Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,823
Hii ndio ileee kanunua simu kampa demu walivyoachana kampokonya.
Back 2 topic
Hapo hata mimi nachukua changu seriouly hata kama tumlipendana asieee. Binafsi sipendi kupewa coz napigana nitafute but ikitokea natafuta nampa afu analeta uchizi nachukua vyangu watu wanachukua hadi mashuka... Itakuaje hiyo tanakilishi. Akuu nabeba vyangu kwa kweli
Kuna watu watakwambie vile wewe "mchagga" ndo maana unasema ivo