Amini usiamini Marando ndo anabomoa CHADEMA

Amini usiamini Marando ndo anabomoa CHADEMA

Naunga mkono hoja. Alishasema kwa kinywa chake mwenyewe kuwa yeye ni shushushu ie usalama wa taifa na ile kazi huwa haiachwi, ni ya maisha, hawafukuzwi.

Mmeshindwa kuwang’oa kucha sasa mnataka kuwagombanisha?
Poor strategic plan, poor CCM!
 
Habari wana jf....
Napenda kuwajuza kuwa kuwepo kwa mtu huyu ndani ya cdm ni hatari sana hata akifukuzwa leo cdm wamechelewa sana.

Marando alikuwa mshauri mkuu ikulu enzi za Mwl. Nyerere na anazijua siri kubwa za ukomboz kusini mwa Africa.

Wengi mkitizama umri wake mnaweza kuuliza au kupinga hoja yangu lakn mm nafahamu kinachoendelea...
Mabere ki umri ni mkubwa sana kuliko mdhanivo.

Nasema huyu ndo mbaya wa cdm...

Nawasilisha.

Mimi binafsi simwamini Marando ila sina ushahidi wa kumtia hatiani, pengine ndiye M2.
 
unadhani wewe umewazidi ujuzi wa mambo watu wote pale cdm?mpaka wewe ukaliona ilo na wao wote wakawa awalijui? ni mtazamo wangu tu lakini
Ana hamu ya kupost hapa jamvini.
 
niliposti hoja ya Zitto kuwa simtumzuri chadema na anatumika kuibomoa chadema.watu waliporomosha mitusi mpaka basi.sasa leo yako wapi.
 
kijana ni taifa la kesho na kesho ya ujana wako ikifika utasaidia kwa ushahidi wa marando anavyoua chadema ili watu walewe vzr na .....
 
English knows me well but Kiswahili is my blood relative, CDM ni akili kubwa ndani ya siku 60, M2 atatajwa hapo.
 
Habari wana jf....
Napenda kuwajuza kuwa kuwepo kwa mtu huyu ndani ya cdm ni hatari sana hata akifukuzwa leo cdm wamechelewa sana.

Marando alikuwa mshauri mkuu ikulu enzi za Mwl. Nyerere na anazijua siri kubwa za ukomboz kusini mwa Africa.

Wengi mkitizama umri wake mnaweza kuuliza au kupinga hoja yangu lakn mm nafahamu kinachoendelea...
Mabere ki umri ni mkubwa sana kuliko mdhanivo.

Nasema huyu ndo mbaya wa cdm...

Nawasilisha.

Kwanza sio mchaga mwenzetu
 
Amini usiamini YEYE MBUSHI ndio anaibomoa chadema! wewe ndio unataka kubomao chama kwa uchochezi wako usio na mantiki. Umetoa maelezo yasiyokuwa na ushahidi wowote km back up. Ni siri gani unayoijua autufahamishe basi. Otherwise wewe ndio unajaribu kuibomoa chadema lakini umeshafeli kabla hujaanza.
 
niliposti hoja ya Zitto kuwa simtumzuri chadema na anatumika kuibomoa chadema.watu waliporomosha mitusi mpaka basi.sasa leo yako wapi.
kk ss wenye maono hutukanwa sana...... malando anatumika kimkakati tena vizuri sana.... ngoja utaona mbeleni... jiulize kwann tundu apewe mwanasheria mkuu mabere apigwe doro?
 
Amini usiamini YEYE MBUSHI ndio anaibomoa chadema! wewe ndio unataka kubomao chama kwa uchochezi wako usio na mantiki. Umetoa maelezo yasiyokuwa na ushahidi wowote km back up. Ni siri gani unayoijua autufahamishe basi. Otherwise wewe ndio unajaribu kuibomoa chadema lakini umeshafeli kabla hujaanza.

Kk nashukuru... utaelewa mbelen... mungu akupe uhai
 
Habari wana jf....
Napenda kuwajuza kuwa kuwepo kwa mtu huyu ndani ya cdm ni hatari sana hata akifukuzwa leo cdm wamechelewa sana.

Marando alikuwa mshauri mkuu ikulu enzi za Mwl. Nyerere na anazijua siri kubwa za ukomboz kusini mwa Africa.

Wengi mkitizama umri wake mnaweza kuuliza au kupinga hoja yangu lakn mm nafahamu kinachoendelea...
Mabere ki umri ni mkubwa sana kuliko mdhanivo.

Nasema huyu ndo mbaya wa cdm...

Nawasilisha.

Hebu ondoa upuuzi Wako hapa kama umekosa cha kuandika nenda kalale
 
Huku ni kukurupuka, huwezi kusema mtu afukuzwe halafu usitoe sababu ya kufukuzwa, kama ni kusema tu hata mi naweza kusema yeyote fukuzwe kama sina sababu ni sawa na kufukuza upepo
 
Lisemwalo lipo kama halipo linakuja. Kuwapokea shibuda na marando cdm mimi halikunifurahisha hata kidogo. Marando ni simba mwenda pole. Sijamsikia akiwa mstari wa mbele ktk kampeni kama wengine. Hata kama sio mbunge kwa uzoefu wake tungemsikia sana ktk kueneza sera za cdm lakini wapi!
 
Back
Top Bottom