Kilichomfanya ahangaike na wengne ambao hata laptop hawaezi kumnunulia ni nin? kumbe hata pete ya uchumba amevalishwa alikuwa anataka nini tena?ahadi ni deni !!! atimize ahadi miaka 3 ukiwa unasubiria laptop aiji hata kama ni me sirudishi hata polisi nikienda
Kanunua loptop kampa demu walipoachana kampokonyaaaaaaaaa..singing
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Anamnunuliaje wakati wameachana?
hakumnunulia kamuazima atumie....KAMUAZIMA....ukiazima kitu unatakiwa kurudisha
Huyo mwanamke anataka kuwepo na point of contact hakuna lolote amegundua hana jipya,siwapendi wanawake wenye tamaa acha tu,pete umevalishwa unataka nini tena?Kama hawezi kumnunulia kwa vile wameachana basi asimdai pia.
Daraja ndio limeshavunjika asitamani vilivyobaki ng'ambo!!!!!!!
Hivi wanawake wa JF mambo mnayoandika huwa mnamaanisha au basi tu mwafurahisha nafsi zenu?
Alimuazima aitumie mpaka atakapomnunulia ya kwake,akimnunulia atarudishiwa yake!!"!!!!
Kilichomfanya ahangaike na wengne ambao hata laptop hawaezi kumnunulia ni nin? kumbe hata pete ya uchumba amevalishwa alikuwa anataka nini tena?
Wana jamii wenzangu mimi ni mwanaume wa miaka 29 nimekuwa na uhusiano na msichana kwa miaka 3 mwishoni mwa mwaka niligundua kuwa ana uhusiano na mtu mwingine na nilipombana kwa maswali alikubali na kusema wamekuwa pamoja kwa miezi 8 ila wameachana wiki mbili zilizopita nimeumia sana maaana nilimwamini mno, nimeamua kuachana nae ila nilimpa laptop yangu ya gharama sana ya laki 9 kwa makubaliano nitamnunulia ya kwake ila baaada ya usaliti aliofanya nimeona anipe mali yangu .Cha ajabu anang'ang'ania kwa kusema anaitumia na kwa sasa hawezi kunipa,kipekee sipendi fujo nafikiria kutumia nguvu ila naona ni utoto na naweza kusababisha matatizo.Naombeni ushauri nifanyeje?
ukiazimwa kitu unatakiwa urudishe,usiporudisha makusudi ni wizi/dhuluma....ukiahidiwa kununuliwa sio lazima ununuliwe kitu na haikupi haki ya kuiba/kudhulumu....
Huyo mwanamke anataka kuwepo na point of contact hakuna lolote amegundua hana jipya,siwapendi wanawake wenye tamaa acha tu,pete umevalishwa unataka nini tena?
sasa hata kama ni mimi sikupi.... kwa sababu naachana na wewe zaidi ya migegedo na starehe na outing nimebaki na kitu gani cha kwako amna sasa... mwachie bwana miaka mitatu ujamnunulia ya kwake mwachie tu bwana.... au kama kuna kitu kingine ulimpa sema ni haali yake kung'ang'ania kabisa nampa support nipe namba yake nimpe ujanja mwingine ...
huyo unatakiwa ujifanye umekubali kumrudia halfu unagonga gonga kama mara mbili ili akuamini umerudia halafu siku isiyo na jina unaichukua tu! kwa mfano mmemgegedea kwake halafu ukimaliza unamtuma dukani unapata upenyo tu onaondoka zako bila hata bugudha!Wana jamii wenzangu mimi ni mwanaume wa miaka 29 nimekuwa na uhusiano na msichana kwa miaka 3 mwishoni mwa mwaka niligundua kuwa ana uhusiano na mtu mwingine na nilipombana kwa maswali alikubali na kusema wamekuwa pamoja kwa miezi 8 ila wameachana wiki mbili zilizopita nimeumia sana maaana nilimwamini mno, nimeamua kuachana nae ila nilimpa laptop yangu ya gharama sana ya laki 9 kwa makubaliano nitamnunulia ya kwake ila baaada ya usaliti aliofanya nimeona anipe mali yangu .Cha ajabu anang'ang'ania kwa kusema anaitumia na kwa sasa hawezi kunipa,kipekee sipendi fujo nafikiria kutumia nguvu ila naona ni utoto na naweza kusababisha matatizo.Naombeni ushauri nifanyeje?
kununuliwa tena hawezi kwa sababu kavunja vigezo na masharti......arudishe ALICHOAZIMA......kama angekuwa KAMNUNULIA hata mimi nisingemsapoti kudai.