Miaka miwili? Aisee nyie wanawake huwa mnasema ukweli au tunadanganyana hapa.
AND GAY PEOPLE LIKE THE ONE IM QUOTING! Stay away from me FAG!
Huenda amekuta kilichomkimbiza bado kipo. Inauma lakini kuna uwezekano huo pia
Kwanini unahisi kudanganywa?
Yaani hicho kinaniuma Zaidi, alipokuwa BF kwa zamani tulivaa mpira, juzi ilikuwa kavu!!!
pole shogaaa! Men are dogs! Mbwa unamfuga mwenyewe ukimchekea bado anakubwekea mwenyewe. Shwainiiiiiii
miaka miwili ni muda mrefu sana.kwa mwanaume mwezi mmoja tu ni shida.labda kama ana masturbated.nyie wanawake hamu yakufanya inaenda wapi?
miaka miwili ni muda mrefu sana.kwa mwanaume mwezi mmoja tu ni shida.labda kama ana masturbated.nyie wanawake hamu yakufanya inaenda wapi?
wanawake na wanaume tumeumbwa tofauti sana! wanawake tuna uwezo wa kukaa bila sex kwa miaka na miaka kutokana na maumbile yetu! sio kwamba hatuna feelings....ila tuna uwezo wa kujizuia. na hisia zetu huja kwa vipindi....sio kama wanaume muda wowote akivutiwa na mtu tu kosa! Mwanamke huinjoy sex akifanya na ampendaye, while mwanaume huinjoy sex na yeyote! ndo maana mwanaume anaweza kufurahia ngono hata na changudoa ambaye hata sura yake hajaiona vizuri...yaan hamjui kabisa! Ila wapo baadhi ya wanawake ambao nao hawawezi kujizuia
Umemalizia vyema, hata wanaume wapo wenye uvumilivu ingawa hatuzaliwi zaliwi.wanawake na wanaume tumeumbwa tofauti sana! wanawake tuna uwezo wa kukaa bila sex kwa miaka na miaka kutokana na maumbile yetu! sio kwamba hatuna feelings....ila tuna uwezo wa kujizuia. na hisia zetu huja kwa vipindi....sio kama wanaume muda wowote akivutiwa na mtu tu kosa! Mwanamke huinjoy sex akifanya na ampendaye, while mwanaume huinjoy sex na yeyote! ndo maana mwanaume anaweza kufurahia ngono hata na changudoa ambaye hata sura yake hajaiona vizuri...yaan hamjui kabisa! Ila wapo baadhi ya wanawake ambao nao hawawezi kujizuia
Mbona mimi siwezi? Au nina matatizo?
Mpaka anakuja huyu mwanaume sikuwa nimefanya mapenzi kwa miaka miwili, uone tu jinsi ninavyojiheshimu.
Yaani hicho kinaniuma Zaidi, alipokuwa BF kwa zamani tulivaa mpira, juzi ilikuwa kavu!!!
no, hauna tatizo. Mpo wanawake wa hivyo pia...ndo maana nikamalizia kwa kusema wapo baadhi ya wanawake ambao hawawezi kujizuia. Ila sio wengi kivile! wengine wanaendekeza njaa tu ila uwezo wa kujizuia wanao sana!