brenda18
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 5,687
- 5,300
Pete kitu gani Daudi1? Tena siku hizi wanazibiana rizki tu,mtu anavalishwa pete mpaka inafubaa hakuna dalili ya ndoa.
Bint angekuja akaeleza yake story inge balance,wanaume wengi wanadanganya mabint na pete then wanaanza kuwahubiria uvumilivu huku street wanaendelea kufungua wallet kama kawa!!!
sema wew...na mwaka huu mbivu na mbichi zitajulikana
Last edited by a moderator: