stereo kule Temeke nadhani utakuwa unajua kuwa NCCR haiakuja from nowhere.
- Kuundwa kwa multiparty mwishoni mwa mwaka 1992 au mwanzoni mwa 1993 ni jambo ambalo lisingekufanya useme huo ni uwongo, kwa vyovyote vyama vingi havikuanza kufanya kazi nchini hadi mwaka 1993.
- Niliposema kuwa Marando siyo mnafiki kama watu wanavyodhani ni kwa sababu namjua background yake katika siasa za Tanzania. At least unakubaliana nami kuwa Marando ndiye aliyekuwa mmoja wa vinara wakubwa sana wa political reforms za Tanzania na wala siyo mnafaiki. Ninajua kuwa ndiye aliemkaribisha Mrema NCCR-Magezui na kumpa uwenyekiti kutokana na popularity aliyokuwa nayo mrema wakati ule licha ya Mrema huyo huyo kuwa ametumia madaraka yake ya uwaziri wa mambo ya ndani vibaya dhidi ya vyama vya upinzani kabla hajaeunguliwa/hajajiengua.
Umenena mkuuUtamwaminije mtu ambaye alikuwa wakili wa profesa mahalu na mahalu akashinda wkt mahalu ni mtu ambaye alitutia hasara kwa kufanya matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi kwahiyo.Marando na mvua koti la uana harakati ninamvisha koti la usalit hatufai kabisa cdm.
Habari wana JF....
Napenda kuwajuza kuwa kuwepo kwa mtu huyu ndani ya CHADEMA ni hatari sana hata akifukuzwa leo CHADEMA wamechelewa sana.
Marando alikuwa mshauri mkuu ikulu enzi za Mwl. Nyerere na anazijua siri kubwa za ukomboz kusini mwa Africa.
Wengi mkitizama umri wake mnaweza kuuliza au kupinga hoja yangu lakn mm nafahamu kinachoendelea...
Mabere ki umri ni mkubwa sana kuliko mumdhaniavyo.
Nasema huyu ndo mbaya wa CHADEMA...
Nawasilisha.