Amenisaliti anang'ang'ania vitu vyangu

Amenisaliti anang'ang'ania vitu vyangu

Chukua bastola toa risasi iwe kasha tu alafu mfate na hilo kasha la bastola mtishie kama unataka kumfosaro huku ukimwambia nipe laptop yangu usinitanie huku umemnyooshe hiyo bastoa atakuuuuuuuuuupa tu lap yako
 
Nilimwonyesha upendo wangu wa dhati maana nilishamvisha hadi pete ya uchumba bro
Hapo ndipo unapokosea bro! pete is an OBJECTIVE wakati uchumba is a SUBJECTIVE........kwani pete ya uchumba inaziba K ya mwanamke.........It's a psychological manner rather than anatomical and physiological related with your partner
 
c ukatafute ya USED laki mbili umpe uachane nae??!!!tupa jongoo na mti wake
 
Hata kama amekuchukiza.... Isiwe sababu ya kuacha kumpenda!

We mnunulie tu pc uliyomuahidi!
Hayo ndio mapenzi ya kweli! Atakukumbuka sana kwa hilo!
 
Pete kitu gani Daudi1? Tena siku hizi wanazibiana rizki tu,mtu anavalishwa pete mpaka inafubaa hakuna dalili ya ndoa.
Bint angekuja akaeleza yake story inge balance,wanaume wengi wanadanganya mabint na pete then wanaanza kuwahubiria uvumilivu huku street wanaendelea kufungua wallet kama kawa!!![/QUOTE
Kwa hili chukua tano ni kweli tena style yao mpyaa wanaenda kununua pete za kavungwe wanakuja na mbwembwe nyingii wanakupotezea mdaa baadae wanakutaftia sababu baada ya kukutumia kama toilet paper. Uliona wap uchumba miaka mitatu kama sio kuzibiana rizki za ndoa... Bora hata alivyojichukulia hako ka laptop ingawa hakana thamani juu ya mda alioupoteza
Kwa jinsi ninavyojua pete zaina utaratibu wake,wengine huvalishwa siku ya kutoa mahari,wengine wanaandaa tafrija nk,kimsingi unapovalishwa pete maana yake jama anakuwa ameshatoa mahari sasa kama wanavalishana tu usingizini umeamka asubuhi unapete hilo ni tatizo,hebu sema wewe mtu kuanzia mapenzi ya kawaida mpaka ndoa inatakiwa uchukue muda gani kwa mtazamo wako
 
c ukatafute ya USED laki mbili umpe uachane nae??!!!tupa jongoo na mti wake

Huyo binti kwani katoka Nyakitonto jana kumfanya hajui cha bei rahisi na ghali...msimamo wake ni kuchukua laptop ya jamaa hivyo vingine visingizio tu
 
Hata kama amekuchukiza.... Isiwe sababu ya kuacha kumpenda!

We mnunulie tu pc uliyomuahidi!
Hayo ndio mapenzi ya kweli! Atakukumbuka sana kwa hilo!
Excel kwani akimuachia atakatika vidolee
 
Last edited by a moderator:
Kwa jinsi ninavyojua pete zaina utaratibu wake,wengine huvalishwa siku ya kutoa mahari,wengine wanaandaa tafrija nk,kimsingi unapovalishwa pete maana yake jama anakuwa ameshatoa mahari sasa kama wanavalishana tu usingizini umeamka asubuhi unapete hilo ni tatizo,hebu sema wewe mtu kuanzia mapenzi ya kawaida mpaka ndoa inatakiwa uchukue muda gani kwa mtazamo wako

Kama zingekuwa na utaratibu huo watu wasingeng'ang'ania laptop za watu wakati wakitemwa... Most of men nwdays wanayatumia mapenzi ya dhati na vipete vyao uchwara kama defence mechanism ya kuwatumia wasichana hovyo na kuwapotezea mda waoo... Kama humpendi c umuache apate anayempendaa matokeo yake ndo haya unakaa na mwanamke anakubinualia bure miaka miwili na kitu anaona hausomeki anaamua kutengeneza kikosi cha siri siri ili hata ukimuacha awe tayari ameshakava baada ya miezi minane unakuja eeh umenisalitii cjui nirudishie vyangu ooooh nilimuahidi na mengineyo..huna lolote inawezekana ulikuwa na mpango wa kumuanza kwa kuwa umegundua amekuanza unataftia sababu ya huruma ya watu wakutie ujasiri na kukufariji kwa ujinga ulioufanyaa..
 
Kama zingekuwa na utaratibu huo watu wasingeng'ang'ania laptop za watu wakati wakitemwa... Most of men nwdays wanayatumia mapenzi ya dhati na vipete vyao uchwara kama defence mechanism ya kuwatumia wasichana hovyo na kuwapotezea mda waoo... Kama humpendi c umuache apate anayempendaa matokeo yake ndo haya unakaa na mwanamke anakubinualia bure miaka miwili na kitu anaona hausomeki anaamua kutengeneza kikosi cha siri siri ili hata ukimuacha awe tayari ameshakava baada ya miezi minane unakuja eeh umenisalitii cjui nirudishie vyangu ooooh nilimuahidi na mengineyo..huna lolote inawezekana ulikuwa na mpango wa kumuanza kwa kuwa umegundua amekuanza unataftia sababu ya huruma ya watu wakutie ujasiri na kukufariji kwa ujinga ulioufanyaa..
Dah! madam mbona umekuwa mkali pana nini hapa
 
Excel kwani akimuachia atakatika vidolee

wala!!! hata kucha hazing'oki Queen Horse!

inaonekana hawa walikuwa wanapendana kwa kupoteza network sana!!

so the reward of the sis is to take the computer!

ndio yale yale ya mzee yusuph.. '' kanunua sim, kampa dem, walipoachana,... kampokonya!!
 
Last edited by a moderator:
Kanunua cmu kampa demu alipoachana kamnyanga'anya ahahahaha kifuta jasho hicho babu wewe sio asili ya mwanaume kudai dai ulivyotoa laki 9 tu wengine wanahonga nyumba na wanaachwa na hawatii mguu kudai lol

Sasa kama anadai la haki asidai, alipewa atumie kabla hajanunuliwa yake..kimsingi inabidi arudishe tu..yani...
 
mimi mwenzio nimeishi na mwanmke miaka kumi na tano halafu kanitoloka na vtu vyote ndani pikipiki mbil sola panel ya m moja nn wewe cmama songa mbele uc kumbuke ulivyotoa fikilia utapata getup ctend up boy
 
wala!!! hata kucha hazing'oki Queen Horse!

inaonekana hawa walikuwa wanapendana kwa kupoteza network sana!!

so the reward of the sis is to take the computer!

ndio yale yale ya mzee yusuph.. '' kanunua sim, kampa dem, walipoachana,... kampokonya!!

Mi nadhani huyo kijana mwenzenu ana upungufu wa uanaume wake... Wanaume hawalalamiki vitu vya kijinga bora hata huyo dada alivyomgundua mapema akaamua kuchapalapa mapemaa
 
Last edited by a moderator:
basi mrudishie laptop yake....:smiling:



ds story reminds me of sm1 or maybe ni yeye in disguise,nisharudisha miaka mia nanee..laptop kitu gani..mbna the girl hajadai chochote,unataka kuniambia she never invested in the relationshio??3 Good years??..NAT FAIR AT ALL...JAMAA AMEANGALIA GHARAMA,NA SIO PENZI,to me naona ni ushamba,ts like ur using her,the PC is hers only if ur bedding her,WHATS THE POINT?...if it were me,wud have let it go,mana hadi nimempa i had extra,..anyway itakuwa sio mhusika naemjua,unless otherwise...
but MTOA MADA,LET HER GO,PC KITU GANII WEWE,MDAI BASI NA NGUO ULIZONUNUA,and cash ulompa,and th places u took her,
THT GIRL STAYED ALL TH 3 YRS CZ SHE LOVED YOU,and thats what matters...anyway,nice searching for the 'perfect woman' ukishamuacha huyo
 
Nilimwonyesha upendo wangu wa dhati maana nilishamvisha hadi pete ya uchumba bro

Kijana mwachie hizo material stuff. Wewe kidume utapata vingine. Ila engagement ring akurudishie, not for the monetary value but for the symbolic importance it holds before God and man. Been there done that. Ndio ukubwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom