Natania sihitaji bunduki
Unatania..ntantaluma mlango wa chuma...
Natania sihitaji bunduki
Nilimwonyesha upendo wangu wa dhati maana nilishamvisha hadi pete ya uchumba brohapo utata... inawezekana anavyong'ang'ania lapt0p yako anahic ndi0 njia pekee ya kukuweka KARIBU kama ameshakaa sawa malizen mrudiane tu.. UJUE miaka mi3 ming labda alikua haoni dalili yeyote ya mapenZ kwenda step ingine.. funguka bhana.
Anamnunuliaje wakati wameachana?Nawe unamrudishia alivyokupa kipindi chote mlichokuwa pamoja?
Mnunulie ya kwake kama ulivyomuahidi then atakupa yako.
Ahadi ni deni.
Sina ila itabidi nimwachie tu maana siwezi kutumia nguvu ila mapenzi yanaturudisha nyuma sana lakini mwisho wa siku sijilaumu maana sikujua kama yangenifikaKama wewe unayo nyingine,mwachie tu
laki tisa ni vijisent tu unatolea povu mpaka thread kwiwkwiwkwiwkwiwkwi hela za mawazo utazijua tu umesahau jinsi miaka 3 unamkunja mtoto wa watu kama samak kambale nyoooooooooooowana jamii wenzangu mimi ni mwanaume wa miaka 29 nimekuwa na uhusiano na msichana kwa miaka 3 mwishoni mwa mwaka niligundua kuwa ana uhusiano na mtu mwingine na nilipombana kwa maswali alikubali na kusema wamekuwa pamoja kwa miezi 8 ila wameachana wiki mbili zilizopita nimeumia sana maaana nilimwamini mno, nimeamua kuachana nae ila nilimpa laptop yangu ya gharama sana ya laki 9 kwa makubaliano nitamnunulia ya kwake ila baaada ya usaliti aliofanya nimeona anipe mali yangu .cha ajabu anang'ang'ania kwa kusema anaitumia na kwa sasa hawezi kunipa,kipekee sipendi fujo nafikiria kutumia nguvu ila naona ni utoto na naweza kusababisha matatizo.naombeni ushauri nifanyeje?
hata ningekuwa mimi nisingekurudishia
laki tisa ni vijisent tu unatolea povu mpaka thread kwiwkwiwkwiwkwiwkwi hela za mawazo utazijua tu umesahau jinsi miaka 3 unamkunja mtoto wa watu kama samak kambale nyoooooooooooo
kwa nini usingerudisha?
makubaliano yalikuwa ataninunulia ya kwangu hajaninunulia
Wana jamii wenzangu mimi ni
mwanaume wa miaka 29 nimekuwa na uhusiano na msichana kwa miaka 3
mwishoni mwa mwaka niligundua kuwa ana uhusiano na mtu mwingine na
nilipombana kwa maswali alikubali na kusema wamekuwa pamoja kwa miezi 8
ila wameachana wiki mbili zilizopita nimeumia sana maaana nilimwamini
mno, nimeamua kuachana nae ila nilimpa laptop yangu ya gharama sana ya
laki 9 kwa makubaliano nitamnunulia ya kwake ila baaada ya usaliti
aliofanya nimeona anipe mali yangu .Cha ajabu anang'ang'ania kwa kusema
anaitumia na kwa sasa hawezi kunipa,kipekee sipendi fujo nafikiria
kutumia nguvu ila naona ni utoto na naweza kusababisha matatizo.Naombeni
ushauri nifanyeje?
Huu ushamba wa kunyang'anyana vitu bado upo???
offer hailazimishwi,umevunja vigezo na masharti ya kununuliwa ya kwako....huo ni wizi/dhuluma
Anamnunuliaje wakati wameachana?
uchumba sio guarantee ya kuwa pamoja daima milele....